Uongo wa Zitto Kabwe

Zitto aliwahi kuzusha kuwa Sheikh Ponda kauawa kwa kupigwa risasi na polisi Morogoro.

Tapeli la kisiasa.
 
Uteuzi unatafutwa!

Wanasahau kina Mramba na Yona waliokuwa mawaziri waliwahi shitakiwa na kuhukumiwa hata kama walishaondoka ofisini?


Kumshitaki Waziri hata kama ni wa zamani ni sawa na kumshitaki RC au DC iliyopo ofisini?

Na huyo Sabaya kashitakiwa akiwa ofisini au baada ya kuondolewa?


Kama angekuwa ofisini, angeshitakiwa kama Sabaya au DC?

Zitto aache vihoja.
Noted.
 
Fack check

Supreme leader and Chief Advisor wa ACT Wazalendo Bw. Zitto Kabwe ameandika kwenye mtandao wa Twitter kua Tanzania haijawahi kutokea mkuu wa mkoa, RC ama mkuu wa wilaya DC kushtakiwa akiwa ofisini katika historia ya Tanzania.

Zitto hua sio mwanasiasa wa kumuamini, wanasiasa wote ni waongo ila Zitto yeye ni muongo zaidi.

Sasa wanasiasa waongo aina ya Zitto wakienda unchecked wataendelea kuwaaminisha wafuasi wao uongo na kupelekea kua na jamii iliyojazwa Uongo.



Zitto anasema Sabaya ndie mkuu wa wilaya wa kwanza kushtakiwa akiwa madarakani kwa makosa ya jinai.

Naomba kumbukusha Zitto kua November 6, 2006 aliewahi ama aliekua mkuu wa mkoa wa Tabora Bw. Zitopile Mzuzuri alifikishwa mahakamani kwa kosa la jinai la mauaji na jambo hilo lilijadiliwa humu.

Zitto acha uongo.
Wewe ndio Muongo tena Mzushi, kwa sababu kesi ya Ditopile ilikua tofauti kabisa na mazingira ya kesi zinazomkabili huyu PIMBI wa KIMASAI, mkuu umeshindwa kuzingatia yafuatayo

1. Kesi ya Ditopile ilikua sio kesi iliyohusu kuua kulikotokana na utendaji wa shughuli zake za ofisi za kila siku kama Mkuu wa Mkoa

Bali ilikuwa ni kwa hasira za mhemuko wa kibinaadamu kama binaadamu wengine labda kulikotokana na kujiamini kwa cheo chake kama ambavyo kwa mwingine kungeweza kutokana na ulevi wa Pombe, Wivu au hasira za kupita kiasi

2. Kosa la Ditopile halikufanyika katika muktadha wa kutimiza majukumu yake ya kazi zake za kila siku katika eneo lake la kazi

Bali ilikua ni katika shughuli za safari zake binafsi nje ya eneo lake la kazi tena mkoa tofauti kwa sababu tukio lilitokea Dar es Salam wakati yeye akiwa Mkuu wa Mkoa Tabora

3. Tukio la Ditopile lilikua ni tukio binafsi katika hali ya kawaida ambalo lingeweza kumtokea mtu yeyote

Ndio maana kwa wakati huo hata Marehem Sheikh ya Haya na Dk. Tamba waliweza kuhusisha tukio lile na nguvu za Giza/Majini yaliyomkumba kwa sababu kulikua hakuna chembe yeyote ya sababu za kisiasa au kiutawala
 
Lakini mkosa ya Sabaya ni unique yaani Ujambazi wa kutumia silaha, tuhuma Ambazo hazijawa rasmi kama Kubaka..Hii kweli sijawahi kutokea Tanzania..
Umethibitishwa wapi ,au na wew unafuata mkumbo tu ,leo ukipewa Jina na mbakaji na ushahidi kemkem wa uongo ,ndo tukiute na we ni mbakaji ?
 
Fack check

Supreme leader and Chief Advisor wa ACT Wazalendo Bw. Zitto Kabwe ameandika kwenye mtandao wa Twitter kua Tanzania haijawahi kutokea mkuu wa mkoa, RC ama mkuu wa wilaya DC kushtakiwa akiwa ofisini katika historia ya Tanzania.

Zitto hua sio mwanasiasa wa kumuamini, wanasiasa wote ni waongo ila Zitto yeye ni muongo zaidi.

Sasa wanasiasa waongo aina ya Zitto wakienda unchecked wataendelea kuwaaminisha wafuasi wao uongo na kupelekea kua na jamii iliyojazwa Uongo.



Zitto anasema Sabaya ndie mkuu wa wilaya wa kwanza kushtakiwa akiwa madarakani kwa makosa ya jinai.

Naomba kumbukusha Zitto kua November 6, 2006 aliewahi ama aliekua mkuu wa mkoa wa Tabora Bw. Zitopile Mzuzuri alifikishwa mahakamani kwa kosa la jinai la mauaji na jambo hilo lilijadiliwa humu.

Zitto acha uongo.
Kwa Ditopili hakuwa Mkuu wa Wilaya alikuwa Mkuu wa Mkoa pili aliimaanisha kuwa Serikali ilio madarakani kumsimamisha na kumshtaki kiongozi mwenye wadhifa wa Ukuu wa Wilaya haijawai kutokea hapa Tanzania

Sasa wewe unamwita muongo embu tutajie ni Mkuu wa wilaya ipi aliwahi kuvuliwa madaraka na kushtakiwa?
 
Back
Top Bottom