cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Mimi nilishamaliza bachelor siku mingi sasa hivi nawaza PhDusjal dada ang..nina hakika utapata second round..so relax ok?
Mimi nilishamaliza bachelor siku mingi sasa hivi nawaza PhDusjal dada ang..nina hakika utapata second round..so relax ok?
Kuna walioomba dirisha la kwanza na hawajapata hivi selection Zina upendeleo Sana, Ina maana diploma hawana haki
anhaaaa hongera sana!!!Mimi nilishamaliza bachelor siku mingi sasa hivi nawaza PhD
yapDiploma wengi wanaangalia matokea ya O level, na pia course iwe relevant, usisahau GPA pia..
GPA kubwa tu halafu wanaangaliaje olevel wakati mtu alianza certificate, waache kunyima watu nafasiDiploma wengi wanaangalia matokea ya O level, na pia course iwe relevant, usisahau GPA pia..
Duh ndio naomba hvoanhaaaa hongera sana!!!
huyo ndug atapata tu ..relax
Wakuu naomba mwenye majina ya UDSM na UDOM asanteniDaaah nmeshndwa Ku log in ...kweny account ya mzumbe kila nikiweka username na password vnagoma ......kwa anaejua anisaidie
ingia apo kwenye Ku reset password unajaza email uliyo tumia Ku apply wataku2mia username na utachange password piaDaaah nmeshndwa Ku log in ...kweny account ya mzumbe kila nikiweka username na password vnagoma ......kwa anaejua anisaidie
Basi bahati yaoujachaguliwa mwenyewe mkuu mbona wengi tu wamechaguliwa
ha
nimechaguliwa MUHAS.wakuu kuna walio tokea diploma wachaguliwa??? coz naona 95% wamepigwa chin tatizo n nin?
GPA kubwa tu halafu wanaangaliaje olevel wakati mtu alianza certificate, waache kunyima watu nafasi
Shida sio olevel, maana wengine wameanza certificate,then diploma na qualifications ni kuanzia GPA ya tatu. So hyo ya olevel doesn't make senseOlevel ndowanakazia hapo.
Jamaa angu kapata SUA.Vyuo gani hvyo..?
inategemea na kozi uliyoomba waliweka vigezo gani, Kuna kozi zimesema wazi GPA inayotakiwa na pass mark za OlevelShida sio olevel, maana wengine wameanza certificate,then diploma na qualifications ni kuanzia GPA ya tatu. So hyo ya olevel doesn't make sense
Nafasi za diploma zinakuwa chache, vyuo vinaweka kipaumbele kwa wale wanaotoka kidato cha 6. Katika mchakato wa kuchagua waliotokea diploma kama wamefungana kwa GPA wataangalia zaidi matokeo ya form 4, yule mweneye matokeo mazuri atapewa kipaumbele.Shida sio olevel, maana wengine wameanza certificate,then diploma na qualifications ni kuanzia GPA ya tatu. So hyo ya olevel doesn't make sense
Matokeo yake mazuri na GPA pia, hyo ya kusema vyuo wanachagua Sana form six nakubaliana na wewe Ila hawatendi haki kwa equivalent, maana vyuo vyote form six ndio wamepata vyuo Sana na diploma ni Sijaona sanaNafasi za diploma zinakuwa chache, vyuo vinaweka kipaumbele kwa wale wanaotoka kidato cha 6. Katika mchakato wa kuchagua waliotokea diploma kama wamefungana kwa GPA wataangalia zaidi matokeo ya form 4, yule mweneye matokeo mazuri atapewa kipaumbele.
GPA sio shida, maana naona vyuo waliotoka advance ndio kiupaumbele sanainategemea na kozi uliyoomba waliweka vigezo gani, Kuna kozi zimesema wazi GPA inayotakiwa na pass mark za Olevel
mfano una GPA kali, na secondary ulipiga fresh, ulinganifu kumdhidi wa ADVANCE , unahisi watakuacha!!??GPA sio shida, maana naona vyuo waliotoka advance ndio kiupaumbele sana
Hapo tunaongelea equivalent, kwahyo waachwe maana selection nyingi nimepitia ni wa advance tu 9o percent, unafikiria wa diploma huwa hawasomj maana wale diploma ile ni pre degree ile tofauti na advance. So concern yangu why diploma hawakupewa nafasi zaidi. Ina maana wote hawakuwa na vigezomfano una GPA kali, na secondary ulipiga fresh, ulinganifu kumdhidi wa ADVANCE , unahisi watakuacha!!??