utakuwa nanihiiNinaomba vikwazo viwekwe na wazungu pengine watawala watapata akili.
utakuwa nanihiiNinaomba vikwazo viwekwe na wazungu pengine watawala watapata akili.
Hakuna mtawala alie tayari kutoa haki, haki hudaiwa, haki hupiganiwa. Ili mmea uote lazima mbegu Ife.Kwani ni LAZIMA kuandamana kudai vibali? Walikuwa na kibali cha maandamano? Haya ndo tunayosema kila siku, Fuateni utaratibu!! Vinginevyo mtaendelea kulalamika kuonewa, wakati hamfuati utaratibu. Na usipofuata utaratibu, utapigwa tu!
Basi tangulieni wenyewe kwenye maandamano, Lisu, mbowe na lema; siyo kuwarubuni na kuwatanguliza watoto wa maskini kwenye maandamano..tena wengine wavuta bangi! Mbona wamekimbia nchi, njooni andamaneniHakuna mtawala alie tayari kutoa haki, haki hudaiwa, haki hupiganiwa. Ili mmea uote lazima mbegu Ife.
Askari yule si polisi, alikwenda kufanya nini kwenye uchaguzi na sheria haimruhusu?Nimeisikiliza...Kama kweli idadi ya vifo ni kubwa na mateso mengi ni jambo baya..
Lakini swali ni kuwa maafa yalitokea majumbani au mitaani/barabarani? Halafu maalim atafanya jambo la maana Kama ataite belea pia familia ya Askari yule aliyechinjwa Kama kuku
Basi tangulieni wenyewe kwenye maandamano, Lisu, mbowe na lema; siyo kuwarubuni na kuwatanguliza watoto wa maskini kwenye maandamano..tena wengine wavuta bangi! Mbona wamekimbia nchi, njooni andamaneni
Ulidhani kazi ya majeshi ni nini kama si kulinda Amani, RAIA na Mali zao!Mbona mnaweka majeshi na vifaru ya kazi gani au katiba ndivyo ilivyoandikwa?
Kwani ni LAZIMA kuandamana kudai vibali? Walikuwa na kibali cha maandamano? Haya ndo tunayosema kila siku, Fuateni utaratibu!! Vinginevyo mtaendelea kulalamika kuonewa, wakati hamfuati utaratibu. Na usipofuata utaratibu, utapigwa tu!
Kama hutii sheria na unafanya vurugu hadi kurusha mawe na silaha kwa polisi, unategemea nini? Nafikiri jibu unaloNdio wamewalinda kwa kuwauwa? Hao Polisi wana kazi gani ?
Endelea kujidanganya!! Andamana sasaMaandamano kwa mujibu wa sheria hayataki kibali , yanataka taarifa tena ukitaka
2025 kama ataifikisha ofisini basi ni majaliwa ya muumba.Wahutu kwa kawaida yao (Mu-7, Kagame, Nkurunziza) hawaondoki. 2025 akiwa mzima anabadili katiba ama anatafuta Mhutu mwenzie humo CCM. Tutaendelea hivi kwa muda mrefu sana. Na kwa vile ni waoga wa kuandamana, we are in for it.
Huna adabu!!Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote.
Huna heshima!Huna adabu!!
Tafakari juu ya upeo wako wa kufikiri.Bwana Ameir asijali,Maalim akiapishwa kuwa makamo wa Rais atampa lift kilasiku asubuhi.
Najua imekuuma ila vumiia tu,utafanyaje na Hussein Mwinyi na JPM washaapishwa.Tafakari juu ya upeo wako wa kufikiri.
Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya Uchaguzi wa Oktoba 2020.
Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya Ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.
Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457
View attachment 1632458
Unafurahia mauwaji ushetani huo.Basi tangulieni wenyewe kwenye maandamano, Lisu, mbowe na lema; siyo kuwarubuni na kuwatanguliza watoto wa maskini kwenye maandamano..tena wengine wavuta bangi! Mbona wamekimbia nchi, njooni andamaneni
na ya kwako piaID yako inajitosheleza, no comment.
Kwa hiyo kwa kuwa siyo polisi ndiyo achinjwe??!!Askari yule si polisi, alikwenda kufanya nini kwenye uchaguzi na sheria haimruhusu?
Inaonyesha hujaangalia mpaka mwisho umeandika kwa jaziba tu
Jifunze kujibu unaloulizwa?Kama hutii sheria na unafanya vurugu hadi kurusha mawe na silaha kwa polisi, unategemea nini? Nafikiri jibu unalo