Uongo uenezwao na Wakenya!

Nimeshakueleza kuwa watu wenye hekima hawana personal attacks lakini bado unaendelea nayo !!!!!......
Poor mind

Hivi hujihurumii unavyoitetea Kenya na kuyafukia mabaya yao huku unaikandia Tanzania na kuyaanika mabaya yake !!!!!....

Kumbe unajua kutafuta vipindi bora vya tv kwa local channels za kenya ila hutafuta vipindi vibovu vya tz ili uvikosoe ????.......

Ndugu yangu una KENYAPHOBIA bila shaka na ndio maana unawaona wapo juu yako na ndio maana hutokiona kitu cha Tanzania chema bila kukilinganisha na cha Kenya......

Nina wasiwasi kama unafuatilia yanayojili Tanzania na pia kama umeitembea nchi hii vyema...

WEKA HISIA PEMBENI NA UTUMIE AKILI KAMA MWANAUME LA SIVYO UTAFUTE SAMPULI YA KUBISHANA NAYO HUMU JF KIVULANA.....

SINTOKUJIBU TENA .....
Ulimaanisha Kenyaphillia. Wenye ugonjwa wa Kenyaphobia ni hawa wanaeneza chuki dhidi ya wakenya pamoja na taswira na mtazamo mbaya dhidi ya watu kutoka Kenya.
Tazama maana ya neno xenophobia"....
 
Ulimaanisha Kenyaphillia. Wenye ugonjwa wa Kenyaphobia ni hawa wanaeneza chuki dhidi ya wakenya pamoja na taswira na mtazamo mbaya dhidi ya watu kutoka Kenya.
Tazama maana ya neno xenophobia"....

nimekielewa nilichokiandika na hivyo, sijaiona sababu ya wewe kunipa maelezo zaidi......................

mtu yeyote aliye bias na atumiaye personal attack huwa sina muda naye kwa kuwa malumbano yake hujazwa na hisia badala ya akili.....

huwa sina muda na kuwasema vibaya wakenya kwa kuwa najua kuwa kila taifa lina madhaifu yake na pia huwa ninawasifu kwa kila hatua mnayoipiga kutokana na juhudi zenu wenyewe..... najua ya kuwa spirit ya ujasiriamali na uthubutu mliyonayo ni nadra kuipata Africa na ndio maana ni target ya multinationals katika ukanda huu.... you are adorable in deed

nisichokikubali ni mtu kulitukana taifa lake kana kwamba hakuna chochote kinachofanyika ama kilichofanyika kwa maendeleo yetu.. HUU NI UPUUZI WA KARNE AMBAO NINA HAKIKA KUWA HATA WEWE USINGEURUHUSU KWA NCHI YAKO............
 
Back
Top Bottom