Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Wakuu sina hakika kama huku ni kujidai au kumdhalilisha mwanamke. Kama angekuwa ni dada yako ungefanyaje?
Kilicho haramu kwako kwa mwengine ni halali. Huoni mtoto katulia ha ha ha ha
kibla gani tena? na hao wapo kwenye Starehe ya Bar? Au Bar siuku hizi kumegeuka Kibla? Mkuu mbona unaleta matusi tenaAcha afinyangwe tu, kwanza anaonekana kutoa ushirikiano ameshaelekea kibla huyo kudadadeki zake!
Wakuu sina hakika kama huku ni kujidai au kumdhalilisha mwanamke. Kama angekuwa ni dada yako ungefanyaje?
Wakuu sina hakika kama huku ni kujidai au kumdhalilisha mwanamke. Kama angekuwa ni dada yako ungefanyaje?
Mh!Inatisha!Kilicho haramu kwako kwa mwengine ni halali. Huoni mtoto katulia ha ha ha ha
sioni tatizo....waendelee kustareheshana tu mbele ya watu....
Wakuu sina hakika kama huku ni kujidai au kumdhalilisha mwanamke. Kama angekuwa ni dada yako ungefanyaje?
kibla gani tena? na hao wapo kwenye Starehe ya Bar? Au Bar siuku hizi kumegeuka Kibla? Mkuu mbona unaleta matusi tena