Sidhani kama Wakenya wanaoandamana wana akili timamu

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.


Kuna muda nikiwatazama ndugu zangu na jirani zangu wakenya napata mashaka sana na uelewa wao.

Hivi kinachofanya muandamane na kuharibu biashara za watu ni nini? Hivi mnadhani kuna kiongozi wa Serikali atakuja kuwaletea maisha mazuri kweli?

Mlivyo wajinga kila siku mnalima Mirungi ili muisafirishe nje.

Mnashindwa kulima Mahindi na nafaka kwa ujumla nyie mnalima Mirungi, sasa kama mnalima Mirungi mnahangaika na vurugu za kupanda kwa maisha na kuongezeka kwa bei katika nafaka kwa nini? Yaani Ulime Mrungi halafu ushindwe kulima Mahindi kisha uanze kuandamana kwa kuilaumu serikali?

Ukiingia Kenya kuanzia hapo Migori hadi Kisumu kuna Ardhi nzuri inayositawi mahindi na nafaka kwa ujumla lakini hamtaki kulima mwisho wa siku mnaanza kuitupia lawama serikali, mmeamua kulima Mirungi basi hakikisheni mnakula hiyo Mirungi na muache kuisumbua Serikali.

Endeleeni kufanya ujinga wenu kwa kulima Mirungi mdhani mnaikomoa serikali kumbe mnajikomoa wenyewe.

ACHANENI NA MIRUNGI LIMENI MAHINDI MUONDOKANE NA NJAA WAJINGA NYIE!.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Kuna muda nikiwatazama ndugu zangu na jirani zangu wakenya napata mashaka sana na uelewa wao.

Hivi kinachofanya muandamane na kuharibu biashara za watu ni nini?,Hivi mnadhani kuna kiongozi wa Serikali atakuja kuwaletea maisha mazuri kweli?

Mlivyo wajinga Kila siku mnalima Mirungi ili muisafirishe nje!.

Mnashindwa kulima Mahindi na nafaka kwa ujumla nyie mnalima Mirungi,sasa kama mnalima Mirungi mnahangaika na vurugu za kupanda kwa maisha na kuongezeka kwa bei katika nafaka kwa nini?,Yaani Ulime Mrungi halafu ushindwe kulima Mahindi kisha uanze kuandamana kwa kuilaumu serikali?

Ukiingia Kenya kuanzia hapo Migori hadi Kisumu kuna Ardhi nzuri inayositawi mahindi na nafaka kwa ujumla,lakini hamtaki kulima mwisho wa siku mnaanza kuitupia lawama serikali,mmeamua kulima Mirungi basi hakikisheni mnakula hiyo Mirungi na muache kuisumbua Serikali.

Endeleeni kufanya ujinga wenu kwa kulima Mirungi mdhani mnaikomoa serikali kumbe mnajikomoa wenyewe.

ACHANENI NA MIRUNGI LIMENI MAHINDI MUONDOKANE NA NJAA WAJINGA NYIE!.
Tena wajinga haswa, kufanya fujo au wanamuonea wivu Ruto,Ruto kaingia juzi tu Mara kawa mbaya, Kama unga umepanda Bei wale mihogo na viazi.
 
Nime bahati kiasi fulani kuzunguka zunguka nje ya mipaka yetu na Bara letu pia.ila katika nchi yenye wapumbavu, wapumbavu kwa viwango vyote watanzania ni namba moja.
Tanzania nchi ambayo upumbavu ni moja ya sifa ya mtu kupewa uongozi.
Wehu wa wakenya ndiyo walionao wa south na black am amerika, ila upumbavu wa watanzania haupo pengine kokote kule.
 
Msipokuwa na akili kama za Wakenya, viongozi wetu hawa wa Kibongo wanaweza kuwachezea hadi machoni.

Kuna wakati lazima Viongozi wajue wakileta mambo yao yasiyofaa, mnaweza kukinukisha.

Sio sisi Wabongo, tunachezewa na Viongozi wetu kadri wanavyotaka.

Yaani Nchi wafanyabiashara wananguvu kuliko Serikali, yaani watu wanaficha Mafuta wakisubiri wauze kwa bei kubwa na Serikali ipo tu.

Eti kisa Dollar imepanda, waulizwe mafuta waliyopandisha bei waliyaagiza Juzi?

Hovyo kabisa
 
Msipokuwa na akili kama za Wakenya, viongozi wetu hawa wa Kibongo wanaweza kuwachezea hadi machoni.

Kuna wakati lazima Viongozi wajue wakileta mambo yao yasiyofaa, mnaweza kukinukisha.

Sio sisi Wabongo, tunachezewa na Viongozi wetu kadri wanavyotaka.

Yaani Nchi wafanyabiashara wananguvu kuliko Serikali, yaani watu wanaficha Mafuta wakisubiri wauze kwa bei kubwa na Serikali ipo tu.

Eti kisa Dollar imepanda, waulizwe mafuta waliyopandisha bei waliyaagiza Juzi?

Hovyo kabisa
Hapo ndipo tutamkumbuka mwendazake katika kusimamia bei za vyakula.
 
Hapo ndipo tutamkumbuka mwendazake katika kusimamia bei za vyakula.
Yule Mzee alikuwa hacheki na nyani.

Unajua hawa wafanyabiashara wanahitaji Kiongozi mwenye Ukatili kidogo

Yaani mtu anaficha mafuta na Serikali imelala tu, walishindwa kuwatishia kuwafutia Leseni zao?

Mbona bei isingepanda
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.


Kuna muda nikiwatazama ndugu zangu na jirani zangu wakenya napata mashaka sana na uelewa wao.

Hivi kinachofanya muandamane na kuharibu biashara za watu ni nini? Hivi mnadhani kuna kiongozi wa Serikali atakuja kuwaletea maisha mazuri kweli?

Mlivyo wajinga kila siku mnalima Mirungi ili muisafirishe nje.

Mnashindwa kulima Mahindi na nafaka kwa ujumla nyie mnalima Mirungi, sasa kama mnalima Mirungi mnahangaika na vurugu za kupanda kwa maisha na kuongezeka kwa bei katika nafaka kwa nini? Yaani Ulime Mrungi halafu ushindwe kulima Mahindi kisha uanze kuandamana kwa kuilaumu serikali?

Ukiingia Kenya kuanzia hapo Migori hadi Kisumu kuna Ardhi nzuri inayositawi mahindi na nafaka kwa ujumla lakini hamtaki kulima mwisho wa siku mnaanza kuitupia lawama serikali, mmeamua kulima Mirungi basi hakikisheni mnakula hiyo Mirungi na muache kuisumbua Serikali.

Endeleeni kufanya ujinga wenu kwa kulima Mirungi mdhani mnaikomoa serikali kumbe mnajikomoa wenyewe.

ACHANENI NA MIRUNGI LIMENI MAHINDI MUONDOKANE NA NJAA WAJINGA NYIE!.
Wajinga Sana wakenya
 
Msipokuwa na akili kama za Wakenya, viongozi wetu hawa wa Kibongo wanaweza kuwachezea hadi machoni.

Kuna wakati lazima Viongozi wajue wakileta mambo yao yasiyofaa, mnaweza kukinukisha.

Sio sisi Wabongo, tunachezewa na Viongozi wetu kadri wanavyotaka.

Yaani Nchi wafanyabiashara wananguvu kuliko Serikali, yaani watu wanaficha Mafuta wakisubiri wauze kwa bei kubwa na Serikali ipo tu.

Eti kisa Dollar imepanda, waulizwe mafuta waliyopandisha bei waliyaagiza Juzi?

Hovyo kabisa
SAsa huko kenya di ndio kabsa watu wanaficha kila kitu na ukiongea nchi yenye mafisadi kenya ni namba mpja EA, ukabila kwao ni kawaida
 
Nimeishi nao ni wapumbavu wakiwango cha PhD
Ni mzawa wa kariakoo, nyumbani kwa sasa sinza. Pia, nipo Kenya kimasomo, kwaivyo ninawajua watu wa nchi zote kwa utuo. Kusema ukweli Kenya ni sleeping giant. Wana kila sababu ya kupiga hatua kiuchumi na kila idara kwa ujumla, ila hili litabaki ndoto kutokana na uozo na ufisadi uliokithiri kuanzia ngazi za chini za uongozi hadi ofisi ya raisi. Mamilioni kwa Mabilioni ya pesa za Kenya yanaibiwa nnjennje kwa uwazi, habari zitachapishwa kwenye magazeti ila hakuna hatua yeyote atakayochukuliwa. Juzi tu mbunge mmoja alimtungunyua dj ndani ya night club, aliishia kulipa faini tu. Kwenye hili watanzania tunaweza kuwaita wenzetu wapuuzi.
Ila kwa upande wetu, ufisadi unafanywa kwa ustaarabu, asilimia almost 70 ya mafisadi huchukuliwa hatua. Ila upuuzi wetu ni next level. Staki kujisema ila ninaamini sote tunayajua madhaifu yetu. Jembe lilitustiri sana, wapumbavu² wakamzimisha
 
Ukiingia Kenya kuanzia hapo Migori hadi Kisumu kuna Ardhi nzuri inayositawi mahindi na nafaka kwa ujumla lakini hamtaki kulima mwisho wa siku mnaanza kuitupia lawama serikali
Sema wajaluo ndio wanaoandamana, huku mkoa wa bonde la ufa mahindi tayari imeiva
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.


Kuna muda nikiwatazama ndugu zangu na jirani zangu wakenya napata mashaka sana na uelewa wao.

Hivi kinachofanya muandamane na kuharibu biashara za watu ni nini? Hivi mnadhani kuna kiongozi wa Serikali atakuja kuwaletea maisha mazuri kweli?

Mlivyo wajinga kila siku mnalima Mirungi ili muisafirishe nje.

Mnashindwa kulima Mahindi na nafaka kwa ujumla nyie mnalima Mirungi, sasa kama mnalima Mirungi mnahangaika na vurugu za kupanda kwa maisha na kuongezeka kwa bei katika nafaka kwa nini? Yaani Ulime Mrungi halafu ushindwe kulima Mahindi kisha uanze kuandamana kwa kuilaumu serikali?

Ukiingia Kenya kuanzia hapo Migori hadi Kisumu kuna Ardhi nzuri inayositawi mahindi na nafaka kwa ujumla lakini hamtaki kulima mwisho wa siku mnaanza kuitupia lawama serikali, mmeamua kulima Mirungi basi hakikisheni mnakula hiyo Mirungi na muache kuisumbua Serikali.

Endeleeni kufanya ujinga wenu kwa kulima Mirungi mdhani mnaikomoa serikali kumbe mnajikomoa wenyewe.

ACHANENI NA MIRUNGI LIMENI MAHINDI MUONDOKANE NA NJAA WAJINGA NYIE!.
Mirungi
 
Viongozi rubbish uingia mikataba mibovu uvunja mikataba kipumbavu then nchi inapigwa faini kwa upumbavu wa mtu mmoja kisha maisha yanakuwa magumu uathiri wengi kwa upumbavu wa mtu mmoja.
Pesa ya kukuletea wewe maendeleo inaenda kulipia nje upumbavu wa kiongozi mzembe je hii ni sawa.
Hata Ulaya wamefikia kuheshimiana baada ya kudundana sana kati ya watawala na watawaliwa ili kuheshimiana.
 
Nime bahati kiasi fulani kuzunguka zunguka nje ya mipaka yetu na Bara letu pia.ila katika nchi yenye wapumbavu, wapumbavu kwa viwango vyote watanzania ni namba moja.
Tanzania nchi ambayo upumbavu ni moja ya sifa ya mtu kupewa uongozi.
Wehu wa wakenya ndiyo walionao wa south na black am amerika, ila upumbavu wa watanzania haupo pengine kokote kule.
Ccm imewaloga Watanzania na kuwapumbaza wawe kama mazezeta kwa moshi wa mwenge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom