Mkataba wa ovyo wa Bandari, umelenga kuamsha Ari ya kurekebisha muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika?

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,059
Ukiutazama mkataba wa bandari kati ya DP na Tanzania, ni vigumu sana kuamini kuwa waliouandaa na kuusaini walikosa uelewa wa mapungufu yote yaliyo dhahiri kiasi ambacho hata asiye na uelewa mkubwa angeyaona.

Sasa tujiulize, hivi kweli ilikuwa ni kutokana na kukosa uelewa wa waliohusika, au kuna dhamira iliyojificha nyuma yake ambayo imetafutiwa pakuanzia? Je, yawezekana imetafutwa njia ya kuvunja Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar au kuufanyia marekebisho makubwa Muungano wetu? Kuna mambo tunayotakiwa kujiuliza:

1) kuwaondoa watu wote wa Tanganyika kwenye kukamilisha uporaji huu wa bandari ilikuwa ni kwa bahati mbaya au mpango uliokuwa umesukwa? Mpango ulianzia kwa kuwaondoa Watanganyika kwenye nafasi zote ambazo wangeshiriki kwenye maamuzi: mkurugenzi wa bandari, Katibu Mkuu wa wizara na Waziri; na Mwanasheria mkuu akawekwa pembeni.

2) vikawekwa vipengere vya mkataba, kama vile DP kuwa na mamlaka ya kutaja eneo lolote la ardhi analolitaka, na serikali kulazimika kuwaondoa watu na kuwalipa fidia, kisha kuipa DP ardhi hiyo bure. Ni kama imetafutwa njia ya kuamsha hasira ya Watanganyika dhidi ya waliofanya maamuzi ambao wote ni Wazanzibari.

3) kuziondoa bandari za Zanzibar, wakati suala la bandari ni la Muungano. Hii nayo huenda imefanywa makusudi ili kuonesha wazi kuwa mkataba ni wenye dhamira mbaya. Na kwamba Watanganyika wafure, na kisha wajenge chuki dhidi ya Zanzibar.

4) Katikati ya mjadala wa bandari, makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar anatamka kuwa katika nchi hii hakuna mkataba wa hovyo kama mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Ubaya wa mkataba wa bandari una uhusiano gani na ubaya wa mkataba wa Muungano?

Je, mkataba huu wa hovyo wa DP umefanywa makusudi ili Watanganyika waone umuhimu wa kuupitia upya mkataba wa Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika?

Je jambo hili huenda limefanyika makusudi ili kufanyia marekebisho makubwa ya mkataba wa Muungano au hata kuuvunja kabisa? Kama ndivyo hivyo, waliolipanga hili wamepanga chuki ifikie kiwango gani ili lengo lao litimie?
 
Uvivu wa Maprofesa wetu wa sheria umesababisha haya.
Kwani katiba ilioruhusu Zanzibar kuwa na serikali yake kamili, huku Tanganyika ikiwa haina serikali nyingine yake yenyewe, kwanini katiba hio sasa ikaruhusu Mzanzibari kurithi Urais wa serikali hii badala ya siku zote kuishia umakamu wa Rais kwa ajili tu ya kulinda maslaha ya Zanzibar ndani ya Muungano?

Ikitokea kama kifo cha Rais wa Tanzania basi kipengele kingesema aliekuwa Waziri Mkuu au Jaji Mkuu, Speaker wa Bunge ashike Urais hadi Uchaguzi mkuu ujao. Mzenji akibaki nafasi yake kivulini ya umakamu ili alinde maslaha ya nchi yao Zenji.

Uvivu huu sasa ndio unaumiza forever, haya mambo yatapelekea vita na nchi za kiarabu. Na tutavwamiwa kinguvvu. Nipo paleee nanywa kahawa mie.
 
Ukiutazama mkataba wa bandari kati ya DP na Tanzania, ni vigumu sana kuamini kuwa waliouandaa na kuusaini walikosa uelewa wa mapungufu yote yaliyo dhahiri kiasi ambacho hata asiye na uelewa mkubwa angeyaona.

Sasa tujiulize, hivi kweli ilikuwa ni kutokana na kukosa uelewa wa waliohusika, au kuna dhamira iliyojificha nyuma yake ambayo imetafutiwa pakuanzia? Je, yawezekana imetafutwa njia ya kuvunja Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar au kuufanyia marekebisho makubwa Muungano wetu? Kuna mambo tunayotakiwa kujiuliza:

1) kuwaondoa watu wote wa Tanganyika kwenye kukamilisha uporaji huu wa bandari ilikuwa ni kwa bahati mbaya au mpango uliokuwa umesukwa? Mpango ulianzia kwa kuwaondoa Watanganyika kwenye nafasi zote ambazo wangeshiriki kwenye maamuzi: mkurugenzi wa bandari, Katibu Mkuu wa wizara na Waziri; na Mwanasheria mkuu akawekwa pembeni.

2) vikawekwa vipengere vya mkataba, kama vile DP kuwa na mamlaka ya kutaja eneo lolote la ardhi analolitaka, na serikali kulazimika kuwaondoa watu na kuwalipa fidia, kisha kuipa DP ardhi hiyo bure. Ni kama imetafutwa njia ya kuamsha hasira ya Watanganyika dhidi ya waliofanya maamuzi ambao wote ni Wazanzibari.

3) kuziondoa bandari za Zanzibar, wakati suala la bandari ni la Muungano. Hii nayo huenda imefanywa makusudi ili kuonesha wazi kuwa mkataba ni wenye dhamira mbaya. Na kwamba Watanganyika wafure, na kisha wajenge chuki dhidi ya Zanzibar.

4) Katikati ya mjadala wa bandari, makamu wa pili wa Rais wa Zabzibar anatamka kuwa katika nchi hii hakuna mkataba wa hovyo kama mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Ubaya wa mkataba wa bandari una uhusiano gani na ubaya wa mkataba wa Muungano?

Je, mkataba huu wa hovyo wa DP umefanywa makusudi ili Watanganyika waone umuhimu wa kuupitia upya mkataba wa Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika?

Je jambo hili huenda limefanyika makusudi ili kufanyia marekebisho makubwa ya mkataba wa Muungano au hata kuuvunja kabisa? Kama ndivyo hivyo, waliolipanga hili wamepanga chuki ifikie kiwango gani ili lengo lao litimie?
Mara zote wazazibar walitaka kujitenga bara mkawang'ang'ania lakini Kwa hili la DPW mtawafukuza wenyewe.
 
Ukiutazama mkataba wa bandari kati ya DP na Tanzania, ni vigumu sana kuamini kuwa waliouandaa na kuusaini walikosa uelewa wa mapungufu yote yaliyo dhahiri kiasi ambacho hata asiye na uelewa mkubwa angeyaona.

Sasa tujiulize, hivi kweli ilikuwa ni kutokana na kukosa uelewa wa waliohusika, au kuna dhamira iliyojificha nyuma yake ambayo imetafutiwa pakuanzia? Je, yawezekana imetafutwa njia ya kuvunja Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar au kuufanyia marekebisho makubwa Muungano wetu? Kuna mambo tunayotakiwa kujiuliza:

1) kuwaondoa watu wote wa Tanganyika kwenye kukamilisha uporaji huu wa bandari ilikuwa ni kwa bahati mbaya au mpango uliokuwa umesukwa? Mpango ulianzia kwa kuwaondoa Watanganyika kwenye nafasi zote ambazo wangeshiriki kwenye maamuzi: mkurugenzi wa bandari, Katibu Mkuu wa wizara na Waziri; na Mwanasheria mkuu akawekwa pembeni.

2) vikawekwa vipengere vya mkataba, kama vile DP kuwa na mamlaka ya kutaja eneo lolote la ardhi analolitaka, na serikali kulazimika kuwaondoa watu na kuwalipa fidia, kisha kuipa DP ardhi hiyo bure. Ni kama imetafutwa njia ya kuamsha hasira ya Watanganyika dhidi ya waliofanya maamuzi ambao wote ni Wazanzibari.

3) kuziondoa bandari za Zanzibar, wakati suala la bandari ni la Muungano. Hii nayo huenda imefanywa makusudi ili kuonesha wazi kuwa mkataba ni wenye dhamira mbaya. Na kwamba Watanganyika wafure, na kisha wajenge chuki dhidi ya Zanzibar.

4) Katikati ya mjadala wa bandari, makamu wa pili wa Rais wa Zabzibar anatamka kuwa katika nchi hii hakuna mkataba wa hovyo kama mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Ubaya wa mkataba wa bandari una uhusiano gani na ubaya wa mkataba wa Muungano?

Je, mkataba huu wa hovyo wa DP umefanywa makusudi ili Watanganyika waone umuhimu wa kuupitia upya mkataba wa Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika?

Je jambo hili huenda limefanyika makusudi ili kufanyia marekebisho makubwa ya mkataba wa Muungano au hata kuuvunja kabisa? Kama ndivyo hivyo, waliolipanga hili wamepanga chuki ifikie kiwango gani ili lengo lao litimie?
Aliesema Mkataba wa Muungano ndio Mkataba mbovu kuliko Mikataba yote Tanzania ni Makamo wa kwanza sio Makamo wa pili

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Tukishatengana wao wataitwa jamhuri ya Zanzibar na sisi tutakuwa na jina lipi? Pendekezeni na jina kabisa
 
Ukiutazama mkataba wa bandari kati ya DP na Tanzania, ni vigumu sana kuamini kuwa waliouandaa na kuusaini walikosa uelewa wa mapungufu yote yaliyo dhahiri kiasi ambacho hata asiye na uelewa mkubwa angeyaona.

Sasa tujiulize, hivi kweli ilikuwa ni kutokana na kukosa uelewa wa waliohusika, au kuna dhamira iliyojificha nyuma yake ambayo imetafutiwa pakuanzia? Je, yawezekana imetafutwa njia ya kuvunja Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar au kuufanyia marekebisho makubwa Muungano wetu? Kuna mambo tunayotakiwa kujiuliza:

1) kuwaondoa watu wote wa Tanganyika kwenye kukamilisha uporaji huu wa bandari ilikuwa ni kwa bahati mbaya au mpango uliokuwa umesukwa? Mpango ulianzia kwa kuwaondoa Watanganyika kwenye nafasi zote ambazo wangeshiriki kwenye maamuzi: mkurugenzi wa bandari, Katibu Mkuu wa wizara na Waziri; na Mwanasheria mkuu akawekwa pembeni.

2) vikawekwa vipengere vya mkataba, kama vile DP kuwa na mamlaka ya kutaja eneo lolote la ardhi analolitaka, na serikali kulazimika kuwaondoa watu na kuwalipa fidia, kisha kuipa DP ardhi hiyo bure. Ni kama imetafutwa njia ya kuamsha hasira ya Watanganyika dhidi ya waliofanya maamuzi ambao wote ni Wazanzibari.

3) kuziondoa bandari za Zanzibar, wakati suala la bandari ni la Muungano. Hii nayo huenda imefanywa makusudi ili kuonesha wazi kuwa mkataba ni wenye dhamira mbaya. Na kwamba Watanganyika wafure, na kisha wajenge chuki dhidi ya Zanzibar.

4) Katikati ya mjadala wa bandari, makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar anatamka kuwa katika nchi hii hakuna mkataba wa hovyo kama mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Ubaya wa mkataba wa bandari una uhusiano gani na ubaya wa mkataba wa Muungano?

Je, mkataba huu wa hovyo wa DP umefanywa makusudi ili Watanganyika waone umuhimu wa kuupitia upya mkataba wa Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika?

Je jambo hili huenda limefanyika makusudi ili kufanyia marekebisho makubwa ya mkataba wa Muungano au hata kuuvunja kabisa? Kama ndivyo hivyo, waliolipanga hili wamepanga chuki ifikie kiwango gani ili lengo lao litimie?
La kuurekebisha Muungano mbona ni jema sana hilli.


Hili ndilo lililofanya hata bunge la katiba kuishia njiani.

Mimi naona vyema sana Muungano uwe kila mmoja abaki na serikali yake, ijiendeshe wanavyotaka wao, halafu kuwe na serikali moja kuu ambayo kiongozi wake wanapeana kijiti kila miaka 5 au 10. Naye zaidi atakuwa ni ceremonial tu, kama Rais wa India.

Ya nini kung'ang'ania ndoa ya kishoga hii.
 
Kama ndivyo basi ilitengenezwa kijasusi mno.
Hakuna ujasusi. Nafsi zinasuta.


Wazanzibari siku nyingi wanasema kila mtu awe na serikali yake, sisi huku bara, hatutaki isipokuwa kwa kushinikizwa na kanisa tu.

G55 walipotaka Muungano utazamwe vizuri, wakatishiwa maisha, wakanywea.

Kwanini kila mmoja asiwe na serikali yake?

Maana tukiendelea hihivi tutakuja kuuwana pasipo na sababu.

Sisi Waislam hatukubali kuona Waislam wenzetu Wazanzibari wakitukanwa.

Wabara huku mnaona mnadhlumiwa.
Ni simpo sana kuliko tunayofikiria, haichukuwi hata mwezi kuanzisha serikali mpya, kwanza si ipo yatayi, serikali ya muungano Iinabaki kuwa ya Tanganyika. Mawaziri wazanzibari wanarudi kwao, makamu wa Rais Mtanganyika, anashika serikali ya Tanganyika.

Hussein Mwinyi anabaki kule kule, mama anabaki kuwa Rais wa Tanzania ceremonial tu.

Ceremonial maana yake hana madaraka, anakuwa kama alivyo makamo wa Rais kwa sasa na heshima tu, mpaka mtmtapowekaawa katiba zenu. Simpo kabisa.
 
La kuurekebisha Muungano mbna ni jema sana hilli?


Hili ndilo lililofanya hata bunge la katiba kuishia njiani.


Mimi naona vyema sana Muungano uwe kila mmoja abaki na serikali ijiendeshe wanavyotaka wao, halafu kuwa na serikali moja kuu ambayo kiongozi wake wanapeana kijiti kila miaka 5 au 10. Naye zaidi atakuwa ceremonial tu.


Ya nini kung'ang'ania ndoa ya kishoga hii.
Kweli mkuu
 
Hakuna ujasusi. Nafsi zinasuta.


Wazanzibari siku nyingi wanasema kila mtu awe na serikali yake, sisi hatutaki kwa kushinikizwa na kanisa tu.

G55 walipotaka Muungano utazamwe vizuri, wakatishiwa maisha, wakanywea.


Kwanini kila mmoja asiwe na serikali yake?


Maana tukiendelea hivi ttakuja kuuwana pasipo na sababu.


Sisi Waisla hatukubali Waislam wenzetu Wazanzibar wakitukanwa.


Wabara huku mnaona mnadhlumiwa.


Ni simpo sna uliko tunayofikiria, haichukuwi hata mwezi kuansisha serikali mpya, kwanza si ipo yatayi, inbaki kuwa ya Tanganyika. makamu wa Rais Mtanganyika, anashika serikali ya Tanganyika, Hussein Mwinyi anabaki kule kule, mama anabaki kuwa Rais wa Tanzania ceremonial tu.


Ceremonial maana yake hana madaraka, anakuwa kama alivyo makamo wa Rais kwa sasa na heshima tu, mpaka mtapoweka swa katiba zenu. Simpo kabisa.
Kigezo kikuu japo ni kakisima kadogo tunahofu mtawapokea wasomali na wasudani wengi.

Kisha uwe mlango mkuu hapo Znz.

Sizani kama kuna hofu nyingine dada Faiza🙏
 
Back
Top Bottom