Elections 2010 Uozo CCM! Mgawanyiko, kupoteza viti

Mwanaukweli

JF-Expert Member
May 18, 2007
4,786
1,710
CCM ilimpitisha mgombea wa Jimbo la Muhambwe Jamal Tamim, huku wakijua wazi kuwa ni mtuhumiwa wa ujambazi, utekaji wa mabasi na hata uhusika katika biashara ya viungo vya maalbino.

Uamuzi huo umeleta mgawanyiko kati ya wana CCM Kibondo, ambao walio wengi dhamiri zinawakataza kumpigia kampeni mgombea wa chama chao kutokana na sifa zake mbaya.

Hata katika uongozi wa CCM Kibondo, imeonekana kuwa wamemsusia kampeni Bw. Jamal mwenyewe, ambaye nguvu yake kubwa ni pesa zake anazozitumia kwa Rushwa kama alivyofanya kwenye kura za maoni CCM. Katibu wa CCM wa wilaya ya Kibondo amesimaishwa uongozi, na kamati ya CCM wilaya Kibondo imeitwa mkoani Kigoma kuhojiwa tarehe 29 Septemba kwa kile kinachoitwa Kukosa ushirikiano na wagombea wao. Wameitwa na Mwenyekiti wa Mkoa, Mfanyabiashara tajiri Azim Premji, ambaye alimtetea sana Jamal Tamim kwenye kikao cha NEC CCM pamoja na mjumbe mwingine Mfanyabiashara tajiri Abdallah Muhsin Sheni

Mgombea anayeonekana kwenda vizuri Jimbo la Muhambwe ni Felix Mkosamali wa NCCR Mageuzi.

Mzee Ntagazwa anagombea kwa Tiketi ya CHADEMA lakini rekodi yake ya nyuma imemfanya asikubalike sana, na hata kampeni zake haziendi vizuri.
 
Kibondo ilikuwa kambi imara ya CCM, lakini kwa sasa wanamkataa hata mgombea urais wa CCM.
 
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI

 
CCM ilimpitisha mgombea wa Jimbo la Muhambwe Jamal Tamim, huku wakijua wazi kuwa ni mtuhumiwa wa ujambazi, utekaji wa mabasi na hata uhusika katika biashara ya viungo vya maalbino.

Uamuzi huo umeleta mgawanyiko kati ya wana CCM Kibondo, ambao walio wengi dhamiri zinawakataza kumpigia kampeni mgombea wa chama chao kutokana na sifa zake mbaya.

Hata katika uongozi wa CCM Kibondo, imeonekana kuwa wamemsusia kampeni Bw. Jamal mwenyewe, ambaye nguvu yake kubwa ni pesa zake anazozitumia kwa Rushwa kama alivyofanya kwenye kura za maoni CCM. Katibu wa CCM wa wilaya ya Kibondo amesimaishwa uongozi, na kamati ya CCM wilaya Kibondo imeitwa mkoani Kigoma kuhojiwa tarehe 29 Septemba kwa kile kinachoitwa Kukosa ushirikiano na wagombea wao. Wameitwa na Mwenyekiti wa Mkoa, Mfanyabiashara tajiri Azim Premji, ambaye alimtetea sana Jamal Tamim kwenye kikao cha NEC CCM pamoja na mjumbe mwingine Mfanyabiashara tajiri Abdallah Muhsin Sheni

Mgombea anayeonekana kwenda vizuri Jimbo la Muhambwe ni Felix Mkosamali wa NCCR Mageuzi.

Mzee Ntagazwa anagombea kwa Tiketi ya CHADEMA lakini rekodi yake ya nyuma imemfanya asikubalike sana, na hata kampeni zake haziendi vizuri.
Yaani pesa hivi sasa ina nguvu sana ndani ya CCM, jamaa licha ya kashfa zote hizo wamempitisha kugombea!
 
But tayari imewa cost sana Kibondo.

Pia ni doa kwa CCM kwamba maadili si kigezo tena kwa wagombea, pesa kwanza.
 
mwaka huu CHADEMA.

Hakuna ubishi anayekataa na akatae.

DR. Slaa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI


Sasa huu mwanawane ni uzushi
 
Ni bor aapewe mpinzani yoyote kuliko huyo mtuhumiwa..
Inavyoonekana analindwa na hao wafanyabiashara..
CCM wabadilishe nembo ya jembe na nyundo waweke notinoti..!
 
ccm ilimpitisha mgombea wa jimbo la muhambwe jamal tamim, huku wakijua wazi kuwa ni mtuhumiwa wa ujambazi, utekaji wa mabasi na hata uhusika katika biashara ya viungo vya maalbino.

Uamuzi huo umeleta mgawanyiko kati ya wana ccm kibondo, ambao walio wengi dhamiri zinawakataza kumpigia kampeni mgombea wa chama chao kutokana na sifa zake mbaya.

Hata katika uongozi wa ccm kibondo, imeonekana kuwa wamemsusia kampeni bw. Jamal mwenyewe, ambaye nguvu yake kubwa ni pesa zake anazozitumia kwa rushwa kama alivyofanya kwenye kura za maoni ccm. Katibu wa ccm wa wilaya ya kibondo amesimaishwa uongozi, na kamati ya ccm wilaya kibondo imeitwa mkoani kigoma kuhojiwa tarehe 29 septemba kwa kile kinachoitwa kukosa ushirikiano na wagombea wao. Wameitwa na mwenyekiti wa mkoa, mfanyabiashara tajiri azim premji, ambaye alimtetea sana jamal tamim kwenye kikao cha nec ccm pamoja na mjumbe mwingine mfanyabiashara tajiri abdallah muhsin sheni

mgombea anayeonekana kwenda vizuri jimbo la muhambwe ni felix mkosamali wa nccr mageuzi.

Mzee ntagazwa anagombea kwa tiketi ya chadema lakini rekodi yake ya nyuma imemfanya asikubalike sana, na hata kampeni zake haziendi vizuri.

mwasisi wa ccm mwalimu nyerere aliisha ilishatamka hii kuwa no vyavu za korokoro kuvuta samaki na ucahfu baharini, ndio uchafu wenyewe. Mwambie amsubiri jk aje amnadi kama alivyozoea kuwanadai watuhum iwa wengine. Katika viakao vya cc na nec jk alikaidi hadi taarifa za kamati ya ulinzi n usalama ya mkoa kumhusu mtu huyo.
 
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI

Sauti ya Unabii. Yasafisheni mapito. Mabadiliko yanakuja Tanzania.

(Hata makachero wa homeland security wanaosemekana kusambazwa nina amini wana uzalendo na wanawahurumia Watanzania masikini. Mwaka huu kikwete labda atoe fotokopi za Salma na Ridhwani azisambaze kote ndiyo atashinda.)
 
Ni bor aapewe mpinzani yoyote kuliko huyo mtuhumiwa..
Inavyoonekana analindwa na hao wafanyabiashara..
CCM wabadilishe nembo ya jembe na nyundo waweke notinoti..!

waweke na bunduki na visu pia.
 
Re: Uozo ccm! Mgawanyiko, kupoteza viti.
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI


I am a public policy analyst based in Arusha, Tanzania


Kumbe Chadema mumpanga kuiba kura?
 
"CCM wabadilishe nembo ya jembe na nyundo waweke notinoti..!"

Ujamaa na kujitegemea sera ya CCM imefutika sio tu katika kampeini hii,wamefuta kunukuu kitabu cha Muasisi wao Mwl Nyerere.
 
Re: Uozo ccm! Mgawanyiko, kupoteza viti.
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI


I am a public policy analyst based in Arusha, Tanzania


Kumbe Chadema mumpanga kuiba kura?[/
I]



Hiyo ndiyo analysis yako??
 
Back
Top Bottom