MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,502
- 29,550
Cha ajabu nchi hii hii ni 4th largest exporter of tea in the World!
Haya hapo hapo
Wakulima wakubwa Niwale wale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu nchi hii hii ni 4th largest exporter of tea in the World!
Simtusi, ni yeye anajitukana kama unavyojitukana wewe kwa kudhihirisha upumbavu wako. Sijui maana ya KUIHADHIRISHA, lakini kwa mtaji huu mnaidhalilisha nchi.Waweza kumtusi barbarosa kwa vyovyote uwezavyo lakini si kwa mgongo wa kuihadhirisha nchi yako......
Na wewe na mimi tuilinde ya kwetu, kwa kufanya kazi sio kujambajamba mitandaoni kila uchao kuzungumza mambo ya Kenya kiushambenga huku ya kwetu yanaenda doro. Mimi nikiwa na akili zangu timamu, sitawahoji Wakenya juu ya ardhi yao kwani hainihusu. Na kushindwa kwa Wakenya kwenye jambo lolote hakumaanishi nafuu kwangu. Uswahili tu unakusumbua na umbea.Huoni aibu hao wakenya unaowasifia wanavyoilinda nchi yao utadhani ni land of angels !!!!!!.....
Nimekupa tu mfano, sikukwambia kwamba maisha ni YouTube.Kama huwa unaingia youtube kutafuta video za ngono za watz utazipata na vile vile ukitaka za watu wa maana wa tz utazipata .... Au unadhani dunia inaishia YouTube
Hayo ya porn industry sina ujuzi nayo. Nyie walinganishaji mna nafasi nzuri ya kulijua hilo.Na kwa kukusaidia tu porn industry ya Kenya haikaribiwi na ya Tanzania ...... Watu wanafanya tour za ngono katika pwani ya Kenya na ni ushenzi ambao hutokuta wakenya wakiusemea humu !!!!....
Naipenda nchi yangu na ndio maana sina baraka kwa mtu yeyote mpuuzi kuidhalilisha kwa kujaribu kuipigania kwa maneno badala ya vitendo. Badala ya vipindi vya kipumbavu kama tega nikutege kwenye TV zetu, tuwe na makala za maana kama Shamba Shape Up ndio tutaishinda Kenya. Huwa najisikia kukereka sana napolazimika ku-tune Kenyan TVs kupata makala hizo huku television zetu zikiwa bize na taarab as if hapa ni Mombasa au Zanzibar.Jifunze kuipenda nchi yako .....
Kama wakenya wapo vizuri katika chai bhasi tanzania ipo vyema katika ufuta ....kwani lazma tuzalishe kitu sawa na wao ?????.....
Kweli ada ya mja hunena ,uungwana ni kitendo ....Simtusi, ni yeye anajitukana kama unavyojitukana wewe kwa kudhihirisha upumbavu wako. Sijui maana ya KUIHADHIRISHA, lakini kwa mtaji huu mnaidhalilisha nchi.
Na wewe na mimi tuilinde ya kwetu, kwa kufanya kazi sio kujambajamba mitandaoni kila uchao kuzungumza mambo ya Kenya kiushambenga huku ya kwetu yanaenda doro. Mimi nikiwa na akili zangu timamu, sitawahoji Wakenya juu ya ardhi yao kwani hainihusu. Na kushindwa kwa Wakenya kwenye jambo lolote hakumaanishi nafuu kwangu. Uswahili tu unakusumbua na umbea.
Nimekupa tu mfano, sikukwambia kwamba maisha ni YouTube.
Hayo ya porn industry sina ujuzi nayo. Nyie walinganishaji mna nafasi nzuri ya kulijua hilo.
Naipenda nchi yangu na ndio maana sina baraka kwa mtu yeyote mpuuzi kuidhalilisha kwa kujaribu kuipigania kwa maneno badala ya vitendo. Badala ya vipindi vya kipumbavu kama tega nikutege kwenye TV zetu, tuwe na makala za maana kama Shamba Shape Up ndio tutaishinda Kenya. Huwa najisikia kukereka sana napolazimika ku-tune Kenyan TVs kupata makala hizo huku television zetu zikiwa bize na taarab as if hapa ni Mombasa au Zanzibar.
Unafiki na Uzalendo ni vitu viwili tofauti. Mlionao ni unafiki, kwamba unaipenda nchi yako kwa kuisifia badala ya kuiboresha. Mimi sina kinyongo na Mkenya wala Mnyarwanda yeyote...to me, they are not rivals...they are resources to better My Tanzania. Kukesha mtandaoni kujilinganisha kama watoto wadogo ni upuuzi. Ukiona kuna sehemu tumewazidi, piga kimya...ongeza mbio. Ukiona kuna sehemu wametuzidi, piga kima...copy.
Anahitaji hela, madhara hayo yana gharama. Pingli-nywee?Hahaha!Mamarosa ana maneno,nadhani ni madhara ya yanayowakumba dada zetu muda flani kila mwezi.Siunajua tu!
Naona umejibiwa vizuri sana na Iconoclastes lakini kwa jinsi ulivyo mgumu wa kuelewa, utaibuka na mada kama hii baada ya miezi kadhaa. Tushawazoea na bado utajibiwa tu.
Kweli jombaa,inataka hela au ufadhili wa 'N.G.Os',siunajua wale wazungu 'wanaowajali' waafrika saaaana?Hahaha!Bila kusahau madhara ya kisaikolojia,zile 'moods' za ajabu ajabu.Duh!Kazi kweli kweli!Anahitaji hela, madhara hayo yana gharama. Pingli-nywee?
umewapoteza wote utaanza kuona picha za turkland hapa don't go into such depth bro you will always lose them on the way only for a fellow kind hearted try to pick them up and do it all again explain and lose them again..Ukiangalia hizi majibu yenye umepewa na wadau hapa Barbarosa natumai utaelemika. Itakuwa wazi pia sio eneo la ardhi yenye mtu/taifa anayo miliki, bali ni matumizi yake yanayo pewa kipau mbele katika enzi hizi za sayansi na teknolojia. Iconoclastes amekupa mfano wa mahindi na ngano. Hizi nafaka mbili zina soko la ajabu nchini Kenya, kiasi ambapo kila mwaka soko lake linapanda kwa ujumla na mara kwa mara inabidi tuagize toka nje . Baadhi ya wakulima wadogo pia wanakumbwa na shida ya jinsi ya kuhifadhi mahindi baada ya kuvuna, hali ambacho kinaleta sumu ya aina ya fangasi liitwalo "Aflatoxin" kwenye hiyo mahindi, hivyo kupeleka litupwe maanake haifai kwa matumizi ya binadamu na wanyama . Na hapo ndipo wanapoagiza toka kwenu, na ukumbuke ni biashara sawa na zingine linalotia dollar kwenye hazina zenu na kuendesha uchumi wa nchi zetu mbili. Kumbuka hilo neno "biashara", andika mahali au uweke bold/italics ukipenda, tutairudia tena kama haujashika darasa vizuri.
Katika uzi mwingine nilitaja hili linafanyika pia nchini Japan na zao la mpunga, na nchini Ethiopia na zao lao maalum ya "Teff".Sio eti wakulima wa hizo nchi mbili ni wazembe, la. Huko nako hali ni vilevile tu: soko linahitaji zaidi ya uzalishaji wanaagiza toka nje pia. Nadhani umeelemika.
Siku nyingine usirudie kudandia mada katikati. Nilikuwa namuelewesha Mamarosa juu ya upuuzi wake alioanzisha hapa juu ya Wakenya. Labda nikuulize wewe uliyerukia, HOW PRODUCTIVE IS THE TOPIC FOR YOUR COUNTRY? If you see any positives in this fluffy then you are stupid.Kweli ada ya mja hunena ,uungwana ni kitendo ....
Nimekuwa nikijadiliana na wakenya humu jf bila kurushiana kombola zozote za kipuuzi... Nimekujibu kiuungwana lakini wewe umetanguliza hisia zako mbele kwa kukariri kuwa kila mtz humu huja kwa ajili ya league.
Mimi nijuavyo, hakuna mtu husumbuliwa na mtoto wa jirani asipoenda shule. Mtaani kuna watoto wengi, jiulize kwa nini wa jirani asipoenda shule hukasiriki lakini wa kwako asipoenda shule unakasirika? Jibu ni kwamba, unakasirika wa kwako asipoenda shule kwa kuwa anakuhusu. Nayapa kipaumbele mambo hasi ya Tanzania kwa kuwa yananiudhi. Nina mapenzi gani kwa Kenya mpaka nikerwe na umalaya wao kiasi cha kuanzisha mada jukwaani?Unaipenda Tanzania yako kinadharia tu kwa kuwa kama ungekuwa unaipenda kivitendo kamwe usingeyapa kipaumbele mambo yake hasi kuliko chanya.....
Kama unafikiri wana upumbavu zaidi yetu, njoo sasa tufikiri kwa nini uchumi wao uko juu ya kwetu. Mimi sikuyaona hayo kwao, nikifungua channel zao huwa natafuta vitu productive pengine ndio maana sioni vya kijinga.Katika hiyo tv1 yenye tega nikutege kuna kipindi cha safari ambacho hutalii tz nzima na kufungua milango ya fursa kwa mikoa mingineyo ......
Na hata hiyo shamba shape up huoneshwa itv pia na mimi huifuatilia nikipata muda...
Katika makuzi yangu nimeziangalia local channels za kenya nyingi tu kama ntv , citizen kbc k24 etc ...... Na hizo program unazoziona za kipumbavu ZIPO... Hivyo usijitie upofu kwa kuwa biashara ni demand hivyo si kila mtu ataangalia yale tu uyapendayo..
Hapo kwenye RED kesho uandike UHUDHURIWA. Sasa kesho wewe na mwenzako muanzishe mada za kuwahusu vijana wa Kitanzania waliofanya makubwa na sio kuzungumza mambo ya jirani. Ukimuweka mbele yangu kijana Mtanzania anayefanya jambo zuri nafurahi sana. Rejea hoja zangu juu ya Dr Mwaka na wavumbuzi wetu wengine. Mimi nimewasemea vizuri sana na kweli nimesikitishwa na kukwamishwa kwao. Lakini upuuzi wa kuzungumza matatizo ya wenzetu hautuweki mbele, mwenye akili na aelewe hili.Kuna makongamano mengi ambayo uhudhuliwa na watu wengi yenye kuleta uchochezi wa maendeleo na kuna vijana wengi wa kitanzania wanafanya makubwa pengine kuliko hata hao wakeny lakini hawapewi support kwa mawazo kama yako ya kutilia shaka utendaji kazi wa raia wenzio......
Mkenya akificha UVIVU wa mtu wa Mombasa, usifiche uvivu wa mtu wa Tanga. Mseme sana wa Tanga ili abadilike tuizidi Kenya.Usione kila mtanzania ni mvivu... Hebu waulize hao wakenya kuwa watu wa pwani ya kenya na tanzania wana tofauti gani katika utendaji wao hafifu wa kazi lakini hutomuona mkenya akilisemea hili kwa kuwa wao wanaliweka taifa lao mbele.......
Ulitaka nikujue kwa lipi zaidi ya hili? Hivi ni vitisho au kitu gani? Wewe ni nani si kazi yangu.Ipende nchi yako ...usilete personal attacks kwa kuwa hunijui mimi ni nani na ninafanya nini .....
Sasa umeanza kupata akili. Tujadili IDEAS, sio kujadili WakenyaDiscuss ideas kama wewe una upeo mkubwa
Nimeshakueleza kuwa watu wenye hekima hawana personal attacks lakini bado unaendelea nayo !!!!!......Siku nyingine usirudie kudandia mada katikati. Nilikuwa namuelewesha Mamarosa juu ya upuuzi wake alioanzisha hapa juu ya Wakenya. Labda nikuulize wewe uliyerukia, HOW PRODUCTIVE IS THE TOPIC FOR YOUR COUNTRY? If you see any positives in this fluffy then you are stupid.
Nilichokuwa namfunda yule mwenzako ni kwamba NI UPUMBAVU KU-HIGHLIGHT MATATIZO YA WATU WENGINE UKIZINGATIA HAYAKUHUSU. Mimi kumuelewesha tu hivyo, nimekuwa siipendi Tanzania. Unaipenda wewe mmbea na huu umbea wa kuangalia ya jirani. Mimi nitawaacha tu mkiniambia UONGO WA WAKENYA UNAIATHIRI VIPI TANZANIA.
Mimi nijuavyo, hakuna mtu husumbuliwa na mtoto wa jirani asipoenda shule. Mtaani kuna watoto wengi, jiulize kwa nini wa jirani asipoenda shule hukasiriki lakini wa kwako asipoenda shule unakasirika? Jibu ni kwamba, unakasirika wa kwako asipoenda shule kwa kuwa anakuhusu. Nayapa kipaumbele mambo hasi ya Tanzania kwa kuwa yananiudhi. Nina mapenzi gani kwa Kenya mpaka nikerwe na umalaya wao kiasi cha kuanzisha mada jukwaani?
Kama unafikiri wana upumbavu zaidi yetu, njoo sasa tufikiri kwa nini uchumi wao uko juu ya kwetu. Mimi sikuyaona hayo kwao, nikifungua channel zao huwa natafuta vitu productive pengine ndio maana sioni vya kijinga.
Ni kweli Shamba Shape Up inaoneshwa pia ITV, kama ambavyo ISIDINGO inaoneshwa South Africa na Tanzania pia...lakini unajua ISIDINGO inarekodiwa wapi? (Kama una akili utaelewa namaanisha nini)
Hapo kwenye RED kesho uandike UHUDHURIWA. Sasa kesho wewe na mwenzako muanzishe mada za kuwahusu vijana wa Kitanzania waliofanya makubwa na sio kuzungumza mambo ya jirani. Ukimuweka mbele yangu kijana Mtanzania anayefanya jambo zuri nafurahi sana. Rejea hoja zangu juu ya Dr Mwaka na wavumbuzi wetu wengine. Mimi nimewasemea vizuri sana na kweli nimesikitishwa na kukwamishwa kwao. Lakini upuuzi wa kuzungumza matatizo ya wenzetu hautuweki mbele, mwenye akili na aelewe hili.
Mkenya akificha UVIVU wa mtu wa Mombasa, usifiche uvivu wa mtu wa Tanga. Mseme sana wa Tanga ili abadilike tuizidi Kenya.
Ulitaka nikujue kwa lipi zaidi ya hili? Hivi ni vitisho au kitu gani? Wewe ni nani si kazi yangu.
Sasa umeanza kupata akili. Tujadili IDEAS, sio kujadili Wakenya
Mbona unakasirika mkuu? we utakuwa mkenya na usijifanye ni Mtz au toka mikoa ya kaskazini wanojipendekeza kwa wakenyaSiku nyingine usirudie kudandia mada katikati. Nilikuwa namuelewesha Mamarosa juu ya upuuzi wake alioanzisha hapa juu ya Wakenya. Labda nikuulize wewe uliyerukia, HOW PRODUCTIVE IS THE TOPIC FOR YOUR COUNTRY? If you see any positives in this fluffy then you are stupid.
Nilichokuwa namfunda yule mwenzako ni kwamba NI UPUMBAVU KU-HIGHLIGHT MATATIZO YA WATU WENGINE UKIZINGATIA HAYAKUHUSU. Mimi kumuelewesha tu hivyo, nimekuwa siipendi Tanzania. Unaipenda wewe mmbea na huu umbea wa kuangalia ya jirani. Mimi nitawaacha tu mkiniambia UONGO WA WAKENYA UNAIATHIRI VIPI TANZANIA.
Mimi nijuavyo, hakuna mtu husumbuliwa na mtoto wa jirani asipoenda shule. Mtaani kuna watoto wengi, jiulize kwa nini wa jirani asipoenda shule hukasiriki lakini wa kwako asipoenda shule unakasirika? Jibu ni kwamba, unakasirika wa kwako asipoenda shule kwa kuwa anakuhusu. Nayapa kipaumbele mambo hasi ya Tanzania kwa kuwa yananiudhi. Nina mapenzi gani kwa Kenya mpaka nikerwe na umalaya wao kiasi cha kuanzisha mada jukwaani?
Kama unafikiri wana upumbavu zaidi yetu, njoo sasa tufikiri kwa nini uchumi wao uko juu ya kwetu. Mimi sikuyaona hayo kwao, nikifungua channel zao huwa natafuta vitu productive pengine ndio maana sioni vya kijinga.
Ni kweli Shamba Shape Up inaoneshwa pia ITV, kama ambavyo ISIDINGO inaoneshwa South Africa na Tanzania pia...lakini unajua ISIDINGO inarekodiwa wapi? (Kama una akili utaelewa namaanisha nini)
Hapo kwenye RED kesho uandike UHUDHURIWA. Sasa kesho wewe na mwenzako muanzishe mada za kuwahusu vijana wa Kitanzania waliofanya makubwa na sio kuzungumza mambo ya jirani. Ukimuweka mbele yangu kijana Mtanzania anayefanya jambo zuri nafurahi sana. Rejea hoja zangu juu ya Dr Mwaka na wavumbuzi wetu wengine. Mimi nimewasemea vizuri sana na kweli nimesikitishwa na kukwamishwa kwao. Lakini upuuzi wa kuzungumza matatizo ya wenzetu hautuweki mbele, mwenye akili na aelewe hili.
Mkenya akificha UVIVU wa mtu wa Mombasa, usifiche uvivu wa mtu wa Tanga. Mseme sana wa Tanga ili abadilike tuizidi Kenya.
Ulitaka nikujue kwa lipi zaidi ya hili? Hivi ni vitisho au kitu gani? Wewe ni nani si kazi yangu.
Sasa umeanza kupata akili. Tujadili IDEAS, sio kujadili Wakenya
Acha kujitoa akili, jadili mada kama ulivyoileta na si kuhamisha mjadala kama mtu asiye na dira.Lakini TZ yetu ni number one exporter wa Transformers na Switch gears hapa Afrika, hakuna tech company kama Tanelec Limited hapa Afrika!
Siku nyingine usirudie kudandia mada katikati. Nilikuwa namuelewesha Mamarosa juu ya upuuzi wake alioanzisha hapa juu ya Wakenya. Labda nikuulize wewe uliyerukia, HOW PRODUCTIVE IS THE TOPIC FOR YOUR COUNTRY? If you see any positives in this fluffy then you are stupid.
Nilichokuwa namfunda yule mwenzako ni kwamba NI UPUMBAVU KU-HIGHLIGHT MATATIZO YA WATU WENGINE UKIZINGATIA HAYAKUHUSU. Mimi kumuelewesha tu hivyo, nimekuwa siipendi Tanzania. Unaipenda wewe mmbea na huu umbea wa kuangalia ya jirani. Mimi nitawaacha tu mkiniambia UONGO WA WAKENYA UNAIATHIRI VIPI TANZANIA.
Mimi nijuavyo, hakuna mtu husumbuliwa na mtoto wa jirani asipoenda shule. Mtaani kuna watoto wengi, jiulize kwa nini wa jirani asipoenda shule hukasiriki lakini wa kwako asipoenda shule unakasirika? Jibu ni kwamba, unakasirika wa kwako asipoenda shule kwa kuwa anakuhusu. Nayapa kipaumbele mambo hasi ya Tanzania kwa kuwa yananiudhi. Nina mapenzi gani kwa Kenya mpaka nikerwe na umalaya wao kiasi cha kuanzisha mada jukwaani?
Kama unafikiri wana upumbavu zaidi yetu, njoo sasa tufikiri kwa nini uchumi wao uko juu ya kwetu. Mimi sikuyaona hayo kwao, nikifungua channel zao huwa natafuta vitu productive pengine ndio maana sioni vya kijinga.
Ni kweli Shamba Shape Up inaoneshwa pia ITV, kama ambavyo ISIDINGO inaoneshwa South Africa na Tanzania pia...lakini unajua ISIDINGO inarekodiwa wapi? (Kama una akili utaelewa namaanisha nini)
Hapo kwenye RED kesho uandike UHUDHURIWA. Sasa kesho wewe na mwenzako muanzishe mada za kuwahusu vijana wa Kitanzania waliofanya makubwa na sio kuzungumza mambo ya jirani. Ukimuweka mbele yangu kijana Mtanzania anayefanya jambo zuri nafurahi sana. Rejea hoja zangu juu ya Dr Mwaka na wavumbuzi wetu wengine. Mimi nimewasemea vizuri sana na kweli nimesikitishwa na kukwamishwa kwao. Lakini upuuzi wa kuzungumza matatizo ya wenzetu hautuweki mbele, mwenye akili na aelewe hili.
Mkenya akificha UVIVU wa mtu wa Mombasa, usifiche uvivu wa mtu wa Tanga. Mseme sana wa Tanga ili abadilike tuizidi Kenya.
Ulitaka nikujue kwa lipi zaidi ya hili? Hivi ni vitisho au kitu gani? Wewe ni nani si kazi yangu.
Sasa umeanza kupata akili. Tujadili IDEAS, sio kujadili Wakenya
Ungekuwa na hasira usingeshabikia ccm mbulula mkubwa wee.Mkuu haya mambo yanatia hasira sana, sema wengine hua hatuna namna tu ya kuyabadili moja kwa moja, Ila ipo siku Mungu ataruhusu Nchi hii ibadilike na kua nchi ambayo wote tutaishi kwa faida.
tu Wangu hapo umemjibu vizuri jinsi nilvyokua nafikiria tu bravoSiku nyingine usirudie kudandia mada katikati. Nilikuwa namuelewesha Mamarosa juu ya upuuzi wake alioanzisha hapa juu ya Wakenya. Labda nikuulize wewe uliyerukia, HOW PRODUCTIVE IS THE TOPIC FOR YOUR COUNTRY? If you see any positives in this fluffy then you are stupid.
Nilichokuwa namfunda yule mwenzako ni kwamba NI UPUMBAVU KU-HIGHLIGHT MATATIZO YA WATU WENGINE UKIZINGATIA HAYAKUHUSU. Mimi kumuelewesha tu hivyo, nimekuwa siipendi Tanzania. Unaipenda wewe mmbea na huu umbea wa kuangalia ya jirani. Mimi nitawaacha tu mkiniambia UONGO WA WAKENYA UNAIATHIRI VIPI TANZANIA.
Mimi nijuavyo, hakuna mtu husumbuliwa na mtoto wa jirani asipoenda shule. Mtaani kuna watoto wengi, jiulize kwa nini wa jirani asipoenda shule hukasiriki lakini wa kwako asipoenda shule unakasirika? Jibu ni kwamba, unakasirika wa kwako asipoenda shule kwa kuwa anakuhusu. Nayapa kipaumbele mambo hasi ya Tanzania kwa kuwa yananiudhi. Nina mapenzi gani kwa Kenya mpaka nikerwe na umalaya wao kiasi cha kuanzisha mada jukwaani?
Kama unafikiri wana upumbavu zaidi yetu, njoo sasa tufikiri kwa nini uchumi wao uko juu ya kwetu. Mimi sikuyaona hayo kwao, nikifungua channel zao huwa natafuta vitu productive pengine ndio maana sioni vya kijinga.
Ni kweli Shamba Shape Up inaoneshwa pia ITV, kama ambavyo ISIDINGO inaoneshwa South Africa na Tanzania pia...lakini unajua ISIDINGO inarekodiwa wapi? (Kama una akili utaelewa namaanisha nini)
Hapo kwenye RED kesho uandike UHUDHURIWA. Sasa kesho wewe na mwenzako muanzishe mada za kuwahusu vijana wa Kitanzania waliofanya makubwa na sio kuzungumza mambo ya jirani. Ukimuweka mbele yangu kijana Mtanzania anayefanya jambo zuri nafurahi sana. Rejea hoja zangu juu ya Dr Mwaka na wavumbuzi wetu wengine. Mimi nimewasemea vizuri sana na kweli nimesikitishwa na kukwamishwa kwao. Lakini upuuzi wa kuzungumza matatizo ya wenzetu hautuweki mbele, mwenye akili na aelewe hili.
Mkenya akificha UVIVU wa mtu wa Mombasa, usifiche uvivu wa mtu wa Tanga. Mseme sana wa Tanga ili abadilike tuizidi Kenya.
Ulitaka nikujue kwa lipi zaidi ya hili? Hivi ni vitisho au kitu gani? Wewe ni nani si kazi yangu.
Sasa umeanza kupata akili. Tujadili IDEAS, sio kujadili Wakenya
Nimeshakueleza kuwa watu wenye hekima hawana personal attacks lakini bado unaendelea nayo !!!!!......
Poor mind
Hivi hujihurumii unavyoitetea Kenya na kuyafukia mabaya yao huku unaikandia Tanzania na kuyaanika mabaya yake !!!!!....
WEKA HISIA PEMBENI NA UTUMIE AKILI KAMA MWANAUME LA SIVYO UTAFUTE SAMPULI YA KUBISHANA NAYO HUMU JF KIVULANA.....
SINTOKUJIBU TENA .....
Mapovu ni haya unatokwa wewe ndio sasa unatukana. Umekosa hoja, siwezi kukulaumu.Mwana mtoka pabaya faara kweli mbona unatokwa mapovu hivo na mapersonal attack pumbavu zako.
At least am pretending to be stupid, but you are. Labda ungeniita 'selfish' kwa sababu sikupenda kuwafaidisha Wakenya kwa yale nifikiriayo yanafaa.Hii forum kila upande huanzisha mada za kijinga, dont pretend to be a stupid biased mediator.
Ulishawahi kufurahi kumkuta mwanao anaongea mambo ya kijinga?Mbona unakasirika mkuu? we utakuwa mkenya na usijifanye ni Mtz au toka mikoa ya kaskazini wanojipendekeza kwa wakenya