Ushauri kwa Dodoma jiji kuhusu mnada wa nyama msalato

mconservative

New Member
Aug 18, 2016
3
8
Naomba kutoa ushauri kwa serikali ya jiji la Dodoma kuhusiana na mnada wa nyama msalato.

kwanza nianze kutoa pongezi kwa mamlaka ya jiji la Dodoma kwa kuenzi utamaduni wa kula nyama kila siku ya jumamosi lakini naomba kutoa ushauri kidogo kuhusiana na mazingira yake ya uchomaji nyama na mazingira yote ya ujumla.

kwakuwa Dodoma imekuwa mji mkuu wa nchi nashauri halmashauri ya jiji itengeneze sehemu ile iwe yakisasa yenye madhari ya kisasa ambayo itafanya kila mtu akifika pale ijiskie fahari kuwepo mazingira yale, jengeni majiko ya kisasa ya kuchomea nyama jengeni mabanda ya kisasa yakuketi ambayo yataweza kutumika katika kipindi chote cha mwaka, jengeni garden nzuri eneo lile, jengeni kwa namna ambayo kila mtu akifika Dodoma atamani kufika pale na kujivunia ( wekeni heshima kama ya salt bae wa Dubai anasifika dunia nzima kwa sababu tu ya unadhifu wake na makeke yake katika kuhudumia wateja)

Afisa afya wa jiji hakikisha watoa huduma ya nyama pale wanakuwa nadhifu wale wanao kata nyama basi wavae groves maalumu, hali iliyopo sasahivi hakuna usafi kabisa., najua ni utamaduni wetu kuhudumiwa vile lakini sasa Dodoma inapokea wageni wengi from all over the world wengine kuona vile wanapoteza hamu yakula.
 
Kipindi npo chuo na dem wangu mwarabu tumepiga muno nyama za msalato....NB: mwsho aliolewa na mwarabu mwezie mm n mwanazengo wa kusin nyanda za juu....hatujawahi kujali mazngra na mtoto mkali n kupiga 🍷 wine za kutosha na nyama ....i remember msalato back the day
 
Naomba kutoa ushauri kwa serikali ya jiji la Dodoma kuhusiana na mnada wa nyama msalato.
kwanza nianze kutoa pongezi kwa mamlaka ya jiji la Dodoma kwa kuenzi utamaduni wa kula nyama kila siku ya jumamosi lakini naomba kutoa ushauri kidogo kuhusiana na mazingira yake ya uchomaji nyama na mazingira yote ya ujumla.
kwakuwa Dodoma imekuwa mji mkuu wa nchi nashauri halmashauri ya jiji itengeneze sehemu ile iwe yakisasa yenye madhari ya kisasa ambayo itafanya kila mtu akifika pale ijiskie fahari kuwepo mazingira yale, jengeni majiko ya kisasa ya kuchomea nyama jengeni mabanda ya kisasa yakuketi ambayo yataweza kutumika katika kipindi chote cha mwaka, jengeni garden nzuri eneo lile, jengeni kwa namna ambayo kila mtu akifika Dodoma atamani kufika pale na kujivunia ( wekeni heshima kama ya salt bae wa Dubai anasifika dunia nzima kwa sababu tu ya unadhifu wake na makeke yake katika kuhudumia wateja)

Afisa afya wa jiji hakikisha watoa huduma ya nyama pale wanakuwa nadhifu wale wanao kata nyama basi wavae groves maalumu, hali iliyopo sasahivi hakuna usafi kabisa., najua ni utamaduni wetu kuhudumiwa vile lakini sasa Dodoma inapokea wageni wengi from all over the world wengine kuona vile wanapoteza hamu yakula.
Unadhani huo mnada wa hivyo haupo..?

Mbona serikali ilishajenga siku nyingi tu kule mahungu....lakini watu hawaendi wanataka vumbi.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
1710063162515.png

ki afya si salama kwa kweli
 
Soko la Kilombelo hapo Arusha ni safi? Mwezi wa 5 nakuja Arusha nitanyooka na nyie 😂😂
Kilombero hamna anaekula nyama pale mkuu. Na masoko yote ya Tanzania ni machafu hata kariakoo 😄 🤣 😂 😆 😄 lakin Kilombero ina unafuu sana Arusha hatunaga kipindupindu kama una hela karibu uzunguni huku kuna kijiwe kahawa elfu5
 
Kilombero hamna anaekula nyama pale mkuu. Na masoko yote ya Tanzania ni machafu hata kariakoo 😄 🤣 😂 😆 😄 lakin Kilombero ina unafuu sana Arusha hatunaga kipindupindu kama una hela karibu uzunguni huku kuna kijiwe kahawa elfu5
Hoja ni uchafu,kwani kama hamli nyama ndio inatakiwa muwe wachafu?

Ni vyema mamlaka ikashughulikia usafo huko Dom maana Shinyanga hapo wanateseka na kipindipindu.Ni aibu kikiingia Mji Mkuu wa Nchi
 
Shida yetu watanzania tukishajengewa pakawa pazuri na nadhifu utashangaa watu watapaogopa kuja kuhofia gharama ikawa juu badala yakujali afya hilo eneo ni chafu sina hata hamu nalo.
 
Kipindi npo chuo na dem wangu mwarabu tumepiga muno nyama za msalato....NB: mwsho aliolewa na mwarabu mwezie mm n mwanazengo wa kusin nyanda za juu....hatujawahi kujali mazngra na mtoto mkali n kupiga wine za kutosha na nyama ....i remember msalato back the day
Ndiyo maana demu alikukimbia baada ya kubaini una element ya uchafu na kutozingatia usafi. Alikuwa anakulia timing tuu ili umsogeze amalize chuo na kutafuta right person
 
Eneo La Hovyo Sana Na Nyama Zenyewe Wakati Mwingine Haziivi
Utafikiri Siku Ya Gulio Katelero, Bunazi Huko
Lakini ajabu ni kwamba viongozi na watu wazito wanakuja daily... Sisi wabongo kuishi kistaarabu ni shidaaa sana
 
Ndiyo maana demu alikukimbia baada ya kubaini una element ya uchafu na kutozingatia usafi. Alikuwa anakulia timing tuu ili umsogeze amalize chuo na kutafuta right person
We falaa una hata uwezo....wa kununua baamedi....we agza nyama za jelo ule ukajambe ulale .... Ww huna hataa uwezo wa kumshika bega mwarabu..... Kafir ww
 
Back
Top Bottom