Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,456
walitaka wamuue tenaDah!...yaani umesahau Lissu alinusurika kifo?...ulitaka aendelee kubakia hapa nchini?
walitaka wamuue tenaDah!...yaani umesahau Lissu alinusurika kifo?...ulitaka aendelee kubakia hapa nchini?
...Waliofanikisha uhuru wa Afrika kusini walipambana wakiwa uhamishoni eg.Tanzania.Kiukweli hata kwenye mafundisho ya dini tunaambiwa mchunga mwema wa kondoo hutangulia mbele ya kundi na kuwapa ishara kondoo kila kitu kibaya kinapokuja.
Hayati Magufuli na mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe ni mfano mzuri wa wachungaji WEMA ambao wamekuwa tayari kutaabika na kunenewa kila lililo baya kwa ajili ya wale wanaowaongoza.
Lakini Tundu Lissu na Godbless Lema ni mfano wa kunguru muoga ambaye hukimbiza mbawa zake mbaaaali kabisa.
Mungu wa mbinguni awapeni siku njema iitwayo Leo!
Ndio majukwaa ya zama hizi 21thC,tuache ushamba...Ni sawa na kutongoza kwa barua wakati simu na sms zipo!Kweli kabisa wenyewe wanaona uongozi ni Clubhouse na Twitter
Analelewa na mabeberu!Labda wapo wengi waliopanga kumuua tusiowafahamu sisi ila yeye anafahamu bado wapo ndio maana hajarudi.
Kiukweli hata kwenye mafundisho ya dini tunaambiwa mchunga mwema wa kondoo hutangulia mbele ya kundi na kuwapa ishara kondoo kila kitu kibaya kinapokuja.
Hayati Magufuli na mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe ni mfano mzuri wa wachungaji WEMA ambao wamekuwa tayari kutaabika na kunenewa kila lililo baya kwa ajili ya wale wanaowaongoza.
Lakini Tundu Lissu na Godbless Lema ni mfano wa kunguru muoga ambaye hukimbiza mbawa zake mbaaaali kabisa.
Mungu wa mbinguni awapeni siku njema iitwayo Leo!
Rais wa sasa wa Zimbabwe alifanya nini?...Waliofanikisha uhuru wa Afrika kusini walipambana wakiwa uhamishoni eg.Tanzania.
...Rais wa sasa wa Zimbabwe aliikimbia nchi kumkwepa Mugabe,Mugabe alipopinduliwa ndipo akarejea na kuwa Rais.
...Mifano mingine ni Somalia,Ethiopia,Msumbiji,Congo na uko Ulaya.
...Run and live to fight another day ni silaha nzuri sana maana ata Yesu alimkimbia Herode na kuja Afrika.
NB: Soma mambo kabla ya kukurupuka!
Mpalange brain!Rais wa sasa wa Zimbabwe alifanya nini?
Hahahaaaa....... Wewe kabavicha bure kabisa!Mpalange brain!
Tafiti utajua,ujinga usionyeshe hadharani...
Ujinga mwingine huo,yaan wewe unaamini kila mwenye kusema kweli ni BAVICHA!Hahahaaaa....... Wewe kabavicha bure kabisa!
Ujinga mwingine huo ,yaan wewe unaamini kila mwenye kusema kweli ni BAVICHA!Hahahaaaa....... Wewe kabavicha bure kabisa!
Bavicha mkweli ni Patrobas Katambi peke yake wengine makarai!Ujinga mwingine huo ,yaan wewe unaamini kila mwenye kusema kweli ni BAVICHA!
Basi hao wamewazidi saana maarifa
Kaolewe sasa...Bavicha mkweli ni Patrobas Katambi peke yake wengine makarai!
Wewe mitala imekushinda hapo kwa Saed!Kaolewe sasa...
🚮🚮
Mtoa hoja achilia mbali kutishiwa kifo, je ushawahi kupigwa hata bisibisi moja tu mwilini kwako?Lakini Tundu Lissu na Godbless Lema ni mfano wa kunguru muoga ambaye hukimbiza mbawa zake mbaaaali kabisa.
Wasikusumbue kichwa hao...walking dead bodies hao!Mtoa hoja achilia mbali kutishiwa kifo, je ushawahi kupigwa hata bisibisi moja tu mwilini kwako?
Uongo Afrika kusini Mandela aliongoza Mapambano akiwa ndani ya Afrika ya kusini...Waliofanikisha uhuru wa Afrika kusini walipambana wakiwa uhamishoni eg.Tanzania.
...Rais wa sasa wa Zimbabwe aliikimbia nchi kumkwepa Mugabe,Mugabe alipopinduliwa ndipo akarejea na kuwa Rais.
...Mifano mingine ni Somalia,Ethiopia,Msumbiji,Congo na uko Ulaya.
...Run and live to fight another day ni silaha nzuri sana maana ata Yesu alimkimbia Herode na kuja Afrika.
NB: Soma mambo kabla ya kukurupuka!
..Mandela alikuwa gerezani uku wana wanapambana,wengi walihifadhiwa Morogoro,hao ndio walioleta uhuru,Mandela alikuwa kifungoni..soma tena!Uongo Afrika kusini Mandela aliongoza Mapambano akiwa ndani ya Afrika ya kusini
Msumbiji Samora Machel aliongoza Vita akiwa ndani ya Msumbiji
Ethiopia Mengtsu Haile Mariam aliongoza Mapambano akiwa ndani ya Ethiopia
Somalia Siad Barre aliongoza Vita akiwa ndani ya Somalia , Museveni pia,Kagame pia no hawakuwa Kama Lisu na Lema wanasokomeza wengine msitari wa mbele halafu wao wanakimbilia ulaya na Canada wanasikilizia kwenye Twitter na jamii forum Nini kinaendelea huku wakila Bata na kuku kwa mrija Ubelgiji na Canada wao na familia zao na kuibuka Siku Moja moja ku comment mitandaoni Kama Twitter ,jamii forums na YouTube nk !!!!
Hujaelewa kwenye Vita halisi walipigana nchini kwao.Museveni hakuvaa kombati na kupanda vyeo vya kijeshi Jeshi la Uganda akiwa Dar es salaaam au popote Tanzania Alipanda vyeo msituni Uganda, Kagame pia vyeo vyake vya kivita hakuvipata uhamushoni ni msituni Rwanda na Kabila hakupata uraisi kwa kuletewa Dar es salaaam aliupata vitani Kongo Hadi kuuawa na walinzi aliuawa Kongo sio Tanzania..Mandela alikuwa gerezani uku wana wanapambana,wengi walihifadhiwa Morogoro,hao ndio walioleta uhuru,Mandela alikuwa kifungoni..soma tena!
..Museveni kasomea UDSM na kupambana akiwa bongo akisaidiwa na Nyerere baada ya Obote.
..Kabila alipambana akiwa hapa bongo akisaidiwa na serikali yetu..Soma maana unachekesha!
..Rais wa sasa wa Congo nae alikuwa anaishi Belgium uhamishoni kabla ya kuja tena kupambana...Soma!
..Rais wa sasa wa Zimbabwe alimkimbia Mugabe lakini alirudi na kuwa Rais!..Soma.
..Uko horn of Africa ndo usiseme maana Rais na serikali yake aliapishwa nje ya nchi na alikuwa anaongoza nchi akiwa uhamishoni na mambo yanaenda.
..Mungu mwenyewe alimuamuru Joseph amkimbize Yesu uhamishoni Africa ili amuepushe na mkono wa Herode,baada ya Mungu kumshughulikia Herode ndipo Yesu akarejea kufanya shughuli zake km kawaida...hii mbinu iko kitambo tu.
Hiyo mbinu ya akina Lissu na Lema inatumika dunia nzima na huleta mafanikio sana tu,tena siku hizi kuna technology ndo kabisa mambo poa.
Waendelee na ibada kujifariji.Hili jini lenu hata mliandike mara 1000 kwa siku halitafufuka kamwe
Rais wa sasa wa Zimbabwe aliingia ikulu Mugabe akiwa hai,usipotoshe!Hujaelewa kwenye Vita halisi walipigana nchini kwao.Museveni hakuvaa kombati na kupanda vyeo vya kijeshi Jeshi la Uganda akiwa Dar es salaaam au popote Tanzania Alipanda vyeo msituni Uganda, Kagame pia vyeo vyake vya kivita hakuvipata uhamushoni ni msituni Rwanda na Kabila hakupata uraisi kwa kuletewa Dar es salaaam aliupata vitani Kongo Hadi kuuawa na walinzi aliuawa Kongo sio Tanzania
Huyo Makamu aliyemrithi Mugabe si kuwa alikuwa anapigania uhuru alikimbia tu baada ya kuona yeye na Mugabe hawaivi kwenye ulaji tu Hana chochote Cha maana alichobadilisha Zimbabwe yeye na Lisu na Lema kundi moja tu wasubiri fursa tu Mugabe alipokufa Jeshi likaona nchi isije paraganyika wakambeba Kama kuku wa mdondo kumwingiza Ikulu lakini Hadi leo hajawahi thubutu kutukana Mugabe na alimzika mwenyewe kwa heshima zote
Lisu na Lema walitoroka wanasubiri ugali uive waambiwe karibuni mule chakula tayari!!! Tumeshapika mliotuacha mkakimbilia Canada na Ubelgiji!!! Ndicho wanachosubiri