reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 11,948
- 28,246
Wewe mvutaji Mack D aka Mack dizoDah. Ila alizidisha kuvuta
Wewe mvutaji Mack D aka Mack dizoDah. Ila alizidisha kuvuta
Mda sanaaaaMkuu acha basi! Mbona unataka tuishi kwa mawazo hapo kwa Kabula
Inamana siku hizi anakula mbaazi?!
Enika RoyEnika Kaka yake Hardmad
Huseiyn Tuwa ,mtunzi mashuhuri Sanaa huyuu kakaMembers wawili wa Unique Sisters (mkubwa na mdogo kabisa) wanafanya kazi kwenye media kama ilivyo kwa kaka yao Ramadhani Tuwa, ila yule wa kati aliolewa na Mjapan na anaishi Japan, hii ni mojawapo ya sababu ya wao kuacha muziki, japo sababu nyingine kubwa inasemekana ni dhuluma iliyokuwepo wakati huo kwa media fulani ya wazee.wa fursa. Nimewahi kufanya kazi na mama yao Sango Kipozi na kaka zao wawili: Hussein na Ramadhani Tuwa...
Ina maana hujui kama Mez B ni marehemu, au ndo unatoka jela?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Huyo simjuiMwenzake Suma lee
Dada yake akiitwa Joelina,walikuwa wazuri.2019 nilimuona OUT akifanya mtihani Fulani kama kafumbaa vile.Joan Kataraiya, huyo bint aliwahi kuwa jirani yangu BK miaka hiyo, pia alikuwa na dada yake na yeye alikuwa balaa.
Hlf huyo fatma sijui yupo wapi, ana sauti nzuri sn.Enika Roy
Hardmad dada Ake Fatma wameimba tamalaa
Aah kumbe ni kk yao! Nlikua sijuiHuseiyn Tuwa ,mtunzi mashuhuri Sanaa huyuu kaka
Yes Joelin John Kataraiya, walikuwa noma sanaDada yake akiitwa Joelina,walikuwa waziri.2019 nilimuona OUT akifanya mtihani Fulani kama kafumbaa vile.
Duuuu! Edit mada tuchangieWale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?
Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.
Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Zuwena ndio nani?Zuwena ni marehemu kama si 2009/10. Sister P Tom boy wangu ndio sijajua anafanya nini kwa sasa
Langa ni podaLanga pia
Mkuu njoo pmYeah, dawa ya viboro dinda hiyo.
Pneumonia, ni moja ya OIs, ukiwa na ngoma, inakuondoa fasta wala hairembi
Zay B mkuu, mpinzani wake mkuu Sister PZuwena ndio nani?
Kwani Zay b alishafariki?Zay B mkuu, mpinzani wake mkuu Sister P
Yupo mzima wa afya tele tunachakata mbususu yake hukuKwani Zay b alishafariki?
Waleee, wamekaa paleWale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?
Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.
Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Alikua na kifua fulani hivi amazingKwani Zay b alishafariki?
Mh au nilimchanganya?🙄Kwani Zay b alishafariki?