kwa hiyo wakitokea ndani hapalaliki?
Kabisa,naogopa sana hao viumbe
kwa hiyo wakitokea ndani hapalaliki?
Utaisha ukijitahidi na kujizoesha kulala peke yako bila taa. Amini ni jitihada yako tu.Mimi kwetu nimezaliwa wa kike peke yangu, kwa hiyo nilikua nalala chumba cha peke yangu, nilikua naogopa na ikifika usiku nalala na taa mpaka asubuhi, mama alikua ananitegea nimelala anaingia anazima taa,
Cha ajabu uoga huo haujaniisha hadi leo, siku Mr akisafiri sizimi taa hata moja ndani ya nyumba, kuanzia za sitting room,jikoni, bafuni, taa za nje koridoni na za chumbani zinawaka usiku kucha mpaka asubuhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena nahamishia watoto wote chumbani kwangu ili nisione kama niko peke yangu mpaka akirudi ndio maisga ya kawaida yanaendelea, sijui huu uoga utaniisha lini mimi
Balcony kuanzia floor ya 8 na kuendelea Asante sana... till next timekwa hiyo mkuu ukiwa kwenye balcony amani hakuna kabisa.
mkuu wale viumbe hata hawatishi hizo ni hisia tu za woga zilizojengeka juu ya hao viumbe, hebu kuanzia leo zikatae hizo hisia za woga uone ka utawaogopa tena.Kabisa,naogopa sana hao viumbe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilikuwa naogopa watu warefu hususan wageni nilipandikizwa kwamba hao ni majini. Utoto we acha tu!
kwa hiyo kule kuinama na kuinuka zilikua hisia za woga tu mkuu?Daah umenikumbisha miaka ya 2004 kama sio 2005 ile filamu ya inshuka nimetoka kuangalia video show mida kama ya saa nne usiku napopaswa kwenda kulala ni mbali kama km 4 mwisho wa kijiji ndo kulikuwa na mifugo yetu nimefika mitaa fulani nikaona kama ndondocha nikiinamaa linainama,nikirudi nyuma naona kama kinanifata nilitimua mbio hadi nyumbani nikalala kwenye mabanda ya uani niliogopa kugonga dingi alijua nimeshafika kwenye mifugo toka saa 12 jion,asubuhi napita pale nakuta kumbe ni kisiki toka siku ile nikawa nikifika pale usiku natuna kama nimeshinda vita
mkuu wale viumbe hata hawatishi hizo ni hisia tu za woga zilizojengeka juu ya hao viumbe, hebu kuanzia leo zikatae hizo hisia za woga uone ka utawaogopa tena.
😂😂😂😂😂VAR...: utakuwa na busha!
Ndio mkuu badae nikajaga ambiwa kuwa kama unatembea usiku usigeuke nyuma inapunguza uoga nilipojaribu ikawa kwelikwa hiyo kule kuinama na kuinuka zilikua hisia za woga tu mkuu?
duh! pole mkuu, kwa hali hiyo kweli huwezi kuwazoea.Mmh!sidhani kama nitaweza
Nilishawahi kutoka nje ya hostel uchi sababu ya hao wajusi...nafikiri ni kitu nimekubali nakiogopa,siwezi kuwazoea
ni kweli mkuu, kugeuka geuka kunachangiaga woga tofauti na kwenda straight.Ndio mkuu badae nikajaga ambiwa kuwa kama unatembea usiku usigeuke nyuma inapunguza uoga nilipojaribu ikawa kweli
Majengo marefu me nayaogopa mboo..vile viduka vya k.koo vya ngazi za chuma hua navitazama tu ikibidi basi napanda na miguu na mikono ka nyani [emoji23][emoji23][emoji23]mimi haujaisha nalala na Mwanga (Tochi) hadi leo
Naogopa kuogelea
Naogopa majengo marefu
yani mambo ni mengi
hofu hasa hua ni nini mkuu hata upande ka nyani?Majengo marefu me nayaogopa mboo..vile viduka vya k.koo vya ngazi za chuma hua navitazama tu ikibidi basi napanda na miguu na mikono ka nyani [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii hali haitakuisha kwasababu imejijenga nakuwa habit. Habit is a tendency that becomes nearly or completely involuntary.Mimi kwetu nimezaliwa wa kike peke yangu, kwa hiyo nilikua nalala chumba cha peke yangu, nilikua naogopa na ikifika usiku nalala na taa mpaka asubuhi, mama alikua ananitegea nimelala anaingia anazima taa,
Cha ajabu uoga huo haujaniisha hadi leo, siku Mr akisafiri sizimi taa hata moja ndani ya nyumba, kuanzia za sitting room,jikoni, bafuni, taa za nje koridoni na za chumbani zinawaka usiku kucha mpaka asubuhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena nahamishia watoto wote chumbani kwangu ili nisione kama niko peke yangu mpaka akirudi ndio maisga ya kawaida yanaendelea, sijui huu uoga utaniisha lini mimi
Kwani si kunakuwa na zile supportive bars, kwanini usizishike wakati unapanda?Majengo marefu me nayaogopa mboo..vile viduka vya k.koo vya ngazi za chuma hua navitazama tu ikibidi basi napanda na miguu na mikono ka nyani [emoji23][emoji23][emoji23]
sipandagi kule mm[emoji2][emoji2]Majengo marefu me nayaogopa mboo..vile viduka vya k.koo vya ngazi za chuma hua navitazama tu ikibidi basi napanda na miguu na mikono ka nyani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli, ni kama habitHii hali haitakuisha kwasababu imejijenga nakuwa habit. Habit is a tendency that becomes nearly or completely involuntary.
Maisha yako yote bila taa hutajisikia comfortable ukiwa alone. Na maisha haya tunatafuta comfortability in all We do.