P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 371
- 182
sawa MkuuUzi wa watoto kumbe,endeleeni kupeana taarifa
Sis tupo na mama zetu huku tunabagain kuhusu tuition fee zenu
sawa MkuuUzi wa watoto kumbe,endeleeni kupeana taarifa
Sis tupo na mama zetu huku tunabagain kuhusu tuition fee zenu
IT wao kavujisha matokeo![]()
uuuuuuuuuuuuuuuuuuuwiiiiiii
ni balaaa kaka (st francis nimekosa jana, muhas pia leo nimekosa) naanza kujiiishi ni mtu mwenye gundu sana.Mbona asubuhi asubuhi jamani![]()
ni balaaa kaka (st francis nimekosa jana, muhas pia leo nimekosa) naanza kujiiishi ni mtu mwenye gundu sana.







acha masiharanaanza kuitamani UDOM mabayo nilikuwa siiipendiacha masihara
ni balaaa kaka (st francis nimekosa jana, muhas pia leo nimekosa) naanza kujiiishi ni mtu mwenye gundu sana.
nilichagua MDSikilizia second round,unaweza pata kimoja wapo
nilichagua MD
nilichagua MD
Inamaana MUHAS washaachia majina?