ubnt
Member
- Jul 21, 2020
- 85
- 56
hapatiKuna mdogo Wang ana division two ya point kumi (PCB) .nilimuombea nursing UDOM.. sasa Sijui Kama atapata maana huko St Francis university of health and allied science amekosa MD.
hapatiKuna mdogo Wang ana division two ya point kumi (PCB) .nilimuombea nursing UDOM.. sasa Sijui Kama atapata maana huko St Francis university of health and allied science amekosa MD.
Kwanini mzee.. Au upo kwenye senate ya chuo.hapati
Uko sahihi kabisa.Hivi vyuo vya afya vya serikali kama kwenu kuna hela na ulifaulu vizuri..sio vya kushughulika navyo kabisa...ni heri uombe vya private....
Mara chache MUHAS kuchukua round 2. Wao inakuwaga 1 tu unless kuwe na wachache wasiokwenda kuripoti na hyo inakuwa ni nadra sana.Sikilizia second round,unaweza pata kimoja wapo ngoja kwanza waconfirm hao walobahatika kuchagulia round I
Hivi vyuo vya afya vya serikali kama kwenu kuna hela na ulifaulu vizuri..sio vya kushughulika navyo kabisa...ni heri uombe vya private....
Na mm nimeshangaa sana kumbeKumbe huu uzi ni wa wanafunzi
Mara chache MUHAS kuchukua round 2. Wao inakuwaga 1 tu unless kuwe na wachache wasiokwenda kuripoti na hyo inakuwa ni nadra sana.
Kafanya jambo la msingi, maana dunia ipumuekuna jirani yangu jana usiku kanywa sumu kakosa muhas
Acha huruma za ivo, form six mtu mzima, akijiua ni uzembe.Daah hv vitu vina hatari kiukweli hvyo tupunguze lugha ngumu
Nitakuwa wakwanza kukujuza, ila nawewe uaijiue kama mwenzako.jamani UDOM ikitema tuambiane kabisaaaaaaaaaa
Diploma, nafasi zinatengwa chache pia hawawi wengiKwa Form six zinafikaga hadi round 3 ila kwa wanaotokea Diploma nafasi zinajaaga mapema
Diploma, nafasi zinatengwa chache pia hawawi wengi
ndio chuo gani ikiChuo Cha MUM tayari, mambo ji supaaa