vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,285
- 820
Tusubiri mkuu muda bado ndo kwanza saa mbiliVyuo vingine vinachelewesha tu.. what could be wrong?
Tusubiri mkuu muda bado ndo kwanza saa mbiliVyuo vingine vinachelewesha tu.. what could be wrong?
Tusubiri mkuu muda bado ndo kwanza saa mbili
Round one saizi ilikuwa tayari karibia Kila chuo kishatoaTusubiri mkuu muda bado ndo kwanza saa mbili
Round one saizi ilikuwa tayari karibia Kila chuo kishatoa
weka na private na vyuo visivyokuwa na majina unaweza kubahatishaaaMD Mkuu
MUHAS kitu kimetema check your account status
mimi mpaka muda huu nimeshakosa vyuo 2 (st francis na muhas) bado vyuo 6 niliombaVyuo vingine vinachelewesha tu.. what could be wrong?
Dogo wako mwanamke au mwanaume?Dogo alipata awamu ya kwanza.. Nimeingia leo kwenye akaunt yake wamemuandikia hivyo.. Hayo maandishi mekundu hapo...Na wengine pia mliopata Udom Kuna hayo maandishi mekundu? View attachment 1609961
Jamani wameghairi matokeo ya second selection mpaka tarehe 29
TCUInformation kutoka wapi.?
Poleni wale manaosubilia second round, hakika Mungu yupo pamoja nanyi. Msikate tamaa hili ni jambo la muda tu.
DaaahMATOKEO OFFICIAL YA SECOND ROUND YANATOKA TAREHE 29/10/2020 BY TCU
Wamefanya makosa makubwa sana na uenda vikafutwa kabisaaaHivi inakuaje kwa vyuo ambavyo vilikuwa vimeanza kutoa selection