ona huyu aliyeandika hii post yake samahani kama itakuboa :nimeona niipaste hapa haya ndo mambo nisiyoyataka huwezi penda mtu kwa tamaa za kimwili tu yani kuangalia uwezo wa kipesa alionao ona hii sasa:
[
lengo langu ni kuomba dada mmoja mrembo mwenye vigezo vifuatavyo niwe nae mpaka mwisho wa dunia hii ya mwenyezi mungu:
>>awe na imani sana kwa yesu kristo ,yaani mshika maandiko.
>>awe ana elimu kuanzia diploma kwenda juu kwa fani yeyote.
>>awe ameajiriwa na anakipato kama mimi nilivyo na kipato.
>>awe anaishi kwake si tegemezi tena, mwenye uhuru wa kimaisha kama mtu mzima.
>>awe si mfupi bali wa wastani au mrefu
>>awe mrembo wa sura na asiwe mweusi hata kidogo.
>>awe na umbo zuri.
cc😡Mtambuzi, Ruttashobolwa, Asprin, Chimbuvu, Madame B, madameA, Bujibuji (rudi kwenu), watu8
QUOTE=grafani11;7062251]Unajaribu kulenga jiwe kwangu lakini wenye macho watakuwa wameona unamlenga nani, mimi nilijaribu kuwajibu wale wanaompinga mkuu Rocky wakati wanaelewa ukweli ndiyo huo.
Ukifuatilia kwa makini hapo juu utauona ukweli uko wapi.