Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Nakunywa,nafua jumamos..pale mwisho uliandika shetani ana nguvu sana, ulimaanisha nini mkuu?
Nakunywa,nafua jumamos..pale mwisho uliandika shetani ana nguvu sana, ulimaanisha nini mkuu?
Malaria ndo mgonjwa unaongoza kwa vifo Tanzania ukimwi wa nna sijui! Kinachowatesa wengi ni kuwa wanauhusisha na kifo moja kwa moja. Ukweli ni kwamba ugonjwa una dawa hahahahBado ninao
Kinachoongelewa kwenye mada hii ni uoga wa utotoni. Huo ndiyo mimi bado ninao!Malaria ndo mgonjwa unaongoza kwa vifo Tanzania ukimwi wa nna sijui! Kinachowatesa wengi ni kuwa wanauhusisha na kifo moja kwa moja. Ukweli ni kwamba ugonjwa una dawa hahahah
Ndo ivyo.......mkuu we ni zaidi ya mwoga hadi maigizo unayaogopa?
Kuogelea endelea kuogopa hivyo hivyo. Maji hayazoeleki. Kuna dogo mmoja mtaalam wa kuogelea alikufa Coco Beach mchana kweupe, ule upande wa kulia karibu na vibanda vya mihogo.mimi haujaisha nalala na Mwanga (Tochi) hadi leo
Naogopa kuogelea
Naogopa majengo marefu
yani mambo ni mengi
Kuogelea endelea kuogopa hivyo hivyo. Maji hayazoeleki. Kuna dogo mmoja mtaalam wa kuogelea alikufa Coco Beach mchana kweupe, ule upande wa kulia karibu na vibanda vya mihogo.
Ninaogelea kwenye swimming pool tu tena maji yasivuke kiunoni.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hapo huogelei bali unajichovya😂Kuogelea endelea kuogopa hivyo hivyo. Maji hayazoeleki. Kuna dogo mmoja mtaalam wa kuogelea alikufa Coco Beach mchana kweupe, ule upande wa kulia karibu na vibanda vya mihogo.
Ninaogelea kwenye swimming pool tu tena maji yasivuke kiunoni.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Una jini linaitwa 'cheketu' lazima libanduliwe baada ya hapo uoga kwako utakuwa nadharia tu...Mimi kwetu nimezaliwa wa kike peke yangu, kwa hiyo nilikua nalala chumba cha peke yangu, nilikua naogopa na ikifika usiku nalala na taa mpaka asubuhi, mama alikua ananitegea nimelala anaingia anazima taa,
Cha ajabu uoga huo haujaniisha hadi leo, siku Mr akisafiri sizimi taa hata moja ndani ya nyumba, kuanzia za sitting room,jikoni, bafuni, taa za nje koridoni na za chumbani zinawaka usiku kucha mpaka asubuhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena nahamishia watoto wote chumbani kwangu ili nisione kama niko peke yangu mpaka akirudi ndio maisga ya kawaida yanaendelea, sijui huu uoga utaniisha lini mimi
Hahaha duuh watu na imani zenuUna jini linaitwa 'cheketu' lazima libanduliwe baada ya hapo uoga kwako utakuwa nadharia tu...
Hivyo vitu mpaka Sasa bado naviogopa.... Mpaka jongoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] jf kuna vituko sana mpka rahaUna jini linaitwa 'cheketu' lazima libanduliwe baada ya hapo uoga kwako utakuwa nadharia tu...
Sio imani tu haya mambo yapo saizi nipo mlima bulbul nafanya maombi na ww nitakuweka kwenye maombi ya usiku usijariHahaha duuh watu na imani zenu
Usiniweke kwenye maombi yako ndugu, nina imani yangu na nitamwomba Mungu ninaemwamini, hayo mambo ya majini mimi siyaamini usije tu ukajikuta unaniweka kwenye maombi ya majini na hivo unasali kweny sinui milima gani[emoji3][emoji3][emoji3]Sio imani tu haya mambo yapo saizi nipo mlima bulbul nafanya maombi na ww nitakuweka kwenye maombi ya usiku usijari
Hawa ndio wale wanaoamini hata paka akilia nje ni pepo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] jf kuna vituko sana mpka raha