Ungependa kutoka na nani hapa JF....

ha haaaaaaa... son, i see you went for the jugular!!!

I would definitely look for Preta or Lilyflower:smile-big:

Hivi hakuna anatakayependa kwenda na boflo?
hahahahaha!.......
you can say that again
 
i woul like to go out with LILY FLOWER

Kwa kweli ni Preta sasa sijuwi na ile avatar au kuna mengine I do not know kwa kweli.

Preta au BHT (If they are really females and not married)

ha haaaaaaa... son, i see you went for the jugular!!!

I would definitely look for Preta or Lilyflower:smile-big:

Hivi hakuna anatakayependa kwenda na boflo?

Mie ni kati ya PRETA, na BHT au wote

Dah!

Dada zangu wana kazi kwelikweli! Big brother wao naangalia tu hapa.
 
NN mwanzisha mada I wish uliweka conditions mojawapo ikiwa mtu akishatajwa (picked) asitajwe tena. Naona ishakuwa fujo sasa kila mtu sasa anamtaka Preta Preta noma hii hapa sio Manzese wakuu. Ila the good thing ni kwamba I was the first to pick Preta so mliofuata wote imekula kwenu tafuteni wengine, of course bado yeye Preta mwenyewe ndio mwamuzi wa mwisho.
hahaaa

hivi kuna ratio sawia kweli kati ya ladies and gentlemen humu? haya bana... nimejitoa basi, faidi!
 
NN mwanzisha mada I wish uliweka conditions mojawapo ikiwa mtu akishatajwa (picked) asitajwe tena. Naona ishakuwa fujo sasa kila mtu sasa anamtaka Preta Preta noma hii hapa sio Manzese wakuu. Ila the good thing ni kwamba I was the first to pick Preta so mliofuata wote imekula kwenu tafuteni wengine, of course bado yeye Preta mwenyewe ndio mwamuzi wa mwisho.
Ahaahahaaaaah mkuu Bobby ngoja tumsubiri Preta mwenyewe achague atatoka na nani.
 
I will go for Nguli
A%20S%208.gif
 
Kama vile sijaelewa swali ..ngoja nipate b/fast kwanza ?Mtoa mada Kama nikitaja kina dada wenzangu sawa si sawa?.................................
 
Boflo na Bwabwa laweza kuwa chaguo la kwanza la ......................:target:
 
hehehehe!MUHIMU......

ngoja aje preta mwenyewe afanye maamuzi mazito

uzuri wa lily-flower HAGOMBEWI NA MTU HAPA

Ngoja niwapigie simu dada zangu wajihadhari na mafataki wa Avatar!
 
Boflo na Bwabwa laweza kuwa chaguo la kwanza la ......................:target:

Hahaha! kiongozi nimekuelewa.

Nilijua line ya tigo unawapigia kina dada peke yao. Kumbe........................ pole zangu nyingi:target:
 
Kama vile sijaelewa swali ..ngoja nipate b/fast kwanza ?Mtoa mada Kama nikitaja kina dada wenzangu sawa si sawa?.................................
Mtoa mada kasema 'rafiki wa kimapenzi', jahadhari usionekana lesbian!
 
Hahaha! kiongozi nimekuelewa.

Nilijua line ya tigo unawapigia kina dada peke yao. Kumbe........................ pole zangu nyingi:target:

Hahahahaha
Wela wela welaaaaaaaaaaaaa
Aibu yangu aibu yao
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom