MZEE MKUBWA
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 4,094
- 11,498
mzee punch na kundi hakuwa kiboko tu kwa udsm tu bali hata kwa serikali ya wakati ulee...walishampunch mzee mkubwa ubaoni ikaleta shida sana mpaka wazee wa farasi mweupe wakafika kuchunguza hao punch ni kina nani..Mzee Punch alikuwa kiboko. Masikini wasichana walikuwa wanaogopa kuja kunywa chai ya saa kumi pale Havard.
Lakini ule ulikuwa unyanyashaji wa kijinsia, au vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app