- Thread starter
- #61
sawa bt ibada unahudhuria.Nakunywa,nafua jumamos..
sawa bt ibada unahudhuria.Nakunywa,nafua jumamos..
huu ugonjwa ulimtesa sana rafiki yanguHadi leo naogopa wasichana wazuri.
Dah
huu ugonjwa ulimtesa sana rafiki yangu
Hapo kwenye majengo marefu na kuogelea tupo pamojamimi haujaisha nalala na Mwanga (Tochi) hadi leo
Naogopa kuogelea
Naogopa majengo marefu
yani mambo ni mengi
mkuu hadi unafamilia bt umwoga kiasi hicho?Mimi kwetu nimezaliwa wa kike peke yangu, kwa hiyo nilikua nalala chumba cha peke yangu, nilikua naogopa na ikifika usiku nalala na taa mpaka asubuhi, mama alikua ananitegea nimelala anaingia anazima taa,
Cha ajabu uoga huo haujaniisha hadi leo, siku Mr akisafiri sizimi taa hata moja ndani ya nyumba, kuanzia za sitting room,jikoni, bafuni, taa za nje koridoni na za chumbani zinawaka usiku kucha mpaka asubuhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena nahamishia watoto wote chumbani kwangu ili nisione kama niko peke yangu mpaka akirudi ndio maisga ya kawaida yanaendelea, sijui huu uoga utaniisha lini mimi
mkuu hayo majengo marefu hua mnahisi yataanguka au mnayaogopa je?Hapo kwenye majengo marefu na kuogelea tupo pamoja
Nikiwa ndani sawa ila kuwa kwenye balconies sijaribumkuu hayo majengo marefu hua mnahisi yataanguka au mnayaogopa je?
Acha tu.
Hata kutoa salamu inakuwa shida.
pole mkuu bt kwa hiyo unatafutaga wanawake wakawaida tu au unafanyaje?Acha tu.
Hata kutoa salamu inakuwa shida.
We acha tu, tena umeme ukikatika usiku halafu niko peke yangu, ndo nameza kabisa sleeping pills ili nilalemkuu hadi unafamilia bt umwoga kiasi hicho?
mkuu hadi kuwa mwoga ni jini? haya madhehebu mapya yanawaharibu akili.Una jini linaitwa 'cheketu' lazima libanduliwe baada ya hapo uoga kwako utakuwa nadharia tu...
dah! pole sana mkuu bt uoga ni hisia ukizikataa ndo inakua suluhu ya tatizo jumla.We acha tu, tena umeme ukikatika usiku halafu niko peke yangu, ndo nameza kabisa sleeping pills ili nilale
kwa hiyo mkuu ukiwa kwenye balcony amani hakuna kabisa.Nikiwa ndani sawa ila kuwa kwenye balconies sijaribu
pole sana mkuu bt ujue kuogopa vitu ni hisia, ukizikataa hizo hisia utakiona normal unachokiogopaMimi panya hata Nyumba nitahama nasikia kinyaa sana ni bora nishike mavi ya mtu mwingine kuliko kumuona panya
Nilikuwa naogopa watu warefu hususan wageni nilipandikizwa kwamba hao ni majini. Utoto we acha tu!Natumai hamjambo wananzengo.
Karibu kila mmoja wetu utotoni alikuwa mwoga, hasa mida ya usiku hata ukitumwa ndani pekee ako huendi mpaka usindikizwe bt kuna tukio moja lilikokua sababu ya ule woga kutoweka hivo karibuni hapa kushare namna uoga ule ulimalizika.
Binafsi siku1 tulienda harusi ya mbali kidogo na washkaji, tukaazimia saa4 usiku ndo utakua muda wa kurudi, muda ulipofika wenzangu wakagoma kurudi, dah! nilitokwa kijasho chembamba maana kesho yake nilipaswa kwenda shule.
Nilijitoa mhanga wa kurudi peke angu huku nikijesemea liwalo liwe, nilitembea kwa woga sana huku nikilia kwa majuto kwa nini nilienda bt hatimaye nilifika home na tangu siku hiyo uoga uliisha.
Je, kwa upande wako woga wako ulimalizikaje?
Ngoja nijaribu kwakweli maana mpaka watoto wanajua baba asipokuwepo taa hazizimwi ndanidah! pole sana mkuu bt uoga ni hisia ukizikataa ndo inakua suluhu ya tatizo jumla.
utotoni kuna vijimambo sana mkuuNilikuwa naogopa watu warefu hususan wageni nilipandikizwa kwamba hao ni majini. Utoto we acha tu!
we jaribu tu utaushinda huo mtihani, we unadhani taa inazuia kitu gani kama sio hisia za woga tuNgoja nijaribu kwakweli maana mpaka watoto wanajua baba asipokuwepo taa hazizimwi ndani
Asante mkuu, nitajaribuwe jaribu tu utaushinda huo mtihani, we unadhani taa inazuia kitu gani kama sio hisia za woga tu