Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

Smt016

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
2,286
3,018
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Kila timu na mipango yake mkuu
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Kwani anayepanga mda wa mechi ni yanga kwenye hii hatua? Fanya utafiti vizuri utajua anayepanga ratiba ya muda wa mchezo kwenye hii hatua
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Huyo tunao uhakika wa kumchakaza kivyovyote hivyo muda usikutishe.😁
 
Timu mwenyeji ndiye anayepanga muda na uwanja, kisha CAF wao wanaangalia kama itakuwa haina muingiliano katika haki ya matangazo.
Sasa km waliomba muda wa saa kumi na CAF wakaona huo muda unasumbua haki za Matangazo ndio wakaweka saa moja bado mnawalaumu Yanga?
 
Sasa km waliomba muda wa saa kumi na CAF wakaona huo muda unasumbua haki za Matangazo ndio wakaweka saa moja bado mnawalaumu Yanga?
Fuatilia mechi za Yanga za kimataifa mechi ya saa kumi inahesabika hata tatu sidhani kama zimefika ukihesabu tokea msimu uliopita. Fuatilia mechi za Simba za kimataifa ni mara nyingi huwa ni saa kumi na ikitokea mechi tofauti na saa kumi basi itakuwa ni saa kumi na mbili ( Mechi ya Simba vs Al Ahly kwenye AFL) ilikuwa saa kumi na mbili. Angalia ratiba ya Mamelod ikicheza na timu za waarabu ni mchana tu. Hapo ni kwamba Yanga hupenda kucheza mechi zake saa moja usiku.
 
Fuatilia mechi za Yanga za kimataifa mechi ya saa kumi inahesabika hata tatu sidhani kama zimefika tatu ukihesabu tokea msimu uliopita. Fuatilia mechi za Simba za kimataifa ni mara nyingi huwa ni saa kumi na ikitokea mechi tofauti na saa kumi basi itakuwa ni saa kumi na mbili ( Mechi ya Simba vs Al Ahly kwenye AFL) ilikuwa saa kumi na mbili. Angalia ratiba ya Mamelod ikicheza na timu za waarabu ni mchana tu. Hapo ni kwamba Yanga hupenda kucheza mechi zake saa moja usiku.
Hahahahahahaha kumbe wewe unataka Yanga iwaige hao wengine sio ? Hahahaha hapa sasa nakuelewa ila unasahau Yanga na Al Hilal ilikua saa kumi ..Yanga na Usm Alger nadhani ilikua saa 11... ila pia usiwapangie nao wana plan zao za kupata ushindi
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Kwa hali ya sasa saa moja tu still joto kali. Halafu mpira kama unajua unajua tuu hata ucheze saa ngapi.
 
Young Africans Tunacheza Pira Bila Kutegemea Hali Ya Hewa & Uwanja.

Subiri Mpira Safi Saa Moja Usiku Ndio Maana Game Zetu Tukiwa Uwanjani Wa Nyumbani Ni Saa Moja Hatojalisha Ni Waarabu Au Warumi.

Kila La Kheri Dar Young Africans.
 
Back
Top Bottom