Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,856
- 32,659
Mwenyew ndo nasubiriawakuu kuna ambae amefanikiwa ku-confirm mzumbe?
Mwenyew ndo nasubiriawakuu kuna ambae amefanikiwa ku-confirm mzumbe?
mimi tayariMwenyew ndo nasubiria
Human resorcmimi tayari
unachukua kozi gani
bonyeza request code jaza namba za simu na email yako then tuma alf utatumiwa code kwenye sms ya kawaida halafu utaijaza hapo then bonyeza confirm.Npe procedure mkuu
Sana mkuu ngoja niendebonyeza request code jaza namba za simu na email yako then tuma alf utatumiwa code kwenye sms ya kawaida halafu utaijaza hapo then bonyeza confirm.
Tunatumia account hizo hizomwenye kujua, je second round kwa sisi tuliiomba chuo kwenye 1st round tukakosa inatakiwa tulipe tena au tutatumia account zetu izi izi kuomba upya, msaada wenu tafadhali??
Mkuu inamana pale walipoandika request confirmation code ambapo ukibonyeza ndo unaambiwa uweke mobile number, ndio hapo unapojaza number za cm pamoja na email kwa pamoja?bonyeza request code jaza namba za simu na email yako then tuma alf utatumiwa code kwenye sms ya kawaida halafu utaijaza hapo then bonyeza confirm.
Mi nilisoma hii, ndo naiona sasa hvCourse uliyomba inatakiwa mtu aliyesoma business au science A level jaribu kuomba business administration, marketing au human resources izo ndo awanaweza kukuchukuaView attachment 1594939
Wanazinguaga sana kuna mshikaji tulisoma nae diploma ya public sector accounting and finance alitokea form 6 hkl wakamgomea kuingia degree ikabidi ainzie diplomaMi nilisoma hii, ndo naiona sasa hvView attachment 1594967
Maisha sio fair kabisa yan na one yangu ya PCB nimekula knockout




ndo life vileAcha waende tu
Duh sio poaWanazinguaga sana kuna mshikaji tulisoma nae diploma ya public sector accounting and finance alitokea form 6 hkl wakamgomea kuingia degree ikabidi ainzie diploma



yaahMkuu inamana pale walipoandika request confirmation code ambapo ukibonyeza ndo unaambiwa uweke mobile number, ndio hapo unapojaza number za cm pamoja na email kwa pamoja?
Poa mkuuyaah
Kama umechaguliwa chuo kimoja hamna haja ya kuconfirm.subr usajili tum kuhusu kuaply chuo kingine ni ngumu..maana tayari upo admitted kwenye system na TCU kwamba ww ni mwanachuo wa chuo fulani...labda uwahi hicho chuo ulichochaguliwa waku cancel...hii ni ngumu pia..labda kama umeconfirm chuo usichokitaka na kuna chuo kingne umechaguliwaHv ulichaguliwa chuo kimoja(single admission)nawewe unatakiwa ucomfirm au kufanya kitu chochote kuonyesha utajiunga na chuo husika?? Na he naweza kuomba vyuo vingine duru la 2