Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Round ya pili inafunguliwa lini?
mbn ye ajasema.....Wewe huyo jamaa sio boy, huyo ni man
Round ya pili inafunguliwa lini?
DIT tokea juzi tayar
Number gani form4?wametoa yote. kama mtu hana Mb anipe majina yake au namb yake,namcheki chap.
utaniita King Slayer
Ukiona hivyo umekosa boss..! Subiri duru la pili
Ukiona hivyo umekosa boss..! Subiri duru la pili

Eeeeh!
Kweli au utaniUkiona hivyo umekosa boss..! Subiri duru la pili
Unataka link ipi mkuu ingia kwenye account yako uliyo creat wakati unafanya application. Utakuta mambo hukoMwenye link ya selection za sua tafadhali aweke
namba yako ya usajili.Number gani form4?
Me nipo SUA tayar Kuna mtu nilimuapply naona acct iko vilevile.Kwani nawe uliomba SUA..?
Mkuu subiri round ya pili Kuna uwezekano mkubwa Sana ukapata kwenye Round ya pili wamekuweka akiba
Course uliyomba inatakiwa mtu aliyesoma business au science A level jaribu kuomba business administration, marketing au human resources izo ndo awanaweza kukuchukuaNina div 2 ya mwanzo hkl na nina C ya math o level
Maisha sio fair kabisa yan na one yangu ya PCB nimekula knockoutTuliopigwa knockout vyuo vyote tulivyo apply karibu kwenye benchi tusubiri second![]()