Wale wenzangu tuanaoenda maeneo ya kujirusha hebu tujikumbushe basics za unywaji salama. Mimi nazijua zifuatazo (ingawa mara zingi zizifuati)
1. Epuka kukaa baa ambazo ni hatarishi ; hakikisha unakaa baa ambayo ni rahisi kwako kurudi nyumbani
2. Nidhamu ya kiwango cha kilevi ni muhimu ni bora ukanywa taratibu na kwa muda mrefu. Kula chakula ni muhimu pia.
3. Ukienda bar tafuta sehemu ambayo utakuwa peke yako. Usikae kwenye meza ambazo zina kampani nyingine tayari “huwajui”.
4. Ukiagiza kinywaji fanya mawasiliano na mwili wako hasa ku- control mkojo. Hakikisha umemaliza kinywaji chako kabla ya kwenda short call na ukirudi anza na fresh bia na fresh glass.
5. Daima jenga uhusiano “mwema” na anayekuhudumia kwani kumbuka unapoingia baa “you are a dead body”. Ni huyo muhudumu wako atakeyekuhakikishia usalama wako.
6. Ni busara kujenga utamaduni wa kutoa “tip” kwa huduma uanyopewa. Siku moja itakusaidia maradufu.
7. Heshimu chaguo la kinywaji chako na kamwe usiige au kuchanganya vinywaji “vileo”.
Wewe unazifahamu zipi zingine?
1. Epuka kukaa baa ambazo ni hatarishi ; hakikisha unakaa baa ambayo ni rahisi kwako kurudi nyumbani
2. Nidhamu ya kiwango cha kilevi ni muhimu ni bora ukanywa taratibu na kwa muda mrefu. Kula chakula ni muhimu pia.
3. Ukienda bar tafuta sehemu ambayo utakuwa peke yako. Usikae kwenye meza ambazo zina kampani nyingine tayari “huwajui”.
4. Ukiagiza kinywaji fanya mawasiliano na mwili wako hasa ku- control mkojo. Hakikisha umemaliza kinywaji chako kabla ya kwenda short call na ukirudi anza na fresh bia na fresh glass.
5. Daima jenga uhusiano “mwema” na anayekuhudumia kwani kumbuka unapoingia baa “you are a dead body”. Ni huyo muhudumu wako atakeyekuhakikishia usalama wako.
6. Ni busara kujenga utamaduni wa kutoa “tip” kwa huduma uanyopewa. Siku moja itakusaidia maradufu.
7. Heshimu chaguo la kinywaji chako na kamwe usiige au kuchanganya vinywaji “vileo”.
Wewe unazifahamu zipi zingine?