Capybara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 241
- 140
Hii ina maana gani mkuu? Kwahiyo watu wakiingia kwenye profile zao ndo watakuta majibu tayari??
Ndugu zangu wa MUHAS mpoView attachment 1588262
Ndugu zangu wa MUHAS mpoView attachment 1588262
Itakuwa walikuwa hawajaanza selection katika maombi yako, saizi hawaruhusu any changes.Kazi ipo, mi juzi kwnye account yangu udsm kulikuwa wananipa maelekeo km nataka kureapply nifanyaje, lakin jion yake ile option ikatoweka, sasa sijui niaje hapo
Kama umeaply MUHAS fungua account yako utupe mrejesho.Hii ina maana gani mkuu? Kwahiyo watu wakiingia kwenye profile zao ndo watakuta majibu tayari??
Tayari zimetoka..?Kama umeaply MUHAS fungua account yako utupe mrejesho.
Haa NIT imetokea kama ivyoQUO
Kuna mdau hapo juu kaonyesha taarifa yenye selection za wanafunzi MUHAS kwa idadi na sio majina.Tayari zimetoka..?
Kama umeaply MUHAS fungua account yako utupe mrejesho.
Uhakika kuanzia week ijayo, vyuo vitaanza kurudisha majibu.Hakuna taarifa mpya,bado kupo vile vile.
Ety mkuu, kwa sisi ambao tumetumiwa taarifa kuwa tuko fresh kwenye maombi ya mikopo si hatutakiwi kufanya/kubadili chochote hapo kuna taarifa nahisi sikumalizia kutokana na kuwahi mda..Hakuna taarifa mpya,bado kupo vile vile.
Kama kuna maneno haya "YOUR APPLICATION FORM WAS VERIFIED AND FOUND TO BE COMPLETE. PLEASE WAIT FOR FURTHER PROCESS" ondoa hofu.Ety mkuu, kwa sisi ambao tumetumiwa taarifa kuwa tuko fresh kwenye maombi ya mikopo si hatutakiwi kufanya/kubadili chochote hapo kuna taarifa nahisi sikumalizia kutokana na kuwahi mda..
Mkuu hii kuangalia unaingia wapKama kuna maneno haya "YOUR APPLICATION FORM WAS VERIFIED AND FOUND TO BE COMPLETE. PLEASE WAIT FOR FURTHER PROCESS" ondoa hofu.
Hii unaangalia kupitia mfumo ulioombea mkopo online. Weka number yako ya form four na password yako then fungua utaona.Mkuu hii kuangalia unaingia wap
Shukran mkuuHii unaangalia kupitia mfumo ulioombea mkopo online. Weka number yako ya form four na password yako then fungua utaona.
Sawa mkuu nmekupata hebu nipambane na mengine but hili LA mikopo naamini sina tatizoMkuu hii kuangalia unaingia wap
Shukrani piaShukran mkuu
Ndio hivyo Mkuu, chakuombea Mkopo upatikane maana idadi ya walioomba ipo 93,000+ na budget 54,000+Sawa mkuu nmekupata hebu nipambane na mengine but hili LA mikopo naamini sina tatizo
Yaaaah, hapo watu watatemwa kwenye status/value ya kozi walizochaguliwa..Ndio hivyo Mkuu, chakuombea Mkopo upatikane maana idadi ya walioomba ipo 93,000+ na budget 54,000+
Hivi value ya Kozi ikizidi kiwango cha HESLB kwa Kozi husika hupati kabisa mkopo?Yaaaah, hapo watu watatemwa kwenye status/value ya kozi walizochaguliwa..
Ndio hivyo Mkuu.Yaaaah, hapo watu watatemwa kwenye status/value ya kozi walizochaguliwa..
Kwamfano let's say umechaguliwa Kozi chuo cha private maybe Ada ni 4 m na kiwango cha serikali kutoa mkopo kwa hiyo Kozi ni 3M huwezi pata kabsa mkopo?Yaaaah, hapo watu watatemwa kwenye status/value ya kozi walizochaguliwa..
Unapata, ila wanaangalia ada za public university. Mf MD UDOM ni 1.8M alafu chuo uendacho ada 2M ukipata 100% itabid uongezee 200kHivi value ya Kozi ikizidi kiwango cha HESLB kwa Kozi husika hupati kabisa mkopo?