Ungekuwa ni wewe ungefanyaje?

Nsam

JF-Expert Member
Oct 25, 2018
212
286
Siku moja asubuhi nikiwa kazini. Alikuja mwanamke mmoja mtu mzima kunizidi umri

Alinikuta niko ofisini na mkurugenzi msaidizi wa taasisi husika.

Yule mkurugenzi alimwelekeza yule mwanamke kwangu nimsikilize. Nikamuita kwenye ofisini ya mkuu wangu wa kazi nimsikilize

Lakini yule mtu alikataa katu kunieleza ile shida yake. Akisema sitoweza kumsaidia hadi atakapokuja mwenye ofisi

Bas akarudi kwa mkurugenzi yule mkurugenzi akamwambia nimekupa mtu akusikilize vipi hajakusaidia? Akasema hapana akamwambia rudi tena.

Basi yule mama hakujua kama mm nipo kwa niaba ya yule mkuu yaani msaidizi wake. Nikamwambia naomba nikusikilize akasema namtaka fulani. Basi nikamwambia nenda kwake. Yule naye akamrudisha kwangu.

Kama ni wewe ungeweza kumsaidia mtu aliyekudharau kwa sabab ya udogo?

Mm nilimsaidia ww je? Ungefanyaje?
 
Kawaida mkuu, pengine alikua ana shida binafsi! au alikua anaamini mtu huyo tu ndo anaweza kumtatulia tu shida yake;

Kuna wateja hawapendi kuhudumiwa na jinsia fulani, wengine hawataki rika fulani kuwahudumia anaweza tu kukuangalia tu kwa mavazi akakosa imani na wewe hata rangi yako tu asikufurahie !! Hospital zinazojitambua wanafanya hii kitu unaulizwa ungependa kuhudumiwa na Daktari yupi? unachagua wamebandika pia kabisa hadi haki za mteja.

Watu wanabagua watu wa kuwahudumia kwa sababu pengine ukishampa huduma hupendi aulize maswali , au huwa unamlaumu wakati wa kumsaidia au akileta vitu vyake mfano barua ziende kwa wakubwa wako huwa unazubaa zinachelewa.

Pia mtu akikukataa usikasirike anaporudishwa muoneshe uwezo wako kwamba unaweza itakujengea heshima kazini sasa wabongo umkatae halafu baadae urudi bahati mbaya awe ni mwanamke utayatimba anaweza akaita staff nzima 😂😂
 
Solving human beings problems is to possess both simpathy and empathy behavioural elements no matter what several imperfect personalities do People have and that's a real definition of the best leader.
 
W
Siku moja asubuhi nikiwa kazini. Alikuja mwanamke mmoja mtu mzima kunizidi umri

Alinikuta niko ofisini na mkurugenzi msaidizi wa taasisi husika.

Yule mkurugenzi alimwelekeza yule mwanamke kwangu nimsikilize. Nikamuita kwenye ofisini ya mkuu wangu wa kazi nimsikilize

Lakini yule mtu alikataa katu kunieleza ile shida yake. Akisema sitoweza kumsaidia hadi atakapokuja mwenye ofisi

Bas akarudi kwa mkurugenzi yule mkurugenzi akamwambia nimekupa mtu akusikilize vipi hajakusaidia? Akasema hapana akamwambia rudi tena.

Basi yule mama hakujua kama mm nipo kwa niaba ya yule mkuu yaani msaidizi wake. Nikamwambia naomba nikusikilize akasema namtaka fulani. Basi nikamwambia nenda kwake. Yule naye akamrudisha kwangu.

Kama ni wewe ungeweza kumsaidia mtu aliyekudharau kwa sabab ya udogo?

Mm nilimsaidia ww je? Ungefanyaje??
we jamaa ebu easy out buda, mbona sijaona tatizo hapo kwamba yeye kutaka kuhudumiwa na fulani ndio ukajenga chuki mpaka kuja kumfungulia thread jf ?! Sever zinajaa kisa lawama na machuki.

kama hakutaka kuhudumiwa na wewe thats perfectlly fine arif na hata kama alirudishwa kwako KWAHIYO NDIO UKAJIONA kamungu AU ?! Dude lower your ego

NYIE NDIO WALE WA "UNANIJUA MIMI NI NANI" fu.ck off dude nobody cares who you are. Na kila mtu anachoice ya nani wa kumhudumia hata kama alilazimishwa ahudumiwe na wewe hiyo haikufanyi wewe kua kamungu, humble yourself.
 
Kuhudumia Jamii yataka moyo Mkuu, maana kila mmoja ametoka kwenye background tofauti.

Muhimu kumtanguliza Mungu kila siku kabla hujaanza kutimiza Majukumu yako ya siku husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom