Uongozi wa Jiji la Dodoma tambueni mnatesa abiria wageni

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Kitendo cha uongozi wa Jiji la Dodoma kukataza mabasi yenye ofisi eneo la CBE kutopakia abiria eneo lile hakika huku ni kuumiza na kutesa wageni natoa sababu zangu ambazo kimsingi ni za kiubinadamu tu.

Unakuta mtu amefikia Lodge za hayo maeneo ya CBE au pale mitaa ya Chaduru (mkabala na Morena Hotel) then unakuta mtu ana paswa kusafiri alfajiri ya saa kumi na moja ndio basi lina toka stand ya 8 8, so huyu mtu ili awahi basi yampasa atoke saa kumi ivi alfajiri ...kwa hiyo midaa jiji la dodoma hakuna daladala wa teksi ni bodaboda tu.

Sasa charges wanazo charge bodaboda wa dodoma yaan ni kukomoa assume unatoka CBE to 88 stand unalipia 7000 Tsh ... This is unfair uongozi wa jiji la Dodoma Tazameni upya hili suala.

Isionekane kuja Dodoma ni Kuja kufujisha Pesa as if watu wote ni matajiri .other wise andaaeni vi coaster ambavyo vitakiwa vinawachukua abiria toka CBD kuelekea Stand.
 
Kitendo cha uongozi wa Jiji la Dodoma kukataza mabasi yenye ofisi eneo la CBE kutopakia abiria eneo lile hakika huku ni kuumiza na kutesa wageni natoa sababu zangu ambazo kimsingi ni za kiubinadamu tu.

Unakuta mtu amefikia Lodge za hayo maeneo ya CBE au pale mitaa ya Chaburu (mkabala na Morena Hotel) then unakuta mtu ana paswa kusafiri alfajiri ya saa kumi na moja ndio basi lina toka stand ya 8 8, so huyu mtu ili awahi basi yampasa atoke saa kumi ivi alfajiri ...kwa hiyo midaa jiji la dodoma hakuna daladala wa teksi ni bodaboda tu.

Sasa charges wanazo charge bodaboda wa dodoma yaan ni kukomoa assume unatoka CBE to 88 stand unalipia 7000 Tsh ... This is unfair uongozi wa jiji la Dodoma Tazameni upya hili suala.

Isionekane kuja Dodoma ni Kuja kufujisha Pesa as if watu wote ni matajiri .other wise andaaeni vi coaster ambavyo vitakiwa vinawachukua abiria toka CBD kuelekea Stand.
Chaduru sio chabudu,Cbe sio CBD,sawa wamekusikia.
 
Kitendo cha uongozi wa Jiji la Dodoma kukataza mabasi yenye ofisi eneo la CBE kutopakia abiria eneo lile hakika huku ni kuumiza na kutesa wageni natoa sababu zangu ambazo kimsingi ni za kiubinadamu tu.

Unakuta mtu amefikia Lodge za hayo maeneo ya CBE au pale mitaa ya Chaburu (mkabala na Morena Hotel) then unakuta mtu ana paswa kusafiri alfajiri ya saa kumi na moja ndio basi lina toka stand ya 8 8, so huyu mtu ili awahi basi yampasa atoke saa kumi ivi alfajiri ...kwa hiyo midaa jiji la dodoma hakuna daladala wa teksi ni bodaboda tu.

Sasa charges wanazo charge bodaboda wa dodoma yaan ni kukomoa assume unatoka CBE to 88 stand unalipia 7000 Tsh ... This is unfair uongozi wa jiji la Dodoma Tazameni upya hili suala.

Isionekane kuja Dodoma ni Kuja kufujisha Pesa as if watu wote ni matajiri .other wise andaaeni vi coaster ambavyo vitakiwa vinawachukua abiria toka CBD kuelekea Stand.
Sasa kama meya anazo bodaboda zake 10 kwa ajili ya poketi mane ya watoto shule unataka afanyeje ili naye ale kwa urefu wa kamba yake!
 
Kitendo cha uongozi wa Jiji la Dodoma kukataza mabasi yenye ofisi eneo la CBE kutopakia abiria eneo lile hakika huku ni kuumiza na kutesa wageni natoa sababu zangu ambazo kimsingi ni za kiubinadamu tu.

Unakuta mtu amefikia Lodge za hayo maeneo ya CBE au pale mitaa ya Chaduru (mkabala na Morena Hotel) then unakuta mtu ana paswa kusafiri alfajiri ya saa kumi na moja ndio basi lina toka stand ya 8 8, so huyu mtu ili awahi basi yampasa atoke saa kumi ivi alfajiri ...kwa hiyo midaa jiji la dodoma hakuna daladala wa teksi ni bodaboda tu.

Sasa charges wanazo charge bodaboda wa dodoma yaan ni kukomoa assume unatoka CBE to 88 stand unalipia 7000 Tsh ... This is unfair uongozi wa jiji la Dodoma Tazameni upya hili suala.

Isionekane kuja Dodoma ni Kuja kufujisha Pesa as if watu wote ni matajiri .other wise andaaeni vi coaster ambavyo vitakiwa vinawachukua abiria toka CBD kuelekea Stand.
Ubutu wa fikra za viongozi wa miji ya Dodoma, Njombe, Iringa, Songea, Sumbawanga ndiyo unawatesa sana wananchi na hiyo yote ni kwasababu viongozi hao wanafanya biashara za usafirishaji kwa taxi, bajaji na daladala hivyo wanatengeneza mazingira ya biashara zao kuvuna pesa wala hakuna sababu nyingine ya maana. Ukiangalia kiuhalisia mabasi hayo yanapoanzia na kumalizia safari katikati ya miji yanapunguza sana adha wanazopata abiria kwenye daladala na bajaji, si hilo tu bali mabasi hayo yanapunguza msongamano unaosababishwa na wingi wa bajaj na daladala kwenye barabara zetu finyu. Imagine Shabiby moja ikiingia katikati ya jiji na abiria 60 ni sawa na babaji ngapi au daladala ngapi? Nilitegemea viongozi wa jiji wawashukuru wenye mabasi kwa kuchukua abiria hadi na kutoka mjini ili kupunguza utitiri wa bajaj na daladala barabarani
 
Ubutu wa fikra za viongozi wa miji ya Dodoma, Njombe, Iringa, Songea, Sumbawanga ndiyo unawatesa sana wananchi na hiyo yote ni kwasababu viongozi hao wanafanya biashara za usafirishaji kwa taxi, bajaji na daladala hivyo wanatengeneza mazingira ya biashara zao kuvuna pesa wala hakuna sababu nyingine ya maana. Ukiangalia kiuhalisia mabasi hayo yanapoanzia na kumalizia safari katikati ya miji yanapunguza sana adha wanazopata abiria kwenye daladala na bajaji, si hilo tu bali mabasi hayo yanapunguza msongamano unaosababishwa na wingi wa bajaj na daladala kwenye barabara zetu finyu. Imagine Shabiby moja ikiingia katikati ya jiji na abiria 60 ni sawa na babaji ngapi au daladala ngapi? Nilitegemea viongozi wa jiji wawashukuru wenye mabasi kwa kuchukua abiria hadi na kutoka mjini ili kupunguza utitiri wa bajaj na daladala barabarani
Licha tu ya ivyo Dodoma ni jiji ambalo ajali ni nyinhi mno tena za ovyo sana coz hakuna hata alama za barabaran na trafik light ni chache so dereva wa chombo cha moto hasa magari anaweza akajimwaga atakavyo ...

Mfano ile barabara kuu unapotokea town kuelekea stand ya 88 ni risk sana ile barabara ...
 
Back
Top Bottom