Uongo wa Injili ya Luka

Uongo wa Injili ya Luka

Dini zote ni uongo.

Biblia ni uongo.

Quran ni uongo pro max.

Hakuna Allah.

Hakuna Yesu.

Hakuna Mungu.

Hakuna Shetani.
Habari za Yesu zinanishangaza sana, yaani Nje ya Biblia hakuna mahali pengine unaweza kuzipata, kana kwamba nyakati zake hakukuwa na watu.

Akina Herode na kina Nebkadineza hadi leo Picha zao zipo ila za Yesu zimebaki ni za kubuni tu.
Ukuu wa Mungu nao ni wa nashaka sana, Shetani ni kama amenzidi nguvu. Maovu na waovu ni wengi kuliko watu wema.

Maafa kil leo na Mungu hawezi kuzuia, mafuriko, matetemeko, ukame na njaa vinaendelea kutia ushahidi na mashaka juu ya Uwepo na Ukuu wa Mungu.

Siasa za hovyo za kuuana na kutekana na bado siasa za kidini zinasema Watawala hutoka kwa Mungu. Hii maana yake Biblia ni kitabu kilichotungwa na wajanja kufanya Manipulation ya watu
 
Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
 
Habari za Yesu zinanishangaza sana, yaani Nje ya Biblia hakuna mahali pengine unaweza kuzipata, kana kwamba nyakati zake hakukuwa na watu.

Akina Herode na kina Nebkadineza hadi leo Picha zao zipo ila za Yesu zimebaki ni za kubuni tu.
Ukuu wa Mungu nao ni wa nashaka sana, Shetani ni kama amenzidi nguvu. Maovu na waovu ni wengi kuliko watu wema.

Maafa kil leo na Mungu hawezi kuzuia, mafuriko, matetemeko, ukame na njaa vinaendelea kutia ushahidi na mashaka juu ya Uwepo na Ukuu wa Mungu.

Siasa za hovyo za kuuana na kutekana na bado siasa za kidini zinasema Watawala hutoka kwa Mungu. Hii maana yake Biblia ni kitabu kilichotungwa na wajanja kufanya Manipulation ya watu
Mashaka yetu ni ya kibinadamu
 
Hoja za kuwepo kwa Mungu hazina madhara ya non-sequitur, kwa sababu zinatokana na dalili halisi zinazohusiana na sifa za uumbaji.

Kwa mfano:

1.
  • Kila kitu kinachoundwa kina muundo, mpangilio, na mfumo (mfano: sayari, nyota, viumbe hai).
  • Mfumo huu una ishara ya Muumba mwenye akili na nguvu, kwa sababu jambo lisilo na mpangilio halitumii lengo au uthabiti.
  • Hivyo, hitimisho (Mungu aliumba ulimwengu) linafuata kiasili kutoka kwa mashahidi haya. Si hitimisho lisilo na msingi, bali inategemea mashahidi ya kiasili.

2.​

  • Waislamu hutumia hoja za kiwajibikaji (causal arguments) na hoja za teleological (mpangilio na lengo) kuonyesha uwepo wa Muumba.
  • Wanaosema “non-sequitur” mara nyingi wanazingatia uwepo wa Mungu kama kitu cha kimwili.
  • Lakini katika falsafa ya kiislamu, Mungu ni kiumbe wa kiroho, asiye na wiani, hivyo hitimisho linafuata, lakini si kwa sura ya kimwili.

3.​

  • “Kuona mpangilio, sababu, na lengo katika ulimwengu ni kuona ishara za Muumba. Hitimisho hili si non-sequitur, bali linafuata ushahidi kwa mantiki.”
Wewe hiyo AI, ChatGPT unayotumia inakufanya ushindwe kufikiri.

Kama huyo Mungu ni imani tu, basi hayupo kwenye uhalisia.

Mungu huyo ni imani uchwara za kufikirika na kusadikika.
 
Kwaio mwenzetu wewr unaishi kwa kuthibitisha kila kitu? Kwaio hata ukiemda kununua dawa ya maumivi pharmacy unaenda nayo nyumbani unaipima kwa asilimia ngapi inaponyesha maumivu?,asilimia ngapi itafanya muscles zako zipimzike, asilimia ngapi, itakuongezea nguvu nk....
Hizo dawa tayari zimefanyiwa utafiti wa kitaalamu, ndio maana zinatambulika kupunguza maumivu.

Tayari dawa hizo zimethibitika kupunguza maumivu ndio maana zime idhinishwa kuuzwa kwenye pharmacies.

Kwa hiyo hapo sihitaji uthibitisho mwingine zaidi.
 
Wewe hiyo AI, ChatGPT unayotumia inakufanya ushindwe kufikiri.

Kama huyo Mungu ni imani tu, basi hayupo kwenye uhalisia.

Mungu huyo ni imani uchwara za kufikirika na kusadikika.
Ni kwa sababu hujaziba Choo tu , Si ukiwa hunyi pamoja na dawa unaanza kumkumbuka Mungu.
Mungu ni imani tu vipi ? Hivi kila kitu kinajiendea ovyo tu ?
 
Lakini hivyo vifaa vimekuja juzi tu
Watu wa kale walijuaje kuwa upepo upo?
Kutokujua kitu kipo, hakufanyi kitu hicho kisiwepo.

Kuna vitu vingi vipo, lakini mpaka leo hii hatujui kama vipo.

Mpaka tafiti zifanyike ndipo tunagundua uwepo wa vitu ambavyo tulikuwa hatujui kama vipo.

Kwa hiyo, upepo ulikuwepo hata kama watu wa kale hawakujua.
 
Kutokujua kitu kipo, hakufanyi kitu hicho kisiwepo.

Kuna vitu vingi vipo, lakini mpaka leo hii hatujui kama vipo.

Mpaka tafiti zifanyike ndipo tunagundua uwepo wa vitu ambavyo tulikuwa hatujui kama vipo.

Kwa hiyo, upepo ulikuwepo hata kama watu wa kale hawakujua.
Ahaa Kwa hyo unataka siku kije kifaa Cha kumpima mungu kama yupo?hayaaa
 
Ni kwa sababu hujaziba Choo tu , Si ukiwa hunyi pamoja na dawa unaanza kumkumbuka Mungu.
Mungu ni imani tu vipi ? Hivi kila kitu kinajiendea ovyo tu ?
Huyo Mungu anayekumbukwa na maelfu ya watu, lakini hana msaada wowote kwao, Ni Mungu gani huyo?

Maelfu ya watu wanateseka, wanaumwa na wengine wanaishia kufa tu, licha ya kumtegemea huyo Mungu hawapati msaada wowote.

Huyo Mungu HANA msaada wowote kwa mtu yeyote yule.

Huyo Mungu kama yupo aanze kwanza kuwasaidia maelfu ya wanawake na watoto wanaokufa duniani kwa njaa, vita, magonjwa na majanga ya asili.

FB_IMG_1762369480393.jpg
 
Ahaa Kwa hyo unataka siku kije kifaa Cha kumpima mungu kama yupo?hayaaa
Wewe ambaye unasema Mungu yupo, ulijuaje yupo?

Ulitumia nini kujua yupo?

Unathibitishaje Mungu yupo?

Na si imani na hadithi uchwara za vitabuni.
 
Ndivyo injili yako ilivyoandika?
injili haiwezi andika wazush na matapeli waliozuka na kaanzisha dini na kuwadanganya waumini wao kuwa wakiwaamini wataenda kunywa pombe na kutoma malaya 72 huko kaburini
 
injili haiwezi andika wazush na matapeli waliozuka na kaanzisha dini na kuwadanganya waumini wao kuwa wakiwaamini wataenda kunywa pombe na kutoma malaya 72 huko kaburini
Ndivyo anavyowaambia Nabii wenu Tito??
 
Huyo Mungu anayekumbukwa na maelfu ya watu, lakini hana msaada wowote kwao, Ni Mungu gani huyo?

Maelfu ya watu wanateseka, wanaumwa na wengine wanaishia kufa tu, licha ya kumtegemea huyo Mungu hawapati msaada wowote.

Huyo Mungu HANA msaada wowote kwa mtu yeyote yule.

Huyo Mungu kama yupo aanze kwanza kuwasaidia maelfu ya wanawake na watoto wanaokufa duniani kwa njaa, vita, magonjwa na majanga ya asili.

View attachment 3523900



Katika Uislamu, hoja hiyo hujibiwa kwa mtazamo mpana wa maisha, majaribio, na haki ya Mungu (Allah). Jibu lake haliepukani na maumivu ya watu, bali linaeleza kwa nini mambo hayo hutokea.


1.​

Uislamu hufundisha wazi kwamba dunia si mahali pa malipo ya mwisho, bali ni mahali pa mtihani.

“Yeye ndiye aliyeumba mauti na uhai ili awajaribu ni nani miongoni mwenu mwenye matendo mema zaidi.”
(Qur’an 67:2)
Kwa hiyo:

  • Kuugua
  • Kuteseka
  • Kupoteza
  • Kufa
si ishara kwamba Mungu hayupo au hajali, bali ni sehemu ya mtihani wa maisha.


2.​

Katika Uislamu, kumtegemea Mungu hakumaanishi hutapatwa na shida.

Hata:

  • Manabii waliugua
  • Walifukuzwa
  • Wengine waliuawa
Mfano:

  • Nabii Ayyub (AS) aliugua kwa miaka mingi
  • Nabii Muhammad ﷺ alipoteza watoto wake na kuteseka sana
Lakini hilo halikumaanisha Mungu aliwaacha.


3.​

Msaada wa Mungu unaweza kuwa:

  • Subira
  • Kurehewa madhambi
  • Kuinuliwa daraja
  • Akiba ya malipo Akhera
Wakati mwingine kile tunachokiona kama “hakuna msaada”, mbele ya Mungu ni neema kubwa.

“Huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu.”
(Qur’an 2:216)

4.​

Hoja ya “kwa nini wanateseka” hujibiwa kwa kusema:
👉 Haki ya mwisho haifanyiki duniani

  • Duniani mwema anaweza kuteseka
  • Muovu anaweza kufurahia
Lakini Uislamu unasema:

Akhera ndiyo mahakama ya mwisho
Mtu anayeteseka kwa subira atalipwa malipo yasiyo na kifani.


5.​

Kwa Uislamu:

  • Kufa ≠ kuangamia
  • Ni kuvuka kutoka hatua moja kwenda nyingine
Mtu anaweza kuteseka kidogo hapa, lakini apate furaha ya milele huko Akhera.


6.​

Uislamu huuliza:

  • Kama hakuna Mungu,
  • Kama hakuna Akhera,
👉 Basi mateso ya binadamu hayana maana yoyote
👉 Haki haiwezi kupatikana kabisa

Lakini kwa kuwepo kwa Mungu:

  • Kila tone la machozi lina hesabu
  • Kila maumivu yana malipo

Hitimisho​


  • Mungu si dhaifu
  • Si mkatili
  • Si asiyejali
Bali:
👉 Ni Mwenye hekima
👉 Anajaribu, si kuonea
👉 Anachelewesha haki, si kuifuta
 
injili haiwezi andika wazush na matapeli waliozuka na kaanzisha dini na kuwadanganya waumini wao kuwa wakiwaamini wataenda kunywa pombe na kutoma malaya 72 huko kaburini
Lakini unaweza kuandikwa kuwa nyingi wengine mumezaliwa mashoga , au vipi?
 
Back
Top Bottom