Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

EBU NGOJA TUONE!
NI KWELI 14 / 09 2015.
WALIHAIDI.
ii

Mpaka ccm itoke madarakani ndio ahadi zitatimizwa .sumaye kasema ccm ni kama mtandao wa simu.na kweli mtandao wa simu unanunua kifurushi kuongea dakika 5 internet mb 8 msg elfu 10.masàa 24 .niembie kama sio kutudhiaki na laghahi .Unaweza tumia msg elfu 10 kwa Massa 24.ataa ukifanya hesabu kuandika .kutuma mpaka kufika iwe dakika 1 achalia mbali kujibiwa .ndani ya Massa 24 kuna dakika 1770 .hizo msg elfu 10 utamalizaje .usisahau jinsi Makufuli anavyo mwaga ahadi kama hana akili nzuri.
 
Hakuna kitu hapo tunapigwa changa..mtambo uliokamilika kule mtwara ni mmoja na hauna uwezo wa kusukuna gesi hadi Kinyerezi..
 
Kesho utaambiwa;kiwango cha gesi kimepungua mtera na kidatu na pia kiwango cha maji huko kwenye visima vya songosongo kimepungua.!!!! Hayo ndio maajabu ya Tanesco.!!!
 
Ccm oyeeeeeeeeeee!
Kidumu chama cha mapenziiii. - - - sorry Mapinduzi iiiiiiiiii

Watatuwezaaaaaaaaaa?? ----(hawatuweziiii) in women's voice.

In Mwenyekiti wa Chama Voice.... Miaka 50 ya uhuru
Tumethubutu
Tumeweza
Tunasonga mbele.

(wimbo) CCM ni ileile,... ccm ni ileile....

Ccm hoyeeeeee, Chagua Makomeo😀😀
Msijali watanzania.. TANZANIA YA Magufuli itakuwa ya Viwanda..:what:. (Majenereta china yapo.. Tunanunua.. 🙄
 
Kwa uzoefu wangu kila mwaka kuanzia Mwezi 8, 9, 10 ndio kipindi kunakuwaga na mgao kwa nchi nzima. Ila kwa ajili ya uchaguzi kamwe hawawezi kusema MAJI yamepungua na nchi IPO gizani
 
Je gharama ya umeme kwa mtumiaji itapungua baada kuanza uzalishaji umeme kwa gesi badala ya mafuta? Au ahadi ya punguzo ya bei imeota mbawa? Faida ya gesi ipo wapi?Mabadiliko lazima.
 
Kigambon wamekata toka jana tarehe 13 saa mbili asubuh mpaka mida hii naandika hii reply ni saa 12 asubuh ya tarehe 14 umeme hatujauona...watu tunaenda mihangaikon nguo ziko kama vile zimetapikwa na mbuzi..hii sector nayo inahitaj mabadiliko
Huko hakuhitaji mabadiliko, kunahitaji masafisho
 
Je gharama ya umeme kwa mtumiaji itapungua baada kuanza uzalishaji umeme kwa gesi badala ya mafuta? Au ahadi ya punguzo ya bei imeota mbawa? Faida ya gesi ipo wapi?Mabadiliko lazima.
Waliahidi utashuka. Japo hawajasema % ngapi,
Au nao wanapiga kampeni?
 
Tanesco waseme ukweli tuu gesi bado nikidogo haijatosha kuwasha machine nasikia pressure ndogo ya gasi
 
Watu wako kisiasa sana wakati huu lakini tatizo la Umeme ni kubwa kuliko linavyochukuliwa, Nchi bila umeme wa uhakika uchumi ndio unazidi poromoka na sekta nyingi zimeathirika likiwemo soko la ajira ndio linazidi didimia. Hatua zisipochukuliwa za haraka nchi inazidi kuangamia. Raisi na baraza lake la mawaziri wanapaswa kuliangalia hili na kuacha kuzurura kwani linaweza hata kuitoa serikali madarakani kwenye uchaguzi.

Muda unazidi kwenda kwa stori zinazoletwa na tanesko ukizingatia nchi iko kwenye tatizo la umeme tangu JULY 2015 na leo ni September 14/2015, huku mara ya kwanza walikuwa wanasema wanafanya matengenezo mpaka ilipofika August ndio wakaja na stori ya gas.

Kikwete nchi inakushinda, na inataka kukushinda wakati mbaya sana. chukua hatua vinginevyo ccm ife kwenye historia ya taifa ukiwa mwenyekiti wa chama.
 
Kigambon wamekata toka jana tarehe 13 saa mbili asubuh mpaka mida hii naandika hii reply ni saa 12 asubuh ya tarehe 14 umeme hatujauona...watu tunaenda mihangaikon nguo ziko kama vile zimetapikwa na mbuzi..hii sector nayo inahitaj mabadiliko
Endelea kuimba CCM ni number one. Watarudisha.
 
Hawana hela za mafuta hizo nyingine mbwembwe tu hawataki kusema ukweli... huku kwetu wameisha kata...
 
Haya yote tunayataka sisi waTanzania wenyewe. Tunavuna tulichopanda.
 
CCM out this year,ndio ahadi zao sizivyo na uhakika

Hii Afu Nyie Mnachekesha Kweli,kwan Mkiitoa Ccm Ndo Kina Cha Maji Cha Mtera Kinaongezeka?Af Ukawa Ikiingia Ndo Itakua Jenereta La Kusupply Umeme?
 
Hii Afu Nyie Mnachekesha Kweli,kwan Mkiitoa Ccm Ndo Kina Cha Maji Cha Mtera Kinaongezeka?Af Ukawa Ikiingia Ndo Itakua Jenereta La Kusupply Umeme?
Ndio maana nasema tumefika hapa tulipo kwa sababu yetu wenywe. Tazama akili kama hii.
 
Back
Top Bottom