University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Cha msingi ni kunywa maji mengi na kushusha pumzi maisha yaendelee,kwa wale wa Diploma turudi tu kwenye soko la ajira tupambane.
Ndo maana anamwambia asubiri mbona watu mnapenda kufanya maisha yawe magumu.. Unapenda kumvunja moyo mwenzio.. Sio fine
 
Aisee naona ushindani ulikuwa mkubwa au tokeo la Form four lilichangia
Yaaaah, ila wapo waliopata Muhas kutokea dip.. Kama wapo watuwekee hapa performance zao zote za olevel na dip tufahamu Muhas walidiri VP kwenye hiz selection
 
Yaaaah, ila wapo waliopata Muhas kutokea dip.. Kama wapo watuwekee hapa performance zao zote za olevel na dip tufahamu Muhas walidiri VP kwenye hiz selection
mim Olevel nilikuwa na Div One, Dip nilikuwa na gpa 4.3 , naambiwa hapa nimeliwa kichwa??.

harafu Hata mkopo sijawaomba
IMG_20201005_085104.jpg
 
Kila la kheri vijana.. wa afya kupata nafasi ni jambo moja... Shule mtakayoikuta huku "University" ni jambo lingine
 
Kila la kheri vijana.. wa afya kupata nafasi ni jambo moja... Shule mtakayoikuta huku "University" ni jambo lingine
kupata nafasi ni kazi ngumu, kusoma ni kazi nyepesi sana
 
Mimi nilishawaambia mtaani kwangu kuwa naenda kusoma udaktari mwaka huu mpaka sasaivi sijachaguliwa sijui itakuwaje hii aibu jamani
 
Mimi nilishawaambia mtaani kwangu kuwa naenda kusoma udaktari mwaka huu mpaka sasaivi sijachaguliwa sijui itakuwaje hii aibu jamani
Bora ww mm niliprint T-shirt kabsa nimejiandika Dr jiwe kuu ila ninayoyaona yanakatisha tamaa
 
Mimi nilishawaambia mtaani kwangu kuwa naenda kusoma udaktari mwaka huu mpaka sasaivi sijachaguliwa sijui itakuwaje hii aibu jamani
Muwe mnaomba ushauri kwa kaka na dada zenu waliopo vyuoni wakati wa kuomba nafasi!
 
Kuna mdogo Wang ana division two ya point kumi (PCB) .nilimuombea nursing UDOM.. sasa Sijui Kama atapata maana huko St Francis university of health and allied science amekosa MD.
 
Back
Top Bottom