Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Cha muhhimu ni kumiliki mkwanja kama wa chibu basi nyingine mbwembwe

Diamond kaja kawakuta wakina afande sele wanaisifia gari ya kuhongwa ya mil 8 leo hii ana zaidi ya billion 11
Huo Mkwanja amewekeza wapi? Hivi zile Karanga ziliishiwa wapi? Nimezisahau jina. Offcourse alikiri kuna mtu alitumia jina so atakuwa analipwa ila sasa sijaona machinga wakikimbizana nazo tena.
 
Pembe la ng'ombe halifichiki mkuu
 
Hata hivyo ngoma nzuri sana za Diamond ni zile za Colabo tu. Nyingine za kawaida tu mbona.
 
Baba lao nyimbo mbovu, kijana kolabo ndizo zinambeba...

NB: nyimbo ya baba lao ameiga beats na jinsi ya kucheza kutoka kwa msanii wa nigeria anayeitwa naira marley.

Same o same o sht!!
hizi ni zile nyimbo za comedy,ambazo huwaga zina hit vibaya mno,nikuulize swali ule wimbo wa plakata rhumba unajua kilichoimbwa mule ndani? nadhan hata utakua ni shahid jins ulivyosumbua ule wimbo.
 
Kwenye comment tuache story za kuponda au kusifia, wewe weka jina la mkali wako hapo kisha tutahesabu kura.

Unaandika mara moja tu kuliko kurudia rudia.

Kura yangu ni kwa: Harmonize - Uno
Unazingua... Weka hizo ngoma hapa..
 
Hio ni nyimbo au kaswida??
Kweli Mond kaanza kupoteza mwelekeo ,,hadi bashite ati nae baba lao
 
Ulichoulizwa na ulichojibu ni vitu vitatu tofauti...BTW nani alilwambia huyo mwingine hapandi wanawakee? Acha chuki uende mbinguni mkuu
 
Ukisikiliza vizuri uno beat ni ngoma ya olamide Otgbana
 
Sema baba lao kacopy wimbo wa soapy.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…