Jiwe kuu01
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 228
- 86
Sawa mkuu nimekupata vizuriUnapata, ila wanaangalia ada za public university. Mf MD UDOM ni 1.8M alafu chuo uendacho ada 2M ukipata 100% itabid uongezee 200k
Sawa mkuu nimekupata vizuriUnapata, ila wanaangalia ada za public university. Mf MD UDOM ni 1.8M alafu chuo uendacho ada 2M ukipata 100% itabid uongezee 200k
Uhakika kuanzia week ijayo, vyuo vitaanza kurudisha majibu.
Ety mkuu, kwa sisi ambao tumetumiwa taarifa kuwa tuko fresh kwenye maombi ya mikopo si hatutakiwi kufanya/kubadili chochote hapo kuna taarifa nahisi sikumalizia kutokana na kuwahi mda..
Wanakulipia kile kiwango kinachoendana na vyuo vya serikaliKwamfano let's say umechaguliwa Kozi chuo cha private maybe Ada ni 4 m na kiwango cha serikali kutoa mkopo kwa hiyo Kozi ni 3M huwezi pata kabsa mkopo?
Balaa zitoHatari tupu![]()
Imetoka tenaEmbu ingia tena NIT kwa account yako ucheki
Mimi niliomba sua sasa nikifungua account wanasema ni continue na application by clicking next button afu ata iyo next msaada plz button haionnekaniUDSM na UDOM ndio vyuo vinavyopokea maombi mengi sana hapa Tanzania, wao bado wapo kwenye uchambuzi.
Kwamba hujachaguliwa auImetoka tena
Mwanzon ulifanikiwa ku submit application yako?Mimi niliomba sua sasa nikifungua account wanasema ni continue na application by clicking next button afu ata iyo next msaada plz button haionnekani
Kama Kuna mtu aliomba udsm atume screenshot ya kwnye my application pale, maana Kuna mtu kanambia ukikuta kwnye my application unaambiwa ureapply ujue ndo umekosa hata km selection bado, sasa sijui Ni kwel
weka screenshot mkuuMUHAS kitu kimetema
Weka screenshot mkuuMUHAS kitu kimetema
MUHAS kitu kimetema
Weka screenshot mkuu
haha unawapa watu preshaa...UDSM MAMBO NJEE NJEE INGIENI KWENYE ACCOUNT ZENU JAMANI
jiheshimu hili sio jukwaa la kutaniana.UDSM MAMBO NJEE NJEE INGIENI KWENYE ACCOUNT ZENU JAMANI