Mama alisema, hata mkipigia kura kule kwingine, CCM ndio itakayounda Serikali. Wakati wa kufunga kampeni pale kawe Lissu alisema Ana Habari kuwa kura zimeisha setiwa kuwa jiwe atashinda kwa kura milioni 12 ndivyo ilivyokuwa, Sasa unaposema wakati kura zinahesabiwa nashindwa kukuelewa ni kura zipi unazozizungumziaLisu anagombea urais wakati kura zinahesabiwa kakimbilia nyumbani kwa balozi wa Ujerumani.
Bure kabisa yule mnyaturu!