Natumai hamjambo wananzengo.
Karibu kila mmoja wetu utotoni alikuwa mwoga, hasa mida ya usiku hata ukitumwa ndani pekee ako huendi mpaka usindikizwe bt kuna tukio moja lilikokua sababu ya ule woga kutoweka hivo karibuni hapa kushare namna uoga ule ulimalizika.
Binafsi siku1 tulienda harusi ya mbali kidogo na washkaji, tukaazimia saa4 usiku ndo utakua muda wa kurudi, muda ulipofika wenzangu wakagoma kurudi, dah! nilitokwa kijasho chembamba maana kesho yake nilipaswa kwenda shule.
Nilijitoa mhanga wa kurudi peke angu huku nikijesemea liwalo liwe, nilitembea kwa woga sana huku nikilia kwa majuto kwa nini nilienda bt hatimaye nilifika home na tangu siku hiyo uoga uliisha.
Je, kwa upande wako woga wako ulimalizikaje?
Karibu kila mmoja wetu utotoni alikuwa mwoga, hasa mida ya usiku hata ukitumwa ndani pekee ako huendi mpaka usindikizwe bt kuna tukio moja lilikokua sababu ya ule woga kutoweka hivo karibuni hapa kushare namna uoga ule ulimalizika.
Binafsi siku1 tulienda harusi ya mbali kidogo na washkaji, tukaazimia saa4 usiku ndo utakua muda wa kurudi, muda ulipofika wenzangu wakagoma kurudi, dah! nilitokwa kijasho chembamba maana kesho yake nilipaswa kwenda shule.
Nilijitoa mhanga wa kurudi peke angu huku nikijesemea liwalo liwe, nilitembea kwa woga sana huku nikilia kwa majuto kwa nini nilienda bt hatimaye nilifika home na tangu siku hiyo uoga uliisha.
Je, kwa upande wako woga wako ulimalizikaje?