GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,694
- 6,396
Humu jukwaani, kunapotokea ubishi wenye mwelekeo wa "Kimataifa", utaukuta ni baina ya Mkenya na Mtanzania.
Lakini inafahamika kuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ina nchi kadhaa zaidi ya Kenya na Tanzania. Kwa nini ubishani wa kiutani uwe ni kati ya Mkenya na Mtanzania na siyo na Mtanzania na raia wa nchi zingine za East Africa?
Je! Inaweza ikawa,
1. Watanzania wanawahusudu Wakenya?
2. Wakenya wanawahusudu Watanzania?
3. Kwa sababu lugha kuu inayotumika humu jukwaani ni Kiswahili, lugha inayoongelewa zaidi Tanzania na Kenya?
4. Watanzania wanawaamini zaidi Wakenya kuliko wana Afrika Mashariki wengine?
5. Watanzania na Wakenya wana uasili wa karibu zaidi kuliko wengine?
Kwa nini imekuwa hivyo?
Lakini inafahamika kuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ina nchi kadhaa zaidi ya Kenya na Tanzania. Kwa nini ubishani wa kiutani uwe ni kati ya Mkenya na Mtanzania na siyo na Mtanzania na raia wa nchi zingine za East Africa?
Je! Inaweza ikawa,
1. Watanzania wanawahusudu Wakenya?
2. Wakenya wanawahusudu Watanzania?
3. Kwa sababu lugha kuu inayotumika humu jukwaani ni Kiswahili, lugha inayoongelewa zaidi Tanzania na Kenya?
4. Watanzania wanawaamini zaidi Wakenya kuliko wana Afrika Mashariki wengine?
5. Watanzania na Wakenya wana uasili wa karibu zaidi kuliko wengine?
Kwa nini imekuwa hivyo?