mkuu barabara inahtaji usimamizi na plans ya how to locate amount ya kutosha haidepends much na natural resources lakini umeme unadepends much on natural resources like gas and rain,hata kungekua na usimamizi vipi still kama hizo resources hazipo usimamizi na plans are nothing.
Kwani hii inahusu kina cha Maji !ni uzembe tu kwa sasa ukiuliza Tanesco shida ni nini hawasemi kwa kuwa bosi wao CCM anajua alishapiga hela za ESCROW na sasa Tanesco hoi hawana cha kulipia hata mafuta ndio maana wanakazana na gesi.Tukiwa na serekali serious ,issue ya Umeme na maji ya bomba itakuwa hisptoria sehemu kubwa ya nchi.Ebu check wenzenu wa Kenya na Uganda hawana hata hayo maporomoko wala gesi lakini ulishasikia shida ya umeme kama ya kwetu!wako serious wanajua viwanda vitakufa.Hivi leo mimi nimlete mwekezaji kweli aje kufanya nini!waliopo hoiHii Afu Nyie Mnachekesha Kweli,kwan Mkiitoa Ccm Ndo Kina Cha Maji Cha Mtera Kinaongezeka?Af Ukawa Ikiingia Ndo Itakua Jenereta La Kusupply Umeme?
Magufuli kwisha kazi, toka ameanza kampeni hajawahi kutamka neno umeme. Anaongelea kuleta mageuzi ya viwanda bila umeme, like a headless chicken.
Mtanzania, kataa mgao wa umeme, kataa CCM kataa Magufuli. Hawana jipya kubadili kitu kwenye umeme, CCM ni ile ile
Kina mkuu sio Kima,kima ni mnyama
Dah umeme ulikatika tangu jana asubuhi hadi muda huu haujarudi.
Wiki yenu moja mliyotangaza si imeshaisha? Turudishieni umeme.
Makakati wa sasa ni kuhakikisha RADIO MAGAZETI, TV STATIONS HAZIRUSHI HABARI ZA UKAWA, HILI NDILO UPDATE KWA SASA
Inashangaza sana kushuhudia ukandamizaji nchini, wa kitaalamu sana unaendelea, na hasa kwa watu wasiojua nini kinaendelea
Unajua we utakuwa taahira.., definitely..! Kwani Kenya wananini cha kituzidi kiasi wao Nairobi hawana mgao na sisi tunao?! Kwani umeme so tunaulipia.., kwani mafuta Uarabuni si yapo? Maji kwenye mabwawa so yapo? Gesi si ipo? Jua, makaa ya Mawe na upepo si vipo?! Sasa kwanini tuendelee kuteseka namna hii, tumemkosea nini Mungu?!Hii Afu Nyie Mnachekesha Kweli,kwan Mkiitoa Ccm Ndo Kina Cha Maji Cha Mtera Kinaongezeka?Af Ukawa Ikiingia Ndo Itakua Jenereta La Kusupply Umeme?
We Jamaa Ni Mpumbavu Kweli Kwan Ccm Ndo Inaleta Mvua?Ccm Ndo Inaendesha Mashine Za Tanesco?Ccm Ndo Inaharibu Miundombinu Ya Umeme?Acheni Ujinga Sio Kila Kitu Ni Siasa Tu....