Uongozi Chuo Kikuu Dar Es Salaam una matatizo

Nilisoma udsm na ulo ongea ni kweli kabisa. Ila naona sio udsm pekeee ila ni ugonjwa wa vyuo vyote vya Tanzania sema umelenga Udsm kwani ndo tulipoweka imani ni chuo bora kwa Tz.

Katika vitu nilivyo laumu ni kusoma hadi na maliza hakuna mahali tulipo hitajika kusoma ujasiriamali au kompyuta japo ni Mwalimu wa Sayansi.

Laiti sio kujiongeza kwangu ningetoka mtupu kwenye hayo maswala. Yaaani Elimu yetu imeshindwa kufikiria mbele miaka kumi ijao kuwa dunia itakuwa wapi. Kama umesoma shule za serikali hadi unaingia chuo Kikuu niseme tuu ukweli una hasara sehemu flani katika Maisha hasa kwenye zama hizi. Maana utaambulia kuwa na hiyo Elimu ya makaratasi na vyeti.

Na ujinga mwingine ni wanafunzi wengi kujiskia hasa kipindi wako chuo ,Wanaona kama ndo maisha yameisha hata hii ni kwa wanachuo wote tuu wakishafika chuo duuuh kuna ka kiburi flani hivi kwa wale hawajasoma au kufika na wakiamini maisha ni simple wakishamaliza.

Nilikataa huoo ujinga hasa nilipo kosaga mkopo nikajiongeza ili niweze kujisomesha.. Utamkuta mwanafunzi kavaa likamba la Udsm Student hadi kariakoo ilimradi mumjue anasoma wapi.
Certified comment
 
Umeongea ukweli mtupu hali ya vyuo ipo hoi.
Lakini utailaumu UDSM bure tu, tatizo linaanzia elimu ya msingi. Watoto wakiwa wadogo hawawekewi msingi mzuri wa kudadisi na kuwa wabunifu mwanzoni kabisa wa safari yao ya elimu. Hata hao mnaowasifia wamesoma English Medium hakuna jipya kule wanameza tu notes na kukaririshwa vitu kibao ilimradi wafaulu mitihani na sio iliwajifunze namna ya kujifunza.
Kama kuna mtu amewahi kusoma mtaala tofauti na huu wa Kitanzania hasa hasa level ya msingi utanielewa ninacho ongelea. Kule mtoto akiwa mdogo anafundishwa namna ya kujifunza, anafundishwa namna ya kufanya brainstorming tangia akiwa standard 3 ili ajifunze mapema namna ya kujiongeza na kuweza kupata mawazo mapya.
Ukikosea kwenye msingi hata aende wapi hata afaulu vipi mtarudi tu kulalamika kuwa watu hawana ubunifu.
Mfano wa haraka ni baadhi ya mawaziri na viongozi waliosoma vyuo vikuu vya nje vikubwa tu lakini bado tunawalalamikia kwamba upeo wao ni mdogo. Sababu ni kwamba msingi wao ni mbovu.
Kurekebisha elimu ya Tanzania ni kufumua kabisa elimu ya msingi ili iwe ya msingi kweli na siyo kuwamezesha watoto wadogo notes na concepts za kutosha ambazo kimsingi hazimsaidai chochote kwa huo umri sana sana zinamdumaza kifikra mpaka kaburini.
Ni kweli vyuo vyetu vinashida kubwa sana lakini wanaokwenda pale wangekuwa tayari wana msingi mzuri wangeweza kuzikabili hizi changamoto na kuzishinda.
 
Kwani tatizo lipo UDSM peke yake au kuna kitu kimekukosea hii taasisi yetu kongwe ?
 
Umeongea ukweli mtupu hali ya vyuo ipo hoi.
Lakini utailaumu UDSM bure tu, tatizo linaanzia elimu ya msingi. Watoto wakiwa wadogo hawawekewi msingi mzuri wa kudadisi na kuwa wabunifu mwanzoni kabisa wa safari yao ya elimu. Hata hao mnaowasifia wamesoma English Medium hakuna jipya kule wanameza tu notes na kukaririshwa vitu kibao ilimradi wafaulu mitihani na sio iliwajifunze namna ya kujifunza.
Kama kuna mtu amewahi kusoma mtaala tofauti na huu wa Kitanzania hasa hasa level ya msingi utanielewa ninacho ongelea. Kule mtoto akiwa mdogo anafundishwa namna ya kujifunza, anafundishwa namna ya kufanya brainstorming tangia akiwa standard 3 ili ajifunze mapema namna ya kujiongeza na kuweza kupata mawazo mapya.
Ukikosea kwenye msingi hata aende wapi hata afaulu vipi mtarudi tu kulalamika kuwa watu hawana ubunifu.
Mfano wa haraka ni baadhi ya mawaziri na viongozi waliosoma vyuo vikuu vya nje vikubwa tu lakini bado tunawalalamikia kwamba upeo wao ni mdogo. Sababu ni kwamba msingi wao ni mbovu.
Kurekebisha elimu ya Tanzania ni kufumua kabisa elimu ya msingi ili iwe ya msingi kweli na siyo kuwamezesha watoto wadogo notes na concepts za kutosha nambazo kimsingi hazimsaidai chochote kwa huo umri sana sana zinamdumaza fikra mpaka kaburini.
Ni kweli vyuo vyetu vinashida kubwa sana lakini wanaokwenda pale wangekuwa tayari wana msingi mzuri wangeweza kuzikabili hizi changamoto na kuzishinda.
👍
 
Mimi napenda kuchangia kidogo mtoa uzi.Mimi ni mwlm tena wa shule ya msingi.Nilianza na ngazi ya chert ila Leo natafuta shahada ya pili.Nimeingia kazini 2010.

Vyuo vikuu tusivilaumu sana kwakuwa vinapata product ambayo imetoka hapa chini.Msingi ambao ndoo elimu ya msingi ni mbovu kupitiliza .Siku hizi wanafunzi wakishafika darasa la saba wanafundishwa past pepers tu mpaka wanafanya mtihani lengo afaulu la saba.

Leo hii mwlm anaingia darasani na kitabu anafundisha kwa kuongea yeye mwanzo mwisho.Akimaliza natoa maswali mwanafunzi anafanya ,atakae kosa atamfnyia masahihisho na kuendelea na mada nyingne.Hakuna kumtengenezea mwanafunzi udadisi,uchunguzi wala ubunifu wowote.

Siku hizi waalimu ndoo wamechoka kabisaa wanawavanyia hadi mtihani wanafunzi ili mradi limtoke asije sumhuliwa kwann hawajafaulu ,mara uandike barua.Ndivyo wakubwa wa ngazi za juu wanavyo taka ,ufaulishe asilimia mia haijalishi umepatikanaje.

Hivyo hivyo shule za English midium,nao wanawakaririsha watoto.Hawana mbinu za kuwafanya watoto wadadisi,wawe wabunifu wala wawe wavumbuzi.Kinacho wasaidia hapo ni lugha na kukrishwa kwa wingi.

Wakitoka hapo wanaenda sekondary huko lugha kingereza na kwakuwa wanamsingi wa ligha wataweza kukariirishwa na kufaulu na jatimae watafika chuo kikuu na hizo one au two.

Tanzania mwanafunzi anae faulu vizuri kidato cha nne na sita akaenda UDSM anacho mzidi mwenzake aliepata 3 au 2 ni kuwa yeye ana uwezo mzuri wa kukariri na kukumbuka kuviandika kwenye karatasi tu ,hana kingine chochote zaidi ya hapo.

Tutazidi kupiga kelele na kuongea sana but mkombozi hayupo.Serikali lazima ikubali ije na mfumo mzima wa utoaji wa elimu utakao tusogeza miaka angalau thelathini mbele sio huu mfumo tulio nao.

Wanachosema serikali wanasema hawana pesa lakini najiuliza si bora wasigharamikie hiyo miradi mikibwa baadala yake wagharamikie elimu iwe bora?

Nisamehe nimeandika marefu sana ila natamani watanzania wajue na waungane kwa pamoja kuishinikiza serikali ibadili huufumo ili watoto wao wapate elimu bora.

Mimi na babaangu mdogo watoto wake wote watatu wamesoma kuanzia nasury mpaka kidato cha sita Tusiime. Chuo kikuu UDSM wote wapo kwake ,alifikiria gharama alioitumia ni kubwa sana na pesa ya kuwa pa mitaji hana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta chuo chako mwanao akasome.



Udsm is always the best. Hakuna aliyesoma pale akawahi kujuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona huyu mwingine anavyoongea Ugoro, unathibitisha kabisa anachokiongea mleta mada, we all know UDSM ni chuo mama na kikubwa nchini na ndio maana mleta uzi kaleta uzi huu sasa kuonesha UPOPOMA wako hilo ndio jibu sahihi uliloliona. Aiseee🤔
 
Kama umesoma huko vyuo vya huko vinavyofungwa kila siku lazima uje na conclusion ya kijinga kama hii
 
Nilisoma udsm na ulo ongea ni kweli kabisa. Ila naona sio udsm pekeee ila ni ugonjwa wa vyuo vyote vya Tanzania sema umelenga Udsm kwani ndo tulipoweka imani ni chuo bora kwa Tz.

Katika vitu nilivyo laumu ni kusoma hadi na maliza hakuna mahali tulipo hitajika kusoma ujasiriamali au kompyuta japo ni Mwalimu wa Sayansi.

Laiti sio kujiongeza kwangu ningetoka mtupu kwenye hayo maswala. Yaaani Elimu yetu imeshindwa kufikiria mbele miaka kumi ijao kuwa dunia itakuwa wapi. Kama umesoma shule za serikali hadi unaingia chuo Kikuu niseme tuu ukweli una hasara sehemu flani katika Maisha hasa kwenye zama hizi. Maana utaambulia kuwa na hiyo Elimu ya makaratasi na vyeti.

Na ujinga mwingine ni wanafunzi wengi kujiskia hasa kipindi wako chuo ,Wanaona kama ndo maisha yameisha hata hii ni kwa wanachuo wote tuu wakishafika chuo duuuh kuna ka kiburi flani hivi kwa wale hawajasoma au kufika na wakiamini maisha ni simple wakishamaliza.

Nilikataa huoo ujinga hasa nilipo kosaga mkopo nikajiongeza ili niweze kujisomesha.. Utamkuta mwanafunzi kavaa likamba la Udsm Student hadi kariakoo ilimradi mumjue anasoma wapi.
Well said Comrade.
Nadhani hili ni tatizo la vyuo vyote nchini as you said, wahitimu wanatoka vyuoni wanakosa ule uwezo wa kukabili matatizo halisi yanayoikumba jamii katika nyanja walizosomea.

Ili kuwa ni vyema saizi kuona Wataalamu kutoka vyuo vya muhimbili na vingine vya afya wakihangaika hata maabara kufanya tafiti za hili janga la corona au mengineyo, lakini ni kama wamejitoa kwenye race Kabisa 😂😂.

Vyuo vya Tech vilitakiwa viwe mstari wa mbele kwenye innovations za kiteknolojia saizi, lakini ni tofauti.

The same to Agriculture, Chuo kama SUA (wanajitahidi kwa upande wao) lakini tulitegemea innovations nyingi sana kwenye upande wa kilimo kutoka chuo hiki.
 
Hoja kama hizi wachangiaji hutowaona mkuu. Ila nakuhakikishia ni moja kati ya uzi bora sana. Nimependa
 
Mzumbe ali disco mwijaku.. akaenda kuanza upya udsm na akamaliza degree yake akiwa udsm..

Kichwa cha bwana mkubwa yule sijawahi kukielewa ana tise sio za nchi hii, kana kwamba anafanya kazi World Bank
 
wanangu wana miaka miNne sasa tangu kuzaliwa. wAtasoma hadi darasa la saba huko "English medium".

WAtaenda veta/ Tertiary education kwa miaka minne.

Hapo watakua na miaka 18/9 hivi najua watakua full equipped, wAtaenda pambana na hali zao baada ya kuwampa hela ya kodi ya miezi 6 na kuwampiga marufuku kukanyaga nyumbani kwa mwaka mmoja(Nikiwa nafatilia nyendo zao kwa karibu)





Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanangu wana miaka miNne sasa tangu kuzaliwa. wAtasoma hadi darasa la saba huko "English medium".

WAtaenda veta/ Tertiary education kwa miaka minne.

Hapo watakua na miaka 18/9 hivi najua watakua full equipped, wAtaenda pambana na hali zao baada ya kuwampa hela ya kodi ya miezi 6 na kuwampiga marufuku kukanyaga nyumbani kwa mwaka mmoja(Nikiwa nafatilia nyendo zao kwa karibu)





Sent using Jamii Forums mobile app

Elimu ya form 4 muhimu sana...ila elimu ya zaidi ya form 4 ndio imejaa upuuzi.. cheti cha form 4 muhimu sana wakipate
 
Elimu ya Chuo sikuwai kuipenda . Nilihisi inanipotezea muda na kunipa mateso ya malecture kututishia ku disco!
Dunia ya sahivi ni ujasiliamali na teknolojia. Huko kwingine kupoteza mda!
 
Back
Top Bottom