Uongo wa Masoud Othman waumbuliwa. Kadanganya taifa kwamba "+259" ndiyo "Code" ya Zanzibar na "+255" ni ya Tanganyika wakati sivyo

Namba hii inatumiwa na nchi gani kwa sasa? Ili ikiwa kuna inchi inatumia itakuwa kweli Masoud ni muongo kinyume chake hiyo namba iko wazi, hivyo Masoud hatokuwa muongo

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Unadai Zanzibar ilianzisha televisheni yake 1974! Pia ilipewa code no. yake mwaka 1968 lakini ikanyang'anywa mwaka 1999 kwa vile walishindwa kuitumia hapo hapo unadai Zanzibar haiwezi kurudishiwa hiyo code kwa sababu si mwanachama wa UN,je wakati huo wakipewa walikuwa wanachama wa UN?
Naomba ufafanuzi zaidi.
Rudia kusoma utaelewa kama unataka kuelewa.
 
Wakati wa analogia, televisheni na simu vilikuwa vitu tofauti. Zanzibar kuwa na televisheni yake hakuhusiani kabisa na kuwa na code yake ya simu. Masharti yaliyokuwepo mwaka 1968 yaliruhusu Zanzibar kupata code yake kwa sababu suala la simu halikuwa katika masuala ya Muungano, uanachama wa UN haukupewa uzito. Mwaka 1998, ITU ilianza kutumia viwango vipya ambavyo vilitaka nchi ambazo hazitumii code yake ipasavyo kunyang'anywa na kutaka code zitolewe kwa nchi ambazo ni wanachama wa UN isipokuwa zile ambazo tayari zilikuwa zinatumia code zake kama Hongkong na Taiwan. Kwa vile Zanzibar ilinyang'anywa kwa kutoitumia basi hii exception haihusu.

Amandla...
Nashukuru kwa ufafanuzi lakini habari yenyewe kwa maana ya hayo yaliyosemwa kama yalifanyika hivyo kweli au la maana hapo alipozungumzia televisheni ndio kumenipa ukakasi kwani ninavyofahamu televisheni ya Zanzibar ilianzishwa na uongozi wa Karume akiwa hai na Karume amekufa mwaka 1972 sasa najiuliza kama ameongopa hapo vipi hayo maelezo mengine? Hasa ukizingatia Wabongo wengi si wafuatiliaji wa mambo lakini pia imekuwa ni kawaida mambo mengi ya huko nyuma kuelezwa ndivyo sivyo kwani hata historia ya harakati za kutafuta uhuru inadaiwa mengi yamefinyangwa finyangwa kwa sababu wanazozijua hao wahusika hivyo si ajabu kuona hili nalo likawa ni hivyo hivyo.
 
Punguwani mkubwa, umekaa kiubishiubishi ndiyo maana huelewi researcher alivyoturahisishia kuielewa hii habari.

Karume alizindua ujenzi wa mitambo ya televisheni mwanzoni mwa mwaka 1972 kabla hajauawa.

Aboud Jumbe akaizindua TV ianzr utangazaji January 12, 1974 siku ya kuazimisha miaka 10 ya mapinduzi.

Joseph amefanya utafiti wa uhakika na mimi siyo mara ya kwanza kusoma tafiti zake.

Masoud ni mwongo kaumbuliwa na researchers wanaomzidi.



Nashukuru kwa ufafanuzi lakini habari yenyewe kwa maana ya hayo yaliyosemwa kama yalifanyika hivyo kweli au la maana hapo alipozungumzia televisheni ndio kumenipa ukakasi kwani ninavyofahamu televisheni ya Zanzibar ilianzishwa na uongozi wa Karume akiwa hai na Karume amekufa mwaka 1972 sasa najiuliza kama ameongopa hapo vipi hayo maelezo mengine? Hasa ukizingatia Wabongo wengi si wafuatiliaji wa mambo lakini pia imekuwa ni kawaida mambo mengi ya huko nyuma kuelezwa ndivyo sivyo kwani hata historia ya harakati za kutafuta uhuru inadaiwa mengi yamefinyangwa finyangwa kwa sababu wanazozijua hao wahusika hivyo si ajabu kuona hili nalo likawa ni hivyo hivyo.
 
Punguwani mkubwa, umekaa kiubishiubishi ndiyo maana huelewi researcher alivyoturahisishia kuielewa hii habari.

Karume alizindua ujenzi wa mitambo ya televisheni mwanzoni mwa mwaka 1972 kabla hajauawa.

Aboud Jumbe akaizindua TV ianzr utangazaji January 12, 1974 siku ya kuazimisha miaka 10 ya mapinduzi.

Joseph amefanya utafiti wa uhakika na mimi siyo mara ya kwanza kusoma tafiti zake.

Masoud ni mwongo kaumbuliwa na researchers wanaomzidi.

Mama yako ndio punguani aliyezaa mtoto wa ovyo ovyo,papuchi la mama yako,matusi hayauzwi.
 
Mkizidiwaga hoja mnaanza matusi. Research imewashinda kupangua. Mwambieni Masoud aje awasaidie bingwa wa International laws.
Utapeli wa karne ni kugeuza Zanzibar kuwa koloni la Tanganyika.Huo ndio ukweli mengine ubabaishaji.
 
Umeongea kitaaluma sana, na wote wanaokobishia wala usiwasikilize, wanaongea kishabiki tu.

Kwa hiyo sasa ITU sijui wanaiona Zanzibar kama kamkoa tu ka Tanzania, kwamba code yake ni 255-24 kama ilivyo Dar 255-51 au Tabora 255-26.

Huo ndio ukweli, upende usipende
 
Unampaje sifa mleta mada kwa article aliyoikopi gazetini na kutuletea humu.

Tena bahati nzuri ina jina na contact za mtafiti.


Umeongea kitaaluma sana, na wote wanaokobishia wala usiwasikilize, wanaongea kishabiki tu.

Kwa hiyo sasa ITU sijui wanaiona Zanzibar kama kamkoa tu ka Tanzania, kwamba code yake ni 255-24 kama ilivyo Dar 255-51 au Tabora 255-26.

Huo ndio ukweli, upende usipende
 
Unadai Zanzibar ilianzisha televisheni yake 1974! Pia ilipewa code no. yake mwaka 1968 lakini ikanyang'anywa mwaka 1999 kwa vile walishindwa kuitumia hapo hapo unadai Zanzibar haiwezi kurudishiwa hiyo code kwa sababu si mwanachama wa UN,je wakati huo wakipewa walikuwa wanachama wa UN?
Naomba ufafanuzi zaidi.
Rudia tena kusoma utaona ni wakati gani sheria hii au ile itungwa au kukoma matumizi yake. Kwani wewe huna digrii?
 
Rudia tena kusoma utaona ni wakati gani sheria hii au ile itungwa au kukoma matumizi yake. Kwani wewe huna digrii?
Sina digrii,sina gari wala chochote cha maana kama walivyo wana JF wengi.
Kwangu hii habari ni ya kutengenezwa tu kwa lengo mahususi.
 
Back
Top Bottom