University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Dogo alipata awamu ya kwanza.. Nimeingia leo kwenye akaunt yake wamemuandikia hivyo.. Hayo maandishi mekundu hapo...Na wengine pia mliopata Udom Kuna hayo maandishi mekundu?
IMG_20201023_220429.jpeg
 
Ni kwel kabsa hana multiple Maana kama angekuwa na multiple wangemwambia kabsaa

Nasema hivyo kwasabab;
TCU ndio huwa wanathibitisha kwamba huyu mwanafunzi amechaguliwa Zaid ya chuo kimoja , inawezekana matokeo yametoka TCU na wao wamejidhihirisha kwamba amechaguliwa chuo hicho2
 
Ni kwel kabsa hana multiple Maana kama angekuwa na multiple wangemwambia kabsaa

Nasema hivyo kwasabab;
TCU ndio huwa wanathibitisha kwamba huyu mwanafunzi amechaguliwa Zaid ya chuo kimoja , inawezekana matokeo yametoka TCU na wao wamejidhihirisha kwamba amechaguliwa chuo hicho2
Ngoja tuone tomorrow mkuu
 
Ni kwel kabsa hana multiple Maana kama angekuwa na multiple wangemwambia kabsaa

Nasema hivyo kwasabab;
TCU ndio huwa na thibitisha kwamba huyu mwanafunzi amechaguliwa Zaid ya chuo kimoja , inawezekana matokeo yametoka TCU na wao wamejidhihirisha kwamba amechaguliwa chuo hicho2
yaap!!!
nazani kesho ndugu yangu vampire123 atajioneaaa

lakini nipende kumpa moyo, huenda system ya round 2 ipo kivingine
kwaiyo kesho ndo itahukumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora kusubiria Matokeo ya mtihani maana unajua kitu ulichojibu kwenye mtihani kama ulijibu utumbo unajua kabisa lakini sio kusubiria selection za chuo loh!...nilikesha nasali wiki nzima...ilibaki kidogo nipungue kilo...Mungu akajibu 1 round ile ile.
 
Bora kusubiria Matokeo ya mtihani maana unajua kitu ulichojibu kwenye mtihani kama ulijibu utumbo unajua kabisa lakini sio kusubiria selection za chuo loh!...nilikesha nasali wiki nzima...ilibaki kidogo nipungue kilo...Mungu akajibu 1 round ile ile.
Wegine tulisha anda mabengi tayar kwanjili ya Safar
 
Back
Top Bottom