University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Samahani mkuu, kuna mdogo wangu aliaplai hapo muhimbili na yeye ila saa hizi akijaribu kuingia kwenye acc yake inagoma kwamba amekosea username, wakati username yake ndo iyoiyo (ni email yake ndo alitumia kama username) sasa sijaua kama ni kweli username za muhimbili ni email au kuna format nyingine tofauti dogo atakua amesahau? Msaada tafadhali hapo kwenye username.
 
Samahani mkuu, kuna mdogo wangu aliaplai hapo muhimbili na yeye ila saa hizi akijaribu kuingia kwenye acc yake inagoma kwamba amekosea username, wakati username yake ndo iyoiyo (ni email yake ndo alitumia kama username) sasa sijaua kama ni kweli username za muhimbili ni email au kuna format nyingine tofauti dogo atakua amesahau? Msaada tafadhali hapo kwenye username.
user ni ile namb yake ya usajili wa secondary
 
Kama Kuna mtu aliomba udsm atume screenshot ya kwnye my application pale, maana Kuna mtu kanambia ukikuta kwnye my application unaambiwa ureapply ujue ndo umekosa hata km selection bado, sasa sijui Ni kwel
Na upande wa sua vp kwa aliyekosa wanaandika vp
 
Wakuu naombeni kuuliza second round watatoa nafasi zilizobaki au vp ani selection ya coz
Mwenyewe nilikuwa nahitaji nijue.. Yaan chuo husika kiorodheshe kozi zote zilizobaki na nafasi zinazohitajika itakuwa rahisi sana ku-arrange kozi wakati wa kuomba
 
wale wa WATER INSTITUTE Ubungo pale...mkaangalie kwenye account zenu
 
Umepata code mkuu? Wananiambia invalid request!
Muda wa ku confirm bado Mkuu, subilini TCU itoe majina rasimi ya waliodahiliwa vyuo vikuu. Sasa hapo ndio TCU itatoa siku chache kwa ajiri ya kuruhusu wale waliochaguliwa vyuo zaidi ya kimoja kuconfirm.

Kumbuka kuwa: Vyuo vyote vipo chini ya TCU, hivyo TCU ndio itatoa utaratibu Jumatatu.

Zaidi tena, hadi sasa zaidi ya 98% ya Universities wamemaliza selection tayari. Kwasasa wanawasilisha majina TCU for further process.
 
Baadhi ya watu Dashboard zao hazijabadilika status haipo hii ina maana gani ?

Kuna jamaa nae dashboard yake hamna ujumbe wowote ..

Kuna mtu ile mara ya kwanza aliambiwa hajachaguliwa ila sasa amechaguliwa?
 
Muda wa ku confirm bado Mkuu, subilini TCU itoe majina rasimi ya waliodahiliwa vyuo vikuu. Sasa hapo ndio TCU itatoa siku chache kwa ajiri ya kuruhusu wale waliochaguliwa vyuo zaidi ya kimoja kuconfirm.

Kumbuka kuwa: Vyuo vyote vipo chini ya TCU, hivyo TCU ndio itatoa utaratibu Jumatatu.

Zaidi tena, hadi sasa zaidi ya 98% ya Universities wamemaliza selection tayari. Kwasasa wanawasilisha majina TCU for further process.
Sorry na Kama umechangua chuo kimoja na ndo ulicho omba Kuna aja ya kucofirm
 
Back
Top Bottom