Uoga wako wa utotoni uliishaje?

Uoga wako wa utotoni uliishaje?

mkuu hadi kuwa mwoga ni jini? haya madhehebu mapya yanawaharibu akili.
Ndio ni jini hata ww unalo lkn lakwako linaitwa 'mkodombe' linakusaidia kwenye matumizi madogo madogo ya ubishi.
 
Nina phobia za aina ya hawa viumbe...nikiwaona nakuwa irritated na siwezi kuwavumilia. Konokono, Duduwasha....sehemu walipo hao jamaa siwezi kukaa.
 
Tandu a.k.a Centipede. Aisee namuogopa huyo mwamba mpaka leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom