University Admission Results 2020

Man wakifungua 3 Rd weka extension izo coz zingine capacity ya equivalent Ni ndogo.
Sasa mkuu naomba uzoefu wako kuhusu application hapo sua..
Kwann hawaleti ujumbe was kukosa au kuchaguliwa..?
 
Kweli kjna, nimeona vijana wangu wachache wamechaguliwa extension.. Me sikuiweka kaka

Yan iyo coz n Kama general tu mkuu masomo mengi tunashare menilitaka kuchange nikaona Amna kitu kipya..
Mkuu usikate tamaa nilipata 3rd na loan 1 batch na SUA ext ndotulikuwa wa Kwanza kupewa mkopo.
 
Yan iyo coz n Kama general tu mkuu masomo mengi tunashare menilitaka kuchange nikaona Amna kitu kipya..
Mkuu usikate tamaa nilipata 3rd na loan 1 batch na SUA ext ndotulikuwa wa Kwanza kupewa mkopo.
Daaah.. Nitaweka tu aseeh..
Round Iliyopita niliweka kozi za kibabe tupu So naona kimya wakat matokeo tangu yapo conc tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…