johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,019
- 142,058
Ndio Taarifa zilizopo hapa Arusha Mjini ambapo safari ya Viongozi hao wakuu wanaotokea Mwanza inaratibiwa
Chadema Arusha wamewashukuru Wana Mwanza kwa kumuenzi Lowassa kwa nyomi ya kihistoria siku ya jana.
Ikumbukwe hakunaga Mwanasiasa yeyote aliyewahi kuvijaza viwanja vya Jangwani na njia zote kufungwa kama Laigwanani Edward Lowassa Wakati anafunga kampeni za 2015.
Inadaiwa hata Liprofeseri ameomba avae Gwanda kumuenzi Lowassa kwani aliwapa Wabunge wengi sana 2015.
Chadema Arusha wamewashukuru Wana Mwanza kwa kumuenzi Lowassa kwa nyomi ya kihistoria siku ya jana.
Ikumbukwe hakunaga Mwanasiasa yeyote aliyewahi kuvijaza viwanja vya Jangwani na njia zote kufungwa kama Laigwanani Edward Lowassa Wakati anafunga kampeni za 2015.
Inadaiwa hata Liprofeseri ameomba avae Gwanda kumuenzi Lowassa kwani aliwapa Wabunge wengi sana 2015.