All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,563
Yupi sasa?? Wewe ??!!Huyu katili alifanya jambo gani?
Yupi sasa?? Wewe ??!!Huyu katili alifanya jambo gani?
Mbona nimeandika wazi! Alidai Magufuli ndio alitaka kumuua sasa Magufuli kashaenda zake still mtu haelewi tifanyeze?Jitahidi uwe na kawaida ya kurudia kusoma kile ukiandikacho kabla ya kukipost.
Acha kulinganisha matendo ya Mh. Mbowe na shetaniKiukweli hata kwenye mafundisho ya dini tunaambiwa mchunga mwema wa kondoo hutangulia mbele ya kundi na kuwapa ishara kondoo kila kitu kibaya kinapokuja.
Hayati Magufuli na mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe ni mfano mzuri wa wachungaji WEMA ambao wamekuwa tayari kutaabika na kunenewa kila lililo baya kwa ajili ya wale wanaowaongoza.
Lakini Tundu Lissu na Godbless Lema ni mfano wa kunguru muoga ambaye hukimbiza mbawa zake mbaaaali kabisa.
Mungu wa mbinguni awapeni siku njema iitwayo Leo!