Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
- Miaka inaenda tu na kila mwaka wanachukua vijana wetu wanaojiweza sekondari lakini wanaturudishia uozo. Unakuta mtoto alikua ana akili kweli lakini akimaliza chuo anaanza kuongea pumba, ooh mara " nataka nianzishe kampuni yangu ya software" " nataka nitoe semina ya madini", " nataka niandae semina ya ujasiriamali", ushenzi na uzuzu tu.
- Wakati sisi tunawapeleka watoto pale tunasema mtoto anaenda mlimani, atatoka na kitu pale, kumbe anaenda kutoka na maongezi. Ndio maana hata watu wa taaluma kubwa za sayansi kutoka UDSM wanaishia kuwa wanasiasa. Chuo kimejaa porojo mno.
- Hivi unajua Mwijaku alikua mwanafunzi wa UDSM? that fat fuk should've been the one helping our film industry but he is dying with it. Yani chuo kinachoaminiwa na watanzania wote kinashindwa kuzalisha hata waigizaji wazuri. UDSM ndipo walipotakiwa kutoka first grade Creative writers lakini asilimia 98 ya vitabu vyote vipya Tanzania vinahusu ujasiriamali au ni catalogue za bidhaa mbalimbali. Upumbavu juu ya upumbavu.
- Wazazi hatupendi vijana wetu wawe wanasiasa, tunapenda vijana wetu wawe na taaluma zinazoeleweka.
- UDSM imejaa misifa tu na hamna la maana linalofanyika.
- Chuo kikuu kikubwa kama kile hamna independent course ya Robotics, huwezi kutengeneza lolote miaka hii ya sasa hivi bila kuwa na elimu ya Robotics. Lakini UDSM hamna.
- Kwanini tusichukue waalimu wa nchi za nje walioendelea kielimu kuja kutusaidia kufundisha? ( nchi kama Ujerumani, Uingereza, Norway na Marekani). Tumejaza wasakatonge kama wakufunzi pale badala ya wataalamu. Mtoto anatoka CoICT hata basic commands za Linux hajui.
- Muda umefika wa serikali ya wanafunzi kukomalia taaluma inayotolewa pale, sio kila siku wanafunzi wanagombana na serikali kuu, tafuteni elimu inayoeleweka. Ukiwa na Cheti cha Geology kutoka UDSM halafu huna ajira wewe maisha yako ndio yameisha hivyo lakini haitakiwi kuwa hivyo. Wanafunzi lilieni elimu, mnatoka pale na uwezo mdogo tofauti na matarajio.
Mpaka leo hatuna kampuni binafsi ya mtandao wa simu ya kitanzania, zote zilizopo ni subsidiary ya kampuni za nje, na UDSM ipo tu miaka inaenda. Amkeni serikali ya wanafunzi, chuo kutafute waalimu competent na mazingira yawe wezeshi kusaidia kua na utaalamu wa hali ya juu kabisa kwa kozi husika.
- Wakati sisi tunawapeleka watoto pale tunasema mtoto anaenda mlimani, atatoka na kitu pale, kumbe anaenda kutoka na maongezi. Ndio maana hata watu wa taaluma kubwa za sayansi kutoka UDSM wanaishia kuwa wanasiasa. Chuo kimejaa porojo mno.
- Hivi unajua Mwijaku alikua mwanafunzi wa UDSM? that fat fuk should've been the one helping our film industry but he is dying with it. Yani chuo kinachoaminiwa na watanzania wote kinashindwa kuzalisha hata waigizaji wazuri. UDSM ndipo walipotakiwa kutoka first grade Creative writers lakini asilimia 98 ya vitabu vyote vipya Tanzania vinahusu ujasiriamali au ni catalogue za bidhaa mbalimbali. Upumbavu juu ya upumbavu.
- Wazazi hatupendi vijana wetu wawe wanasiasa, tunapenda vijana wetu wawe na taaluma zinazoeleweka.
- UDSM imejaa misifa tu na hamna la maana linalofanyika.
- Chuo kikuu kikubwa kama kile hamna independent course ya Robotics, huwezi kutengeneza lolote miaka hii ya sasa hivi bila kuwa na elimu ya Robotics. Lakini UDSM hamna.
- Kwanini tusichukue waalimu wa nchi za nje walioendelea kielimu kuja kutusaidia kufundisha? ( nchi kama Ujerumani, Uingereza, Norway na Marekani). Tumejaza wasakatonge kama wakufunzi pale badala ya wataalamu. Mtoto anatoka CoICT hata basic commands za Linux hajui.
- Muda umefika wa serikali ya wanafunzi kukomalia taaluma inayotolewa pale, sio kila siku wanafunzi wanagombana na serikali kuu, tafuteni elimu inayoeleweka. Ukiwa na Cheti cha Geology kutoka UDSM halafu huna ajira wewe maisha yako ndio yameisha hivyo lakini haitakiwi kuwa hivyo. Wanafunzi lilieni elimu, mnatoka pale na uwezo mdogo tofauti na matarajio.
Mpaka leo hatuna kampuni binafsi ya mtandao wa simu ya kitanzania, zote zilizopo ni subsidiary ya kampuni za nje, na UDSM ipo tu miaka inaenda. Amkeni serikali ya wanafunzi, chuo kutafute waalimu competent na mazingira yawe wezeshi kusaidia kua na utaalamu wa hali ya juu kabisa kwa kozi husika.