University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Kazi ipo, mi juzi kwnye account yangu udsm kulikuwa wananipa maelekeo km nataka kureapply nifanyaje, lakin jion yake ile option ikatoweka, sasa sijui niaje hapo
Itakuwa walikuwa hawajaanza selection katika maombi yako, saizi hawaruhusu any changes.
 
Hakuna taarifa mpya,bado kupo vile vile.
Ety mkuu, kwa sisi ambao tumetumiwa taarifa kuwa tuko fresh kwenye maombi ya mikopo si hatutakiwi kufanya/kubadili chochote hapo kuna taarifa nahisi sikumalizia kutokana na kuwahi mda..
 
Ety mkuu, kwa sisi ambao tumetumiwa taarifa kuwa tuko fresh kwenye maombi ya mikopo si hatutakiwi kufanya/kubadili chochote hapo kuna taarifa nahisi sikumalizia kutokana na kuwahi mda..
Kama kuna maneno haya "YOUR APPLICATION FORM WAS VERIFIED AND FOUND TO BE COMPLETE. PLEASE WAIT FOR FURTHER PROCESS" ondoa hofu.
 
Yaaaah, hapo watu watatemwa kwenye status/value ya kozi walizochaguliwa..
Kwamfano let's say umechaguliwa Kozi chuo cha private maybe Ada ni 4 m na kiwango cha serikali kutoa mkopo kwa hiyo Kozi ni 3M huwezi pata kabsa mkopo?
 
Hivi value ya Kozi ikizidi kiwango cha HESLB kwa Kozi husika hupati kabisa mkopo?
Unapata, ila wanaangalia ada za public university. Mf MD UDOM ni 1.8M alafu chuo uendacho ada 2M ukipata 100% itabid uongezee 200k
 
Back
Top Bottom