Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Hiyo kinyerezi ni kuzalisha 150megawatts tuu!Ethiopia wanajenga kuzalisha 10000megawatts
 
TANESCO walisema umeme utawashwa wiki mbili za mwanzo wa mwezi huu wa Septemba, sio wiki moja kama ilivyoelezwa na mtoa mada.
 
Ccm mbele kwa mbele serekali ya awamu ya NNE tokea ikiingia Madarakani kulikua na mgawo wa umeme na wanatuacha na mgao wa umeme hii aibu kubwa
 
Suluhisho Ni Kuchagua Lowasa Tu, Maana Hatuna Namna Nyingine
 
Hii Afu Nyie Mnachekesha Kweli,kwan Mkiitoa Ccm Ndo Kina Cha Maji Cha Mtera Kinaongezeka?Af Ukawa Ikiingia Ndo Itakua Jenereta La Kusupply Umeme?

acha upumbavu wa kutetea vitu kwa ajili tu ya mahaba yako CCM ni chanzo cha yote haya kama utashindwa kushirikisha ubongo kujua ukweli ni upi pole sana
 
acha upumbavu wa kutetea vitu kwa ajili tu ya mahaba yako CCM ni chanzo cha yote haya kama utashindwa kushirikisha ubongo kujua ukweli ni upi pole sana

We Jamaa Ni Mpumbavu Kweli Kwan Ccm Ndo Inaleta Mvua?Ccm Ndo Inaendesha Mashine Za Tanesco?Ccm Ndo Inaharibu Miundombinu Ya Umeme?Acheni Ujinga Sio Kila Kitu Ni Siasa Tu....
 
Nchi iliyopata uhuru miaka 54 iliyopita ambayo imejaliwa rasilimali za kutosha bado umeme ni wa kubahatisha?
Nchi ambayo mgombea Urais wa chama tawala anaahidi kufufua viwanda kabla ya kuhakikisha upatikanaji wa umeme, sijui hvyo viwanda vitazalisha kwa kutumia kuni au umeme huhuuu tuliouzoea?
 
Tanesco wameniudhi sana sina cha kusema ni wangese sana
 
Kigambon wamekata toka jana tarehe 13 saa mbili asubuh mpaka mida hii naandika hii reply ni saa 12 asubuh ya tarehe 14 umeme hatujauona...watu tunaenda mihangaikon nguo ziko kama vile zimetapikwa na mbuzi..hii sector nayo inahitaj mabadiliko

Kijichi tangu jana saa2 asubuhi hadi sahizi saa4 haujarudi halafu wananiambia chagua magufuli mimi???? Napenda mabadiliko.
 
ooooooh wamerudisha tena ila hata hvyo kura yangu kwa Lowasaaaaaa
 
Tanesco ya ccm itafute njia ya kupona laana.
 
Back
Top Bottom