Akibonyeza apo anacancel hiyo nafasiDogo alipata awamu ya kwanza.. Nimeingia leo kwenye akaunt yake wamemuandikia hivyo.. Hayo maandishi mekundu hapo...Na wengine pia mliopata Udom Kuna hayo maandishi mekundu? View attachment 1609961

usije ukajaribu...hiyo kila chuo ipo mzeeDuuuuh ni shidaaa asee.. Leo angenilaumu kupitiliza kwa kweli asee.Akibonyeza apo anacancel hiyo nafasiusije ukajaribu...hiyo kila chuo ipo mzeeView attachment 1609964
apo huna multipleiringa university io ila ngoja nisubiri vyengine kesho
Wengine hawajatoa bro
Mkuu kwa hio screenshot..ni wazi hauna multiple ndugu angu...lakini anyway ngoja tuonendo mm mwenyewe nashangaa ngoja kesho ndo tutajua mbivu na mbichi. hapa vimebaki vinne
Ingekuwa ivyo huku mzumbe ningepewa taarifa kuwa nina prior admission pengine ila hamna hicho kitu mkuu ngoja tuoneMkuu kwa hio screenshot..ni wazi hauna multiple ndugu angu...lakini anyway ngoja tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa tuombee Mungu. marejesho ni hapahapaIngekuwa ivyo huku mzumbe ningepewa taarifa kuwa nina prior admission pengine ila hamna hicho kitu mkuu ngoja tuone

Ngoja tuone tomorrow mkuuNi kwel kabsa hana multiple Maana kama angekuwa na multiple wangemwambia kabsaa
Nasema hivyo kwasabab;
TCU ndio huwa wanathibitisha kwamba huyu mwanafunzi amechaguliwa Zaid ya chuo kimoja , inawezekana matokeo yametoka TCU na wao wamejidhihirisha kwamba amechaguliwa chuo hicho2




Naaam mkuu ngoja tusubirNgoja tuone tomorrow mkuu![]()
yaap!!!Ni kwel kabsa hana multiple Maana kama angekuwa na multiple wangemwambia kabsaa
Nasema hivyo kwasabab;
TCU ndio huwa na thibitisha kwamba huyu mwanafunzi amechaguliwa Zaid ya chuo kimoja , inawezekana matokeo yametoka TCU na wao wamejidhihirisha kwamba amechaguliwa chuo hicho2
kwanza nikupongeze kwa kupata nafasi .. nyota njema huonekana asubuhiNgoja tuone tomorrow mkuu![]()
Thanks brokwanza nikupongeze kwa kupata nafasi .. nyota njema huonekana asubuhi
subiri na hivyo vingine kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Wegine tulisha anda mabengi tayar kwanjili ya SafarBora kusubiria Matokeo ya mtihani maana unajua kitu ulichojibu kwenye mtihani kama ulijibu utumbo unajua kabisa lakini sio kusubiria selection za chuo loh!...nilikesha nasali wiki nzima...ilibaki kidogo nipungue kilo...Mungu akajibu 1 round ile ile.
Tumshukuru Mungu aisee.Wegine tulisha anda mabengi tayar kwanjili ya Safar
Wakuu vi huko account za udsm sua na udom hali ikoje tayar au tujueTumshukuru Mungu aisee.
MUHAS kitu kimetema check your account status