darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,932
Ndio unachokifanya hapa..Ulishawahi kufurahi kumkuta mwanao anaongea mambo ya kijinga?
Ndio unachokifanya hapa..Ulishawahi kufurahi kumkuta mwanao anaongea mambo ya kijinga?
Asante. Una lingine?Ndio unachokifanya hapa..
Ulimaanisha Kenyaphillia. Wenye ugonjwa wa Kenyaphobia ni hawa wanaeneza chuki dhidi ya wakenya pamoja na taswira na mtazamo mbaya dhidi ya watu kutoka Kenya.Nimeshakueleza kuwa watu wenye hekima hawana personal attacks lakini bado unaendelea nayo !!!!!......
Poor mind
Hivi hujihurumii unavyoitetea Kenya na kuyafukia mabaya yao huku unaikandia Tanzania na kuyaanika mabaya yake !!!!!....
Kumbe unajua kutafuta vipindi bora vya tv kwa local channels za kenya ila hutafuta vipindi vibovu vya tz ili uvikosoe ????.......
Ndugu yangu una KENYAPHOBIA bila shaka na ndio maana unawaona wapo juu yako na ndio maana hutokiona kitu cha Tanzania chema bila kukilinganisha na cha Kenya......
Nina wasiwasi kama unafuatilia yanayojili Tanzania na pia kama umeitembea nchi hii vyema...
WEKA HISIA PEMBENI NA UTUMIE AKILI KAMA MWANAUME LA SIVYO UTAFUTE SAMPULI YA KUBISHANA NAYO HUMU JF KIVULANA.....
SINTOKUJIBU TENA .....
Ulimaanisha Kenyaphillia. Wenye ugonjwa wa Kenyaphobia ni hawa wanaeneza chuki dhidi ya wakenya pamoja na taswira na mtazamo mbaya dhidi ya watu kutoka Kenya.
Tazama maana ya neno xenophobia"....