University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Matokeo yake mazuri na GPA pia, hyo ya kusema vyuo wanachagua Sana form six nakubaliana na wewe Ila hawatendi haki kwa equivalent, maana vyuo vyote form six ndio wamepata vyuo Sana na diploma ni Sijaona sana
Ndio maana yake, ushindani kwa wanaoingia kwa diploma ni mkubwa sana, unaweza kukuta chuo kinatoa nafasi 10 kwa ajili ya watu wenye diploma na 90 kwa waliomaliza form 6.

Hata mchakato wa kuwachagua wenye diploma kwenye mifumo yao hufanyika tofauti, sio haki ila wao hawapendelei sana kuchukua watu waliopitia mfumo wa NACTE.
 
Ndio maana yake, ushindani kwa wanaoingia kwa diploma ni mkubwa sana, unaweza kukuta chuo kinatoa nafasi 10 kwa ajili ya watu wenye diploma na 90 kwa waliomaliza form 6.

Hata mchakato wa kuwachagua wenye diploma kwenye mifumo yao hufanyika tofauti, sio haki ila wao hawapendelei sana kuchukua watu waliopitia mfumo wa NACTE.
Hapo una hoja ya msingi ulivo dadavua vizuri nimekuelewa Ila hyo bias not fair oooh.
 
Hivi mtu aliesoma diploma ya accounting and Transport finance akaomba udsm bcom accounting labda af wasimselect na reason pale wakaandika Area of study not relevant, apo inakuaje wakuu
 
Hivi mtu aliesoma diploma ya accounting and Transport finance akaomba udsm bcom accounting labda af wasimselect na reason pale wakaandika Area of study not relevant, apo inakuaje wakuu
Inamaana diploma haihusiani na hiyo Bcom in Accounting
 
Hapo tunaongelea equivalent, kwahyo waachwe maana selection nyingi nimepitia ni wa advance tu 9o percent, unafikiria wa diploma huwa hawasomj maana wale diploma ile ni pre degree ile tofauti na advance. So concern yangu why diploma hawakupewa nafasi zaidi. Ina maana wote hawakuwa na vigezo
Mbon Mimi diploma nimepata guys
 
Nafasi za diploma zinakuwa chache, vyuo vinaweka kipaumbele kwa wale wanaotoka kidato cha 6. Katika mchakato wa kuchagua waliotokea diploma kama wamefungana kwa GPA wataangalia zaidi matokeo ya form 4, yule mweneye matokeo mazuri atapewa kipaumbele.
Bro kikubwa GPA amna lolgologo nyingine Kama unagpa kubwa lazima utoboe
 
Mbon Mimi nimepata mkuu nimetoka diploma unavyo omba jalibu kuliganisha coz yako uliyo soma na unayo taka kuomba
Labda bahati and competition tu basi sio kwamba vigezo vilikuwa hamna
 
Bro kikubwa GPA amna lolgologo nyingine Kama unagpa kubwa lazima utoboe
Sio longo longo mimi naongelea yaliyo nyuma ya pazia GPA kubwa inasahidia, lakini fact inabaki pale pale nafasi za Diploma ni chache mno kulinganisha na wale waliotoka Form 6, fuatilia trend ni wangapi wanasoma diploma UCC ya Computing and IT na ni wangapi walijaribu kuomba UDSM Computer Science na ni wangapi wanachaguliwa hapo hapo Computer science, kuna mtu mkubwa aliwahi kusema huwa hawataki kabisa watu wadiploma idarani kwao, wanaweka kwa sababu tu ya muongozo wa TCU na Mamagement ya vyuo ndio maana wanaweka nafasi chache. Mtu mwenye diploma ya 4.2 -4.5 GPA anaweza kutemwa wakati mtu mwenye aliyemaliza form 6 n division 2.10 - 2.12 akachaguliwa.
 
Asante mkuu ....vp lkn kuna tofaut gan ya kiutendaj kat ya PC na SiMU kwny hili suala.
Sina utaalamu sana..ila huwa website zingine hazi run effective kwenye simu. Hivyo pc huwa chaguo sahihi.au kama pc haipo jaribu kutumia chrome kule juu kuna option ya kufanya muonekano wa pc. Inaitwa desktop view.huwa inanisaidia pia
 
Back
Top Bottom