Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,891
Vitendo hivi ndio ninafanya watu waione kazi YA upolisi Kama kazi ya laana.
Licha ya kuwa kazi nzuri na yaheshima.
Niliwahi washauri wapendao kazi hiyo na watakao kuja kuifanya
Soma hapa👉👉 Utakapokuwa Askari Usisahau mambo haya
Licha ya kuwa kazi nzuri na yaheshima.
Niliwahi washauri wapendao kazi hiyo na watakao kuja kuifanya
Soma hapa👉👉 Utakapokuwa Askari Usisahau mambo haya