P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 371
- 182
You're already matured, acheni utani kwenye mambo serious. Utani Facebook, fateni ratiba ya TCU.
kozi za afya mkopo maximum ni 3.1m, kwahiyo ukipata 100% katika chuo ambacho ada ni 3.7m unaongezea 600k.Unapata, ila wanaangalia ada za public university. Mf MD UDOM ni 1.8M alafu chuo uendacho ada 2M ukipata 100% itabid uongezee 200k
kozi za afya huwa inafika mpaka 3.1MWanakulipia kile kiwango kinachoendana na vyuo vya serikali
Shukrani kwa kuniongezea maarifa zaidi.kozi za afya mkopo maximum ni 3.1m, kwahiyo ukipata 100% katika chuo ambacho ada ni 3.7m unaongezea 600k.
Ilikuaga 2.6m lakini kipindi cha kikwete iliongezeka mpaka 3.1M. Sidhani kama imebadilika tenaShukrani kwa kuniongezea maarifa zaidi.
Sawa sawa Mkuu.Ilikuaga 2.6m lakini kipindi cha kikwete iliongezeka mpaka 3.1M. Sidhani kama imebadilika tena
Sasa hv imerudi kama zamani kwamba Application submittedKwamba hujachaguliwa au
ExactlySasa hv imerudi kama zamani kwamba Application submitted
Mimi niliomba sua sasa nikifungua account wanasema ni continue na application by clicking next button afu ata iyo next msaada plz button haionnekani
Yaaah nilisubummit nikaambiwa imefanikiwa sasa nashangaaaMwanzon ulifanikiwa ku submit application yako?
Kwa muda huu maombi yamefungwa, angalia maranyingi zaidi hiyo itakuwa errors za kimtandao.Yaaah nilisubummit nikaambiwa imefanikiwa sasa nashangaaa
Vyuo vyote bado MkuuNIT mbona bado
Ok asanteVyuo vyote bado Mkuu
Lakini haujaitwa mkuuUzi wa watoto kumbe,endeleeni kupeana taarifa
Sis tupo na mama zetu huku tunabagain kuhusu tuition fee zenu

tatizo la akili kumilikiwa na Dada zako matokeo ndo kama haya kushobokea mambo ya wanaumeUzi wa watoto kumbe,endeleeni kupeana taarifa
Sis tupo na mama zetu huku tunabagain kuhusu tuition fee zenu
Endelea kubwabwaja tu kama kama papa la Amber Ruthtatizo la akili kumilikiwa na Dada zako matokeo ndo kama haya kushobokea mambo ya wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app